Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

Kama Mungu hayupo, binadamu katokea wapi?

How come for a God who cannot defy His nature of all-good, all-just and faultless to be able to create a being that is faultless and then blame for their mistakes?
I think it is we people who invented the idea of God
 
Hapa unakubali kwamba ukijiangalia unajishangaa/kustaajabu na kukubali kwamba umeumbwa! Kwanini sasa unajitoa ufahamu kwa kusema mungu wako hajaumbwa wakati yeye ndio wa utata kuliko binadamu? Wewe wasema umeumbwa, lakini unasema huyo mungu hajaumbwa kisa tu ukisikia jina mungu unaogopa. Lini mtafunguka nyie wapumbavu?

Haa naona umeanza kutukana inaelekea umemaliza kunyw mtori na kisusio
 
That is beside the question. Unasema mungu yupo, unaweza kuthibitisha?

Anayebisha hahitaji kuthibitisha.

Anayesema mungu hayupo jawezi kithibitisha, kwa sababu visibyopo havithibitishiki, kwa sababubhavipo iki kuthibitishika.

Wewe unayesema mungu yupo, unaweza kuthibitisha?

Na wewe unayesema Mungu hayupo unaweza kuthibitisha???ha ha Mpumbavu anawaza Moyoni mwake na kusema there is no God!!
 
Hapa unakubali kwamba ukijiangalia unajishangaa/kustaajabu na kukubali kwamba umeumbwa! Kwanini sasa unajitoa ufahamu kwa kusema mungu wako hajaumbwa wakati yeye ndio wa utata kuliko binadamu? Wewe wasema umeumbwa, lakini unasema huyo mungu hajaumbwa kisa tu ukisikia jina mungu unaogopa. Lini mtafunguka nyie wapumbavu?

Huko kushangaa tu the nature and human creation kuna justify yupo mmoja ambaye ni Mungu aliye asili ya vitu vyote!Above all powers!!!
 
Na wewe unayesema Mungu hayupo unaweza kuthibitisha???ha ha Mpumbavu anawaza Moyoni mwake na kusema there is no God!!

Kisichopo hakithibitishiki kwamba hakipo, kwa sababu hakipo.

Mungu hayupo kwa sababu anajipinga yeye mwenyewe kuwepo.

Wewe unayesema yupo, unaweza kuthibitisha kwamba yupo?
 
Kuwepo au kutokuwepo kwa mungu it depend na mungu yupi unayemzungumzia! Tunaishi dunia moja ila kila mtu anaamini anachokijua. Kwa hiyo kutokana na mada yako naweza nkasema mungu yupo ila tumetofautiana hapo kwenye nadharia ya mungu. Ili ujue binadam katokea wap yatupasa tujue ukwel kuhusu mungu. Nawasilisha
 
Nikugeuzie kibao kidogo.
Sasa kwenye hili bandiko mi nataka kufaham kama Mungu hajaumbwa na mungu mwingine kaumbwa na nani? Au kajileta mwenyewe hapa duniani/ulimwenguni? Unajua hata ukiliona gari barabani yupo aliyeunda gari hilo. Waamini, walokole, wakristo,waislam wanaosema mungu hajaumbwa wamejitahidi sana kueleza asili ya Mungu na vitu vingine. Naomba izingatiwe kwamba nataka kufahamu asili ya Mungu sio mwanadamu. Ni kweli muumbaji wa huyo mungu aliyemuumba huyu mungu wanayesema kaumba vitu vingine anaweza akawa hayupo je? Mungu kaumbwa na nani? Uje na lengo la kuelimishana. Nawasilisha.

Mtazamo wa AKILIhuru.

Ukijiangalia wewe pamoja na mazingira yanayokuzunguka ukastaajabu sana isiwe kigezo cha kusema mungu yupo kisa tu umekosa majibu ya baadhi ya vitu!
Kwanini usimtazame huyo mungu na mazingira yake unayoyasoma kwenye vitabu????
Kwa mujibu wa maandiko ujuzi wa maisha ya mwanadamu na mazingira yake haujafikia hata nusu ya ujuzi wa maisha ya huyo mungu.
Sasa jiulize hivi...kwanini ukijiangalia wewe ukastaajabu unasema umeumbwa, lakini ukimuangalia huyo mungu unastaajabu zaidi lakini unasema hajaumbwa. Hii ikoje? Tatizo ni imani za ovyo zimewaharibu.

Na mbona ukimuangalia huyo mungu wako unastaajabu sana lakini unasema hajaumbwa alafu ukijiangalia wewe unastaajabu kidogo tu alafu unasizitisha kuwa umeumbwa?
Vua imani yako tafadhali! 😀

Tuambie chanzo cha huyo mungu wako sasa😀
Maana kitu mwenye akili kama yeye haiwezekani kikatokea kwa babati mbaya.

Mkuu nakukubali sana you have challenged questions....wewe kama sio PHD holder, basi una kaelimu ka psychology, kama nitakuwa wrong basi utakuwa unasoma sana vitabu.

Much appreciate broh.
 
Mkuu nakukubali sana you have challenged questions....wewe kama sio PHD holder, basi una kaelimu ka psychology, kama nitakuwa wrong basi utakuwa unasoma sana vitabu.

Much appreciate broh.

Mkuu nilikuwa nampa challenge tu maana niliona anafikiria upande mmoja tu.
 
Ifike mahali wafia dini mkubali tu kuwa hakuna ushahidi wowote juu ya uwepo wa Mungu bali ni imani tu
 
"kisicho kuwepo hakithibitishiki"

Hii kauli ingeleta maana kama haijulikani ni nini kinachozungumziwa,lakini kwa kitu kinachojulikana huwezi kusema hakipo halafu useme haiwezi kuthibitishika.
Kwa sababu umetumia njia gani kujua kuwa hicho kitu hakipo?

Mfano angetokea mtu na kuanza kukuuliza tu "kipo au hakipo?" ukashindwa kuelewa hicho kitu ni nini basi huwezi kujibu kipo au hakipo kwa sababu hujui hicho kitu ni kitu gani. Kwahiyo unaposema kitu hakipo halafu useme huwezi kuthibitisha basi ukubali kuwa huna uhakika na unachosema hivyo umetumia hisia.
 
"kisicho kuwepo hakithibitishiki"

Hii kauli ingeleta maana kama haijulikani ni nini kinachozungumziwa,lakini kwa kitu kinachojulikana huwezi kusema hakipo halafu useme haiwezi kuthibitishika.
Kwa sababu umetumia njia gani kujua kuwa hicho kitu hakipo?

Mfano angetokea mtu na kuanza kukuuliza tu "kipo au hakipo?" ukashindwa kuelewa hicho kitu ni nini basi huwezi kujibu kipo au hakipo kwa sababu hujui hicho kitu ni kitu gani. Kwahiyo unaposema kitu hakipo halafu useme huwezi kuthibitisha basi ukubali kuwa huna uhakika na unachosema hivyo umetumia hisia.

Acha siasa basi we mwenye uhakika na unachokisema thibitisha huo uwepo wa huyo Mungu.
 
Acha siasa basi we mwenye uhakika na unachokisema thibitisha huo uwepo wa huyo Mungu.

Dah Jimena upo humu kama nilivyotegea ila u mtata sana ila afadhali hata hivyo.Ukithibitishiwa yupo utamuamini Mungu?
 
Last edited by a moderator:
Dah Jimena upo humu kama nilivyotegea ila u mtata sana ila afadhali hata hivyo.Ukithibitishiwa yupo utamuamini Mungu?

Yes. Nikithibitisha uwepo wake na nikapata majibu ya maswali yangu yote ntamuamini.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom