Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Kama misikiti inaweza kujengwa mitaani kwa uhuru, kwanini kujengwa kwa makanisa kuwe kero Zanzibar?

Mungu gani asiyejipigania mwenyewe hadi mumpiganie ninyi wenyewe?

Inamaana Mungu wenu hajiwezi kiasi ninyi mliyeumbwa naye mnamzidi nguvu hadi mtumie sheria mikononi kumshindia swala dogo kama hilo?

Duniani ukikosa hekima (uwezo wa kupambanua jambo kwa kina zaidi) ni hasara kubwa sana kimaisha.
 
Siyo kanisa moja tu kuna makanisa zaidi ya manne makubwa kushinda msikiti yote iliyopo na inayojengwa na makanisa hayo yamekuwepo kwa miongo kadhaa hata uislam huu unaolelewa zanzibar umeyakuta hayo makanisa mkuu.

••••••••••••••••••••••••••••

Tatizo la zanzibar ni umimi na kujifanya wana itikadi za kiaarabu ambazo ingekuwa ni bora kama 'wanaweza' kudai uhuru mpya na kujiingiza kwenye dora ya kiislamu ambayo haihitaji dini nyingine zaidi ya hiyo moja tu.

Huwa nacheka eti katika baraza la mawaziri utakuta mkirisito mmoja kafichwa uko kwenye uafisa kamisheni flani au katibu mkuu, ndiye wamemuweka kuonyesha kaumoja asee afrika bana mh!.

Huu.muungano mnaulazimishs TU wabara, wazanzibari hata hawautaki.

Changamoto zake ndo hizi hizi za kuwaalibia ustaarabu na utamaduni wao.

Unalalamika wamekalia itikadi za kiarabu, ila unasahau kwamba kiarabu na uislamu Ni samaki na maji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.

Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.

Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!

Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!

Maasalaam,
Acha vichekesho, kuna Biblia za Kiswahili. Je, kipi ni rahisi ,kuelewa Biblia ya Kiingereza au ya Kiswahili ambayo ndio lugha wanayotumia Wazenji!? Labda uniambie hawatumii Kiswahili na wanatumia Kiarabu kama lugha ya mawasiliano huko Zenji.
 
Hili Swala inabidi tuliendee bila kutumia hisia,nani hajui KERO ya makanisa ya kilokole yaliyotapakaa kila Kona ya nchi hii,kwa wakazi wa Dar,pale kawe Kuna makanisa kila Kona,yamefunga maspika makubwa,yaani yakiachia mziki mpaka mtaa wa saba masikio yanauma,Hawa wachungaji wa jasiliamali wao ni kuanzisha Kanisa kila Kona na mziki usiokoma.Adhana ya waislam hai haichukui hata nusu saa,wakati ibada za kilokole ni siku nzima kuanzia saa sita na kuendelea.yule taperi mfalme zumaridi aliyekamatwa mwanza ni kwa sababu ya KERO,angekuwa amekamatwa Zenj,ingekuwa story nyingine.
Kwa Zenj,na nchi nyingi zenye wakristo kama minority group,kuwa na Kanisa au kuabudu kwa uhuru ni shida kidogo,hili serikali inabidi iliweke vzr.sasa kuhusu hilo Kanisa huko Zenj,lilijengwa kwa vibali?au ndio kama huku Bongo,yanaanzishwa kama uyoga Ili kupiga sadaka
Hayo hayajalishi,basi tukubaliane,hakuna vipaza sauti,yani watu wanje wasibughuziwe,kwa wakristo na waislam.
 
Kanisa la Zumaridi likifika huko, watu watanyukana mtaani na wale 'makerubi' [emoji23][emoji23][emoji23]
Ha ha ha....
Kuna vitu hata sio vya kuongea mbele za watu.

Ni sawa uje kwangu uanze kuonyesha viashiria vya ushoga mbele ya wanangu afu nikuchekee kisa Ni mgeni tu na hujavunja sheria yoyote ya nchi[emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sio kujenga makanisa tu hata mtanganyika kununua na kumiliki kipande cha ardhi huko visiwani ni ndoto ya alinacha tena ukiwa mgalatia ndio usahau kabisa
Ndo Maana najiuliza Hilo eneo wamepewa na Nani maana kumpata mzanzibar mkristo ni nadra Sana kule

Vinginevyo hao TAG wamepitia Njia za panya[emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
S

Hatuogopi competition ya imani, hatutaki kupotoshwa na hatutaki kupoteshewa watoto wetu. Ikiwa unasema kuwa tunaogopa kupotoshwa, then yes sawa na wala hatuoni aibu kwa hilo tunaogopa kupoteshewa familia zetu, tunaogopa adhabu ya Mola wetu siku tukirudi kwake.
Sasa basi huyo mungu wenu hana maana,yani unavunjaje jengo la mtu kisa kuogopa kupotoshwa watoto wenu, sasa na sisi wakristo tukiamu kuvunja misikiti iliyokaribu na makazi yetu itakuaje??sijui huwa mnafkiliaje nyie watu.
 
Kero za kelele za magari, viwanda, matangazo ya simu, ndege kama KLM, kelele za masokoni, mafundi vyuma zote hizo huzisikii mitaani uje ukwazwe na kelele zilizokuwepo miaka na miaka 600 iliyopita ambapo hata kuzaliwa kwa Babu mzaa Babu yako hakuwepo hukuziona na hukerwi nazo lakini za Makanisa yazungukayo mtaa wako tu ndizo zikukere?

Ayseee kufa haraka ukaishi peponi kwenye bikra 72 na mito ya pombe ndipo hutakutana na kero hizo sababu hii dunia ni ya wote wala si ya dini flani pekee.
Zamani watu hawakusali kipumbavu namna Hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aliekwambia serekali haina dini nani ? Zanzibar wakaazi wake wa kiislamu lakini skuli zinafuata kalenda ya kikristo na wala hawajalalmika miaka yote wakati wao ndio majority.

Tumeondoshewa lugha ya kiarabu ambayo inaendana na uislamu sasa imekuwa kiengereza ili watu wafahamu biblia vizuri. Bado waislamu wa Zanzibar wamekaa kimya.

Mie nadhani huo uvumilivu unaotaka wewe utakuwa labda ni woga. Serekali lazima ina dini kwa maana serekali ni watu. Na watu wote wana dini zao!

Wacha wakristo wajaze hayo makanisa walioyo nayo kwanza kabla hawajajenga mengine!

Maasalaam,
Sahii kabisa,
Mimi Ni mkristo ila napingana vikali na mtoa mada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom