Kama mtu anafika chuo kikuu na kuhitimu bila kujua kusoma na Kuandika je lengo la Elimu ni lipi hapa Tanzania?

Kama mtu anafika chuo kikuu na kuhitimu bila kujua kusoma na Kuandika je lengo la Elimu ni lipi hapa Tanzania?

Hatujafika huko Ila Kama mama angeendekea na sifa za "ufaulu umeongezeka" tungefika, hakuna anaebisha kuwa wanafunzi wanamaliza darasa la Saba hawajui kusoma Wala kuandika, na walifaulu darasa la nne, na wamechaguliwa secondary, mpe kipande Cha gazeti mtoto wako wa kidato cha nne, au wa jirani yako, halafu sikiliza anavyosoma, halafu njoo utoe maoni

Watoto wengi wanaofeli kidato Cha pili hawajui kusoma.
 
Kuna kutokujua kuandika vizuri na kutojua kabisa kuandika na kusoma hakuna mwanachuo amalize asijue kuandika kabisaa au kusomaa kabisaaaa unadhihirisha vyuo vyetu,

Sema hawana skills za kujua kuandika vizuri kama barua ya kazi na sio hawajui kabisa
Kwanza hakuna mtu anayeenda chuo kikuu kujifunza kuandika barua ya KAZI. Hii skill ambayo mtu anajifunza siku moja tu akiwa ameketi kwenye kochi nyumbani kwake.

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
 
Hebu waliohitimu chuo kikuu, Tz, Kenya na Uganda wakae mezani kwa lisaa limoja kwa kujadili jambo kitaalumu tuangalie.
 
Back
Top Bottom