Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

Kama mnamuona Rais Samia ameshindwa kusimamia Katiba na kulinda rasilimali zenu muwaombe Wabunge wamuondoe kwa Ibara ya 46A ya Katiba

Tungekuwa na Bunge makini na linalijua kazi yake lingetusaidia wananchi kuachana na maigizo ya tumbuatumbua yanayoendelea serikalini kwa sasa, yaani ni kulindana kwa kwenda mbele.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Labda wabunge wa Kenya lkn sio hawa wakupiga vigelegele na makofi!!
 
Alipokuwepo umeme ulikatika? Bandari zilibinafishwa? Mimi naongelea ukweli sio ushabiki
Bandari zinakodishwa hazibinafsishwi na ni kwa faida ya uchumi wetu wenyewe, kumbuka kuwa SSH ameamua kuikodisha baada ya malalamiko ya wizi na utendaji mbovu pale TPA kuwa mengi na mengine kutoka kwa marais wa nchi zinazotumia hiyo bandari.

Umeme ulikuwepo lakini ni kwa hasara ya mitambo kuendelea kuharibika huku akiendelea kulazimisha itumike bila ya kuja na mpango mbadala wenye tija kwa taifa.
 
Bandari zinakodishwa hazibinafsishwi na ni kwa faida ya uchumi wetu wenyewe, kumbuka kuwa SSH ameamua kuikodisha baada ya malalamiko ya wizi na utendaji mbovu pale TPA kuwa mengi na mengine kutoka kwa marais wa nchi zinazotumia hiyo bandari.

Umeme ulikuwepo lakini ni kwa hasara ya mitambo kuendelea kuharibika huku akiendelea kulazimisha itumike bila ya kuja na mpango mbadala wenye tija kwa taifa.
Bandari zinakodishwa hazibinafsishwi na ni kwa faida ya uchumi wetu wenyewe, kumbuka kuwa SSH ameamua kuikodisha baada ya malalamiko ya wizi na utendaji mbovu pale TPA kuwa mengi na mengine kutoka kwa marais wa nchi zinazotumia hiyo bandari.

Umeme ulikuwepo lakini ni kwa hasara ya mitambo kuendelea kuharibika huku akiendelea kulazimisha itumike bila ya kuja na mpango mbadala wenye tija kwa taifa.
Huna akili punguani wewe. Yaani kudhibiti na utendaji mbovu mpaka Mwarabu akodishiwe?

Mliodai kukarabati mitambo mbona mpaka sasa umeme ni janga la kitaifa?
 
Huna akili punguani wewe. Yaani kudhibiti na utendaji mbovu mpaka Mwarabu akodishiwe?

Mliodai kukarabati mitambo mbona mpaka sasa umeme ni janga la kitaifa?
Huna akili wewe usiyejua DP World anafanya kazi nchi ngapi duniani.

Kakodishwa India, Tanzania na India nchi gani ipo juu kiuchumi?.

Kakodishwa Belgium, Tanzania na Belgium nchi ipi ipo juu kiuchumi?.

Kakodishwa UK na DP World, Tanzania na UK ipi ipo juu kiuchumi?.

Jitahidi upate elimu ya masuala ya shipping kwanza kabla ya kuuanika utupu ulionao kichwani.

Umeme ni tatizo tangu awamu ya kwanza.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeme na maji kukosekana ni tangu awamu ya kwanza ya Tanzania, ufisadi upo kila awamu watu wanaiba kila mahali.

Mikataba mibovu ni uelewa wetu wa kijamii kuwa mdogo na hulka ya kupenda kuongea ambavyo mtu hata haelewi anaongea kitu gani.
Sasa kama unakubaliana na kasoro hizo zote, kwa nini usikubaliane na wanaotaka mabadiliko. Maana inaonekana "you are OK with the status quo".
 
Sasa kama unakubaliana na kasoro hizo zote, kwa nini usikubaliane na wanaotaka mabadiliko. Maana inaonekana "you are OK with the status quo".
Mabadiliko yanatokana na chuki tu na roho mbaya. Baadhi yetu tunashindwa kuendana na ukweli kwamba JPM alikwisha ondoka duniani, sio sehemu tena ya walio hai.

Ni kama vile watu wanaumia kuona rais wa sasa anafanya kazi ya maana waliyotamani kuiona ikifanywa na JPM lakini hatuwezi kushindana na asili ya Mungu.

Kunung'unika sana ni dhambi kwa Mungu pia.
 
Bunge linaongozwa na wabunge wenye kuelewa anachokifanya rais SSH, hawana sababu za kumpigia kura ya kumkataa kiongozi wao wanayejua anafanya nini.
Sio kweli kuwa wabunge wanaelewa na ku - appreciate anachokifanya Rais Samia Suluhu Hassan.

Definitely, hawaelewi afanyacho lakini pia hawana jinsi ya kufanya Kwa sababu Kwa mfumo wa utawala na kikatiba wa nchi yetu, kitendo Cha wabunge kum - impeach Rais ni sawa na kuwa wanaji - impeach wenyewe.

Kwa hulka/nature ya binadamu alivyo ni ngumu sana kujikana mwenyewe ambapo ni sawa na binadamu huyo kukata mkono unaomlisha!!
 
Walikuja pale kutoka Kenya miaka mingi ya nyuma. Serikali inalo lengo zuri la kutunza uoto wa asili sema tafsiri kila mtu anakuja na ya kwake.
Unatinza uoto wa asili wakati pale umeweka waarabu wawinde wanyama? Zile ndege zinazotua na kutoka na wanyama nazo vip? Zunatunza uoto wa asili?

Uo uvamizi ulifanyika mwaka gani? Unajua ata Taifa lako linapata uhuru wamasai walikuwepo hapo Loliondo na Ngorongoro?
 
Sio kweli kuwa wabunge wanaelewa na ku - appreciate anachokifanya Rais Samia Suluhu Hassan.

Definitely, hawaelewi afanyacho lakini pia hawana jinsi ya kufanya Kwa sababu Kwa mfumo wa utawala na kikatiba wa nchi yetu, kitendo Cha wabunge kum - impeach Rais ni sawa na kuwa wanaji - impeach wenyewe.

Kwa hulka/nature ya binadamu alivyo ni ngumu sana kujikana mwenyewe ambapo ni sawa na binadamu huyo kukata mkono unaomlisha!!
Hatuwezi kuwa na nchi inayojiendea tu kiholela, JK alilisema hili alipohutubia bunge mwaka 2005 na likawa linarudiwarudiwa na viongozi.

Lazima mifugo na wamiliki wake waheshimu uwepo wa sekta nyinginezo. Naheshimu sana uwepo wa wamasai na shughuli zao halali wanazozifanya lakini ni lazima uwepo utaratibu wa kuendesha nchi ambao kila upande utaridhika.
 
Kila kona mnalalama, eti mafuta yanapatikana kwa bei juu, Chakula bei juu, umeme umekuwa unakatika masaa 24, rushwa na uonevu kila kona hii ni ishara mbaya.

Mkuu wa nchi yetu anapoapa ili atuongoze huwa anaapa kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Sasa kama Katiba ilitungwa ili Watanzania tusikwame kwa kila kitu tunapoishi hapa nchini, halafu sasa kila kitu hovyo. Maana yake Mkuu wa nchi amekwama kuilinda na kuitetea Katiba ya JMT.

Watanzania kila jimbo tuwatume Wabunge wetu waungane ili wapitishe Azimio la kumuondoa Rais Samia ili tusiteseke kama sasa.
Shida ya wabunge wanawajibika kwa Mwenyekiti wao ambaye ndiye Rais,hawana nguvu ya ushawishi ndani ya chama ambayo Rais anayo.

Wakimwaga ugali bungeni yeye anamwaga ugali ndani ya chama atakayeumia wabunge wasaka tonge that's all
 
Mkuu there is no doubt about it,Samia is incompetent and under the control of hooligans and thieves.

Sasa kama Watanzania tufanye nini,kwenye Uchaguzi,kuna wizi wa kura na Tume ya Uchaguzi sio huru;political parties zote zipo compromised.Yes Wabunge wangeweza kutusaidia kumuondoa Rais kwa kutumia Ibara ya 46A ya Katiba,lakini nao wamenunuliwa.

I must admit as Tanzanians we are cornered.The only option available for Tanzanians ni vurugu of some kind,kitu ambacho ni hatari kwa ustawi wa nchi yetu.Hapa dah,tunangoja muujiza wa Mungu tu,kama ilivyokuwa kwa Magufuli.
 
Back
Top Bottom