Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Katika muendelezo wa kupeana tips za hapa na pale kwa lengo la kuishi comfortable na kuhakikisha heshima ya mwanaume inabaki palepale licha ya mapinduzi makubwa ya teknolojia katika karne ya 21 ni vyema kuzingatia vitu ambavyo ni minor kwenye maisha lakini vina negative impact.

Back in days Mzee alikuwa akitengewa msosi heavy ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kichwa cha familia kinacho provide huduma zote muhimu pale nyumbani lakini jambo la kushangaza ni sehemu ndogo sana ya kile chakula mzee ndio alikuwa anakula kinachobaki tunapewa sisi mafood monger.

Mindset yangu kwa wakati huo iliamini baba ana upendo wa mshumaa yupo ladhi yeye asile lakini wategemezi wake tule tushibe licha ya kuwa yeye ndio mtafuta ridhiki nadhani hata mama alikuwa inspired na caring ya baba.

Nilipoanza kuwa karibu na baba haswa anapokuwa mbali na nyumbani ndio wakati niliojua kuwa sijui ya kwamba chakula anachokula baba awapo mbali na nyumbani ni heavy ndio maana akiwa home anajifanya sio mlaji kumbe ufood monger wangu nimeutoa kwake.

Mawazo yangu yalibadilika na kumuona mzee kama mbinafsi ila leo hii na mimi nimekuwa Baba nimeona alichokuwa akikifanya mzee ni hekima kubwa na washauri wale wenye familia msiwe mnakula sana majumbani kwenu.

From northern part of Tanzania.
 
Miongoni mwa Food Mongers Bora zaidi kuwahi kutokea Afrika mashariki na kati, nilikuwa sitaki kitupwe kitu chochote niwapo nyumbani. Mzee alikubali sanaa! Lkn Ni kweli kama kawaida na yeye alikuwa haupigi mwingi pale nyumbani. Kimbembe ilikuwa umkute na watu baki alikuwa anatishaaa! Kumbe hata mimi nilikuwa simfikii.
 
Katika muendelezo wa kupeana tips za hapa na pale kwa lengo la kuishi comfortable na kuhakikisha heshima ya mwanaume inabaki palepale licha ya mapinduzi makubwa ya teknolojia katika karne ya 21 ni vyema kuzingatia vitu ambavyo ni minor kwenye maisha lakini vina negative impact.

Back in days Mzee alikuwa akitengewa msosi heavy ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kichwa cha familia kinacho provide huduma zote muhimu pale nyumbani lakini jambo la kushangaza ni sehemu ndogo sana ya kile chakula mzee ndio alikuwa anakula kinachobaki tunapewa sisi mafood monger. mindset yangu kwa wakati huo iliamini baba ana upendo wa mshumaa yupo ladhi yeye asile lakini wategemezi wake tule tushibe licha ya kuwa yeye ndio mtafuta ridhiki nadhani hata mama alikuwa inspired na caring ya baba.

Nilipoanza kuwa karibu na baba haswa anapokuwa mbali na nyumbani ndio wakati niliojua kuwa sijui ya kwamba chakula anachokula baba awapo mbali na nyumbani ni heavy ndio maana akiwa home anajifanya sio mlaji kumbe ufood monger wangu nimeutoa kwake.

Mawazo yangu yalibadilika na kumuona mzee kama mbinafsi ila leo hii na mimi nimekuwa Baba nimeona alichokuwa akikifanya mzee ni hekima kubwa na washauri wale wenye familia msiwe mnakula sana majumbani kwenu.

From northern part of Tanzania.
Binafsi nikiwa kwangu nakula chakula kidogo sana na kuachia wanangu wale kujigalagaza ila nikiwa nje na kwangu nakula kama mchwa
 
Miongoni mwa Food Mongers Bora zaidi kuwahi kutokea Afrika mashariki na kati, nilikuwa sitaki kitupwe kitu chochote niwapo nyumbani. Mzee alikubali sanaa! Lkn Ni kweli kama kawaida na yeye alikuwa haupigi mwingi pale nyumbani. Kimbembe ilikuwa umkute na watu baki alikuwa anatishaaa! Kumbe hata mimi nilikuwa simfikii.
Wale wazee walikuwa wanajua sana ile ndio manhood yenyewe
 
Mwanaume hasifiwi kula wewe, Hela utafute kwa shida/Jasho kula nako ule kwa shida tena kwa kujipimia?

Hapana aisee acha nile tu kwa maana mwili haujengwi kwa tofali, acha tu nile ili nipate nguvu na afya ya kutafuta tena

Personally huwa sijibani bani kwenye kula ili mradi sili kwa kufuru na kuvimbiwa

Nyumbani naupiga mwingi, ugenini naupiga kidogo

Kama utaniona food monger fresh tu😎
 
Mzee kazi yake ilikua ni kutugaia vizuri alivyo pendelewa yeye na kutufundisha ustaarabu wa kula tu
1.kula upande wa mbele yako tu acha kudokoa kila upande
2.tafuna ukiwa umefunga mdomo
3.usilambe vidole Wala kukung'uta chakula kilicho bak mkononi kwenye sahani
4.usiongee wakat wa kula hasa ukiwa unatafuna
5.kula kwa mkono wa kulia tu hakuna kushika kikombe Cha chai kushoto na mkate kulia hiyo ilkua ni marufuku, had leo mkono wangu wa kushoto siwez kupelekea chochote mdomon nafs inakataa.
 
Au na mzee wangu atakuwa hivyo make ana mwili mkubwa ila anakula chakula hakiendani na mwili wake yaani maswala ya kula hayazingatii na akiwa home hawezi kula peke yake kama sio mkewe basi sie vihelehere tunaenda kumlisha baba chakula
 
Back
Top Bottom