Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama Samia ana Miaka 62 hebu fikiria huyo mwalimu wake alimfundisha form two ana Miaka mingapi kisia mwenyeweKama hajavuka miaka 60 hakuna shida
Imagine mwalimu alikuwa na miaka 25ALIMFUNDISHA SAMIA MATHS NA ENGLISH KIDATO CHA PILI MWAKA 1974.
MIAKA 48 ILIYOPITA.
Hana 80??ALIMFUNDISHA SAMIA MATHS NA ENGLISH KIDATO CHA PILI MWAKA 1974.
MIAKA 48 ILIYOPITA.
Ajira zinaanza miaka 18 ukijumlisha.umri wa mama Samia aliyezaluwa 1960 huyo mwalimu wake minimum atakuwa na Miaka 78Samia ndiyo ana 61. Sasa mwalimu wake si itakuwa zaidi ya hapo?
Wakati mwingine utumie akili hata kidogo tu basi kabla huja ni quote kwenye maandishi yangu. Acha kiherehere.Dah natumai wewe unaye argue namna hii si some one educated.
dah wewe unadhihirisha kasoro kubwa kt kutafakari mambo.
Poor u
Anaweza kuwa na umri mkubwa kuliko hiyo 78, maana Samia alikuwa form 2 mwaka 1974Ajira zinaanza miaka 18 ukijumlisha.umri wa mama Samia aliyezaluwa 1960 huyo mwalimu wake minimum atakuwa na Miaka 78
Yawezkana alikuwa na Miaka 20. Samia 13Anaweza kuwa na umri mkubwa kuliko hiyo 78, maana Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
Kwani kikatiba vijana ndo wana haki zaidi kuliko wazee?
Suala sio KUSTAAFU suala ni Umri wa mwalimuAtakuaje hajavuka 60, Wakt aliyemteua anamiaka 61.usichofaham ni Kuwa cheo alichoteuliwa Sio lazma awe mtumishi wa umma, Kama amestaaafu Bado anasifa, ni sawa na makamishna wa tumë ya uchaguz
Umri wa mwalimu haupungui miaka 80
Haiwezekani Mwalimu wa Sekondari awe na Miaka 20 alimaliza Sekondari lini na Chuo lini?Yawezkana alikuwa na Miaka 20. Samia 13
Wewe umeiona kazi aliyoteuliwa huyo Mwalimu? Itaje hapa, mbona hujaiweka? Umeielewa au unakurupuka tu?Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.
Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja
Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.
Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
View attachment 2233522
Kamishna wa utumishi wa umma.Wewe umeiona kazi aliyoteuliwa huyo Mwalimu? Itaje hapa, mbona hujaiweka? Umeielewa au unakurupuka tu?
🤣🤣🤣Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.
Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja
Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.
Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
View attachment 2233522
Hahhaa na kuchoma mashamba ya watu.Vijana wakipewa nafasi wanaaza kuteka na kutisha watu...
hii awamu ni ya wazee awamu yenu ilishapita, watu washa umwa na nyoka wakiona jani tu wanashtuka.
Hakuna kitu ambacho huwa sipendi kama vyeo vya kulipa fadhila, hivi ndio vinatuharibia Nchi yetu tulitawaliwa na watu wabovu na tutaendelea kutawaliwa na wabovu, Utasikia fulani Kikwete, mara Mwinyi, Karume, mara Nape, mara Makamba, mara Kinana.....etc
Mbona neno "Tume" umeliacha hapo?Kamishna wa utumishi wa umma.