Lyetu JF-Expert Member Joined Feb 11, 2018 Posts 1,268 Reaction score 3,429 May 22, 2022 #81 Labda Mheshimiwa alisoma QT, hapo ni kitu cha kawaida mwalimu kumzidi umri mwanafunzi. Mimi nasoma QT baadhi ya walimu nalingana nao umli, hapo badae msije leta chokochoko nikimteua mwalimu wangu wa QT πππ
Labda Mheshimiwa alisoma QT, hapo ni kitu cha kawaida mwalimu kumzidi umri mwanafunzi. Mimi nasoma QT baadhi ya walimu nalingana nao umli, hapo badae msije leta chokochoko nikimteua mwalimu wangu wa QT πππ
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 22, 2022 #82 Kila zama na zama zake...
mbalizi1 JF-Expert Member Joined Dec 16, 2015 Posts 21,057 Reaction score 41,992 May 22, 2022 #83 Sexless said: Umeusemea moyo wako. Nina 100% kuwa wewe ni mbinafsi Click to expand... Hakuna kiumbe asiye mbinafsi ulimwenguni
Sexless said: Umeusemea moyo wako. Nina 100% kuwa wewe ni mbinafsi Click to expand... Hakuna kiumbe asiye mbinafsi ulimwenguni