Atakuaje hajavuka 60, Wakt aliyemteua anamiaka 61. Usichofahamu ni Kuwa cheo alichoteuliwa sio lazma awe mtumishi wa umma, Kama amestaaafu Bado ana sifa, ni sawa na makamishna wa tumë ya uchaguzi.Kama hajavuka miaka 60 hakuna shida
Itakuwa ngumu mwalimu amfundishe Rais mwenye miaka 62 akiwa form two halafu yeye (mwalimu) awe chini ya umri huo.Kama hajavuka miaka 60 hakuna shida
Ktk nchi hii na kwa katiba hii kuna siku atakuja rais ataweka madarakani watu wa ukoo na kabila lake tuWacha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Hakuna namna nyingine. Na wewe ukipata cheo, teua mpaka wafanyakazi wako wa ndani. Maana hiyo ndiyo njia rahisi ya kulipa fadhila.
1. Tupe umri halisi wa MwalimuFunga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 61 vipi
[emoji38][emoji38][emoji38]Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.
Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja
Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.
Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 61 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Kumbe!Takuwa ngumu mwalimu amfundishe rais mwenye miaka 61 akiwa form two halafu yeye (mwalimu) awe chini ya umri huo.
Pole yako mkuu, nasimama nawe, lakini nakusihi usiishie hapo pa kulalama tu! Jihoji ni kwa nini inakuwa hivi lakini; vijana ni sehemu ya tatizo?Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 61 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Kwahiyo wewe umesoma form two ukiwa na miaka 30. Unajibu hoja tafakari kwanza mkuu.Niliwahi kufundishwa na kijana namzidi miaka 13. Ni Mwalimu wangu huyo.
Umeusemea moyo wako. Nina 100% kuwa wewe ni mbinafsiNina uhakika kwa asilimia zote kwamba kama aliyeteuliwa angekuwa baba yako au ndugu yako usingelalama hapa
Hebu zifungue hizo code kwanza tuchangie kwa mapana yake!Kichwa cha mwenda wazimu nasikia saiv power button ime toka controller ana pata shida kuhamisha channel