ORCA ACE
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 1,449
- 1,708
Dah natumai wewe unaye argue namna hii si some one educated.Wacha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Hakuna namna nyingine. Na wewe ukipata cheo, teua mpaka wafanyakazi wako wa ndani. Maana hiyo ndiyo njia rahisi ya kulipa fadhila.
dah wewe unadhihirisha kasoro kubwa kt kutafakari mambo.
Poor u