Kama mlikuwa hamjui: CCM imeliongoza hili Taifa kwa uongo tangu ikiwa TANU hadi sasa.

Ni bendera, fuata upepo!
 
Na wengi wanatetea sio kwamba hawajui!,Ni wapiga debe tuu hata humu WAMO, Tlaahtlaah na nduguye Mwashambwa!
 
We umesahau Lissu alipoibua issue ya Hati ya Muungano kwenye Bunge la Katiba hadi watu wakaenda kuitengeneza?

Hii nchi ni vile tu vilaza wengi ila tungekuwa na akili CCM wasingetakiwa kuwepo kabisa madarakani.
Kofia na t-shirt zinatuponza!Ndio maana mdau mmoja humu alianzisha mada Moja,ili sm iondoke,watu waliozaliwa miaka ya 1960_1977,Wanatakiwa waondoke ili kizazi kipya kitawale,ila alituonea sio wote wenye mawazo ya kiesm!
 
Umepiga kona kali sana hapo!
 
Kofia na t-shirt zinatuponza!Ndio maana mdau mmoja humu alianzisha mada Moja,ili sm iondoke,watu waliozaliwa miaka ya 1960_1977,Wanatakiwa waondoke ili kizazi kipya kitawale,ila alituonea sio wote wenye mawazo ya kiesm!
Ni ujinga tu. Ila ni lazima siku itafika tutaandika upya historia ya nchi yetu
 
Bila kupuuza tatizo la miundombinu ya uchakataji na usafirishaji wa umeme unaozalishwa. Hili nalo bado ni kubwa sana. Serikali haijafanya uwekezaji wa kutosha huko kwa miaka mingi.
 
Bila kupuuza tatizo la miundombinu ya uchakataji na usafirishaji wa umeme unaozalishwa. Hili nalo bado ni kubwa sana. Serikali haijafanya uwekezaji wa kutosha huko kwa miaka mingi.
Still hilo halijustify kununua umeme kutoka Ethiopia wakati viongozi wetu wanajisifu Bwawa kushusha bei ya umeme na nchi kuzalisha umeme zaidi ya kiwango tunachotumia.
 
Still hilo halijustify kununua umeme kutoka Ethiopia wakati viongozi wetu wanajisifu Bwawa kushusha bei ya umeme na nchi kuzalisha umeme zaidi ya kiwango tunachotumia.
Sikuwa nahalalisha bali naongezea hoja yako ya mambo YASIYOSEMWA yanayokwamisha upatikanaji wa umeme nchini.
 
Lord denning.
Umechanganyikiwa. Hakuna anaye weza kukusaidia utaishi maisha yako yote kama kichaa kichaa vile, bila kujua unasimamia wapi!
Wewe ni mtu asiye kuwa na umakini juu ya jambo lolote lile. Unayumba yumba tu.
You have an ectopic mind. Mara akili imo tumboni, mata makalioni, na wakati mwingine inaonekana kuwa mahala pake sahihi, kichwani!
 
Kwa nini mkuu? Nani kakwambia sina pa kusimamia?
 
Huyo itakua kanyanganywa tonge mdomoni.sasa hivi anajifanya kuponda.Watu vigeugeu ni hatari sana.kwasababu mara nyingi wako kwa maslahi binafsi.
 
Huyo itakua kanyanganywa tonge mdomoni.sasa hivi anajifanya kuponda.Watu vigeugeu ni hatari sana.kwasababu mara nyingi wako kwa maslahi binafsi.
Hunijui vizuri wewe!

Nifuatilie vizuri humu JF utaona mwenye Lord denning ni nani? Mie ni mzalendo kweli niliye kwa maslahi ya Taifa na sio yangu.

Pia nina kipato changu cha uhakika huku ughaibunikoa hata sijawahi kufikiri kufanya kazi za kuteuliwa na hao Wanasiasa sasa nimenyang'anywa Tonge gani?
 

Ndiyo maana bado watu masikini
 
Kwa nini mkuu? Nani kakwambia sina pa kusimamia?
Naona unarudi kule kule kwa mwanzo ulipo ingia JF!
Mada hii ulivyo iweka haina miguu wala kiuno. Kwa mfano: utaiweka vipi kwenye kapu moja hii CCM ya Samia na TANU kwa mfano? Hata CCM ya mwanzo haina uhusiano wowote na CCM hii ya akina Kikwete na wengineo!
 
Tulia soma uelewe ndo utoe maoni yako. Mada inasema kuhusu CCM kuongoza hili Taifa kwa kutumia uongo. Na hili limeanzia tangu kipindi cha TANU.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…