Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

Sasa kama vijana ni akina Katambi na Sabaya boratu mama ateue ma ajuza.
 
ALIMFUNDISHA SAMIA MATHS NA ENGLISH KIDATO CHA PILI MWAKA 1974.

MIAKA 48 ILIYOPITA.
 
Dah natumai wewe unaye argue namna hii si some one educated.

dah wewe unadhihirisha kasoro kubwa kt kutafakari mambo.

Poor u
Wakati mwingine utumie akili hata kidogo tu basi kabla huja ni quote kwenye maandishi yangu. Acha kiherehere.
 
Ajira zinaanza miaka 18 ukijumlisha.umri wa mama Samia aliyezaluwa 1960 huyo mwalimu wake minimum atakuwa na Miaka 78
Anaweza kuwa na umri mkubwa kuliko hiyo 78, maana Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
 
Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.

Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja

Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.

Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??

Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
View attachment 2233522
Wewe umeiona kazi aliyoteuliwa huyo Mwalimu? Itaje hapa, mbona hujaiweka? Umeielewa au unakurupuka tu?
 
Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.

Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja

Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.

Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 62 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??

Mhe Samia alikuwa form 2 mwaka 1974
View attachment 2233522
🤣🤣🤣
 
Vijana wakipewa nafasi wanaaza kuteka na kutisha watu...
hii awamu ni ya wazee awamu yenu ilishapita, watu washa umwa na nyoka wakiona jani tu wanashtuka.
Hahhaa na kuchoma mashamba ya watu.
 
Hakuna kitu ambacho huwa sipendi kama vyeo vya kulipa fadhila, hivi ndio vinatuharibia Nchi yetu tulitawaliwa na watu wabovu na tutaendelea kutawaliwa na wabovu, Utasikia fulani Kikwete, mara Mwinyi, Karume, mara Nape, mara Makamba, mara Kinana.....etc

Common practice for zanzibaris
 
Back
Top Bottom