Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

Kama mwalimu wa Rais Samia anapata uteuzi 2022, Vijana twafwa!

Wacha kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake. Hakuna namna nyingine. Na wewe ukipata cheo, teua mpaka wafanyakazi wako wa ndani. Maana hiyo ndiyo njia rahisi ya kulipa fadhila.
Dah natumai wewe unaye argue namna hii si some one educated.

dah wewe unadhihirisha kasoro kubwa kt kutafakari mambo.

Poor u
 
1.Tupe umri halisi wa Mwalimu
2. Niliwahi kufundishwa na kijana namzidi miaka 13. Ni Mwalimu wangu huyo.
3. Kuna baadhi ya nyazifa zinahitaji utu uzima na uzoefu mkubwa kazini ambao vijana wengi hawana.
Mmm nimeangalia hii comment nikacheka kimya kimya
 
Kwahiyo wewe umesoma form two ukiwa na miaka 30. Unajibu hoja tafakari kwanza mkuu.

Hatuongeli kufundishwa chuo kikuu .
Zamani watanzania wengi walisoma secondary wakiwa na wake ama waume na watoto! Hii ni mpaka miaka 90!
 
Vijana wakipewa nafasi wanaaza kuteka na kutisha watu...
hii awamu ni ya wazee awamu yenu ilishapita, watu washa umwa na nyoka wakiona jani tu wanashtuka.
Afazali, sio kila migulu chemba na siasa zao za kipumbavu za kuua na kuteka wananchi
 
Kama hajavuka miaka 60 hakuna shida
mkuu unatania au uko serious? yaani Mama awe ana 61yrs halafu aliemfundisha awe na miaka tufanye 55? labda useme yule mwalimu alikuwa msichana mdogo anawafundisha kinamama Samia na kinababa chini ya mti yaani Memkwa!!

au kama utasema weekend huwa akili zako zimechangamka nayo ni sawa!

hoja iko wazi "this appointment of the retired teacher isnt fair" for the health of millions of unemployed youth in TZ!!

Mwalimu mmoja anafundisha Psychology TTC flani alisema mtu akifikisha miaka 55 , common good sijui maslahi ya taifa ni mdomoni tu ila ndani ya kifua chake huanza kujiwazia maslahi yake yeye binafsi , urithi kwa wanawe na pia kuwaza maandalizi mazuri ya kudedi kwake , mi nikaona kumbe hata Rais anatakiwa awe na miaka 35 to 45 kama Macron wa France hivi , Rais hapaswi kuwa Mzee kama alivyokuwa Mugabe au Museveni wale ukipasua Moyo hukuti Raia unamkuta yeye binafsi kajaa moyoni anaogopa kufa maana tayari jioni imeingia!! Bibi yetu Mwalimu sijui atapata wapi muda wa kucheza na wajukuu. in short amechoka!! ila siyeye peke yake aliechoka wote walio na miaka 55+ serikalini wamechoka kwa mujibu wa psychology teacher ila mi naona Ticha hayuko sahihi maana watumishi wazee wapo na "wanaupiga mwingi"!!
 
Ndio maana nasema watumishi hakikisha pesa ikija idarani kwako unaanza kwanza kuitafuna hadi kamba iwe fupi ndio unapeleka mahali stahiki. Maendeleo tutayakuta kaburini
 
Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.

Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja

Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.

Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 61 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Mmshaambiwa ccm ina wenyewe bado hamuelewi tuu
 
Vijana wa nchi hii wanatumiwa kama condom wakati WA chaguzi halafu wanaachwa,Kwa kifupi hawana Chao Kwa nchi hii ,juzi wamejaziwa mafuta kwenye bodaboda na kupewa t-shirt za samia ,najiulizia Kwa nini msiungane kwenye hoja za nchi?Maana CCM kila mara inagawa vijana lakini vijana wenyewe hawaoni kama wanagawanywa
 
Nchi inaharibiwa na vijana wa UVCCM hakuna kingine hapo vijana wa upinzani wanaweza wakaanza kupaza sauti UVCCM wanakuja kusema MAMA ANAUPIGA MWINGI uzuri tunaumia wote mtaani hata kama SAMIA alisoma MEMKWA au QT lakini mwalimu wake kweli hapana kwakweli hapana
 
Vijana wa nchi hii yatupasa tuungane pasipo kujali vyama vyetu tupiganie haki zetu kwa umoja wetu.

Pamoja na utofauti wa itikadi zetu lkn kuna masuala yafaa tupaze sauti kwa pamoja

Inakera na kuidhi kuona vijana tunakosa ajira halafu wastaafu wakiteuliwa kushika nyadhifa kila u hwao. Sitaki kutaja majina lkn kila mmoja wetu afuatilie.

Funga kazi ni uteuzi wa huyu mwalimu wa mhe rais SSH. Kama rais SSH ana miaka 61 vipi umri wa mwalimu wake?? Vijana ni lini tutateuliwa??
Vijana wengi waliopata teuzi wametuangusha sana
 
Taasis na Mashirika ya umma nchi hii yataendelea kufanya vibaya hadi tutakapotambua nafasi ya Bodi.
 
Back
Top Bottom