Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

Katika muendelezo wa kupeana tips za hapa na pale kwa lengo la kuishi comfortable na kuhakikisha heshima ya mwanaume inabaki palepale licha ya mapinduzi makubwa ya teknolojia katika karne ya 21 ni vyema kuzingatia vitu ambavyo ni minor kwenye maisha lakini vina negative impact.

Back in days Mzee alikuwa akitengewa msosi heavy ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kichwa cha familia kinacho provide huduma zote muhimu pale nyumbani lakini jambo la kushangaza ni sehemu ndogo sana ya kile chakula mzee ndio alikuwa anakula kinachobaki tunapewa sisi mafood monger.

Mindset yangu kwa wakati huo iliamini baba ana upendo wa mshumaa yupo ladhi yeye asile lakini wategemezi wake tule tushibe licha ya kuwa yeye ndio mtafuta ridhiki nadhani hata mama alikuwa inspired na caring ya baba.

Nilipoanza kuwa karibu na baba haswa anapokuwa mbali na nyumbani ndio wakati niliojua kuwa sijui ya kwamba chakula anachokula baba awapo mbali na nyumbani ni heavy ndio maana akiwa home anajifanya sio mlaji kumbe ufood monger wangu nimeutoa kwake.

Mawazo yangu yalibadilika na kumuona mzee kama mbinafsi ila leo hii na mimi nimekuwa Baba nimeona alichokuwa akikifanya mzee ni hekima kubwa na washauri wale wenye familia msiwe mnakula sana majumbani kwenu.

From northern part of Tanzania.
Kweli hasa mbele ya watoto baba wa kweli mwenye kujali ataacha watoto washibe kwanza ndio ale yeye.
 
Ule ushibe hakuna shida..sasa hiyo tunaiitaje nidhamu ya woga au? Yaani uminyane uwatafutie halafu kwenye kula eti uzuge..? Hapana nadhani inafaa kila mtu ale ashibe lakini sio ile kuvimbiwa hapana..lakini sio uguseguse then ukale vichochoroni.
 
Mi sikumbuki ni lini nimekula na Watoto ili niwaachie..Mara nyingi naondoka wamelala narudi wamelala.
 
Ni sijaona mantiki ya mtoa mada. Mimi ni Baba wa Familia nina watoto 5. Chakula kipo kinginhuku kijijini kwetu na mimi kama Baba najitahidi kuhakikisha msosi ni wa kusaza kwa watoto na sina utaratibu wa kula mtaani labda nisafiri kikazi. Sasa nishindwe kula kwangu eti naogopa watoto hawataniheshimu ila nikale Barabarani vyakula vinavyowekwa hamila?

Hiyo ni kwa ajili ya familia zenye uwezo wa chini. Nyumbani kwangu najiachia bwana, na watoto nao wanapiga sima lao tena huwa tunakula pamoja. Mara nyingi ikiwa usiku, namwambia mama yao weka kwenye sinia tule na watoto wetu kwa kushare chakula na mboga pamoja.

Ndio maana mada za watoto kuwa viburi jeuri na wakienda ugenini wanawaaibisha haziishi ni kwa sababu hizi

Wengine kuna desturi familia zinakuwa nazo, mfano mwanamke hali firigisi na ni ya baba hiyo na asipoila yeye ni mtoto Wa kiume ataila. Kingine baba ni mtu Wa kuchelewa kwa hiyo anatengewa chakula kwenye hot pot yake na hakuna Wa kuigusa

Watoto tulilelewa kwa kuwekewa limits na boundaries za kuziheshimu katika familia

Siku hizi watoto wanafugwa hawalelewi na kwa sababu wengi mnaona huo ndio upendo endeleeni lakini mjue Tu, kuna vitu vya kuviondoa lakini si vyote ni vya kupuuzwa
 
Ndio maana mada za watoto kuwa viburi jeuri na wakienda ugenini wanawaaibisha haziishi ni kwa sababu hizi

Wengine kuna desturi familia zinakuwa nazo, mfano mwanamke hali firigisi na ni ya baba hiyo na asipoila yeye ni mtoto Wa kiume ataila. Kingine baba ni mtu Wa kuchelewa kwa hiyo anatengewa chakula kwenye hot pot yake na hakuna Wa kuigusa

Watoto tulilelewa kwa kuwekewa limits na boundaries za kuziheshimu katika familia

Siku hizi watoto wanafugwa hawalelewi na kwa sababu wengi mnaona huo ndio upendo endeleeni lakini mjue Tu, kuna vitu vya kuviondoa lakini si vyote ni vya kupuuzwa
Hakuna kitu kama hiko. Mimi kama Baba najua wajibu wangu. Eti niache kukaa nyumbani na kula nyumbani kwangu niende kudhurura usiku tena ninaishi sehemu yenye baridi kali alafu sinywi pombe wala sina marafiki mtaani ili niwekewe chakula kwenye poti.

Sijajua kama una familia mkuu, mimi watoto wangu hawajawahi na jawatawahi kunitia aibu na wala siwalei kizungu wala kimaya mayai. Kuna muda wa kufoka, kucheka,kupiga n.k. mchana kutwa nzima nashinda kazini, watoto wapo shuleni eti na usiku nisikae nao wala angalia kazi zao za shule kisa waniogope.
 
Hakuna kitu kama hiko. Mimi kama Baba najua wajibu wangu. Eti niache kukaa nyumbani na kula nyumbani kwangu niende kudhurura usiku tena ninaishi sehemu yenye baridi kali alafu sinywi pombe wala sina marafiki mtaani ili niwekewe chakula kwenye poti.

Sijajua kama una familia mkuu, mimi watoto wangu hawajawahi na jawatawahi kunitia aibu na wala siwalei kizungu wala kimaya mayai. Kuna muda wa kufoka, kucheka,kupiga n.k. mchana kutwa nzima nashinda kazini, watoto wapo shuleni eti na usiku nisikae nao wala angalia kazi zao za shule kisa waniogope.

Safi na hongera sana kuwa "modern father" 👏👏

Ila kama ulivyojitetea hapa na baba zetu wangepewa nafasi bhasi wangekuelekeza pia kwa hiyo ni vyema pia ukajifunza kuheshimu tamaduni na desturi za watu wengine kuliko kutoa conclusion kuwa hawana chakula au ni maskini

Niiweke kiufupi kwa namna hiyo tu mkuu 🙏🙏
 
Safi na hongera sana kuwa "modern father" 👏👏

Ila kama ulivyojitetea hapa na baba zetu wangepewa nafasi bhasi wangekuelekeza pia kwa hiyo ni vyema pia ukajifunza kuheshimu tamaduni na desturi za watu wengine kuliko kutoa conclusion kuwa hawana chakula au ni maskini

Niiweke kiufupi kwa namna hiyo tu mkuu 🙏🙏
Haya bwana mkubwa kuwa na siku njema.
 
Mzee wangu ubwabwa nusu kilo na kombe kubwa la chai kwake ndio kifungua kinywa, hugo mzee anakula kama kiwavi jeshi,,kama mtu anaona mzee wake anaweza, aseme tuandae mechi ya kirafiki hahaha..
 
Mzee wangu ubwabwa nusu kilo na kombe kubwa la chai kwake ndio kifungua kinywa, hugo mzee anakula kama kiwavi jeshi,,kama mtu anaona mzee wake anaweza, aseme tuandae mechi ya kirafiki hahaha..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mshua alikua anasema, ukiweza kucontrol table manners bas hata tabia ya mtoto itakua nzuri anavoendelea kukua. Nnachokumbuka ni kunyimwa kutumia mkono wa kushoto, na kwa kiburi changu nilikua nasema siku nikianza kushika hela yangi hakuna wa kuniambia kitu. Well, nlipomaliza kidato cha 4 miaka hiyo nkaanza kupiga job na kushika hela yangu japo ni kidogo. Baas nkarud kwa fujo kula kwa mashoto yangu. Mpka leo ikitokea nmeenda kwa wazee natumia lefti yangu japo sio kwenye ugali. Naonaga ananicheki tu lakini kwakua nshakua mkongwe baaas hakuna kelele

Huna heshima kwa wazazi wako, unamkomoa mzee wako? Alifanya kwa nafasi yake, ni zamu yako sasa kufundisha watoto wako.
 
Huna heshima kwa wazazi wako, unamkomoa mzee wako? Alifanya kwa nafasi yake, ni zamu yako sasa kufundisha watoto wako.
Yoooo, my nigga chilll bruh.. nakosaje heshima? Sijamdharau in any way. Is it a crime kutumia mkono ambao ni dominant kula?
I think we ni wale watu ambao wanaamini ukila kwa mkono tofauti na kulia then unakosea. Then why people are born left handed?
Ntawafundisha wanangu vitu vingi sana, tena vingi tu kutoka kwa baba yangu. But it doesnt mean kua ntaacha kuwaelejeza vitu ninavyoona ni sawa.
Its a shame kwa wewe kuona kua kutumia mkono wa kushoto kula ni kosa while huo huo ndo unaandikia na kuchezea mpira.
Wake up!
 
Back
Top Bottom