Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

Kama Mwanaume haupaswi kula chakula kingi nyumbani heshima yako itashuka

Katika muendelezo wa kupeana tips za hapa na pale kwa lengo la kuishi comfortable na kuhakikisha heshima ya mwanaume inabaki palepale licha ya mapinduzi makubwa ya teknolojia katika karne ya 21 ni vyema kuzingatia vitu ambavyo ni minor kwenye maisha lakini vina negative impact.

Back in days Mzee alikuwa akitengewa msosi heavy ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kichwa cha familia kinacho provide huduma zote muhimu pale nyumbani lakini jambo la kushangaza ni sehemu ndogo sana ya kile chakula mzee ndio alikuwa anakula kinachobaki tunapewa sisi mafood monger. mindset yangu kwa wakati huo iliamini baba ana upendo wa mshumaa yupo ladhi yeye asile lakini wategemezi wake tule tushibe licha ya kuwa yeye ndio mtafuta ridhiki nadhani hata mama alikuwa inspired na caring ya baba.

Nilipoanza kuwa karibu na baba haswa anapokuwa mbali na nyumbani ndio wakati niliojua kuwa sijui ya kwamba chakula anachokula baba awapo mbali na nyumbani ni heavy ndio maana akiwa home anajifanya sio mlaji kumbe ufood monger wangu nimeutoa kwake.

Mawazo yangu yalibadilika na kumuona mzee kama mbinafsi ila leo hii na mimi nimekuwa Baba nimeona alichokuwa akikifanya mzee ni hekima kubwa na washauri wale wenye familia msiwe mnakula sana majumbani kwenu.

From northern part of Tanzania.
Northern sAwa southern wanapiga king balaa
 
Mshua alikua anasema, ukiweza kucontrol table manners bas hata tabia ya mtoto itakua nzuri anavoendelea kukua. Nnachokumbuka ni kunyimwa kutumia mkono wa kushoto, na kwa kiburi changu nilikua nasema siku nikianza kushika hela yangi hakuna wa kuniambia kitu. Well, nlipomaliza kidato cha 4 miaka hiyo nkaanza kupiga job na kushika hela yangu japo ni kidogo. Baas nkarud kwa fujo kula kwa mashoto yangu. Mpka leo ikitokea nmeenda kwa wazee natumia lefti yangu japo sio kwenye ugali. Naonaga ananicheki tu lakini kwakua nshakua mkongwe baaas hakuna kelele
 
Katika muendelezo wa kupeana tips za hapa na pale kwa lengo la kuishi comfortable na kuhakikisha heshima ya mwanaume inabaki palepale licha ya mapinduzi makubwa ya teknolojia katika karne ya 21 ni vyema kuzingatia vitu ambavyo ni minor kwenye maisha lakini vina negative impact.

Back in days Mzee alikuwa akitengewa msosi heavy ulioandaliwa maalumu kwa ajili ya kichwa cha familia kinacho provide huduma zote muhimu pale nyumbani lakini jambo la kushangaza ni sehemu ndogo sana ya kile chakula mzee ndio alikuwa anakula kinachobaki tunapewa sisi mafood monger. mindset yangu kwa wakati huo iliamini baba ana upendo wa mshumaa yupo ladhi yeye asile lakini wategemezi wake tule tushibe licha ya kuwa yeye ndio mtafuta ridhiki nadhani hata mama alikuwa inspired na caring ya baba.

Nilipoanza kuwa karibu na baba haswa anapokuwa mbali na nyumbani ndio wakati niliojua kuwa sijui ya kwamba chakula anachokula baba awapo mbali na nyumbani ni heavy ndio maana akiwa home anajifanya sio mlaji kumbe ufood monger wangu nimeutoa kwake.

Mawazo yangu yalibadilika na kumuona mzee kama mbinafsi ila leo hii na mimi nimekuwa Baba nimeona alichokuwa akikifanya mzee ni hekima kubwa na washauri wale wenye familia msiwe mnakula sana majumbani kwenu.

From northern part of Tanzania.
Siku hizi hayo yamepitwa na wakati familia nzima inakula msosi heavy kwahiyo baba huna cha kuwapa watoto maana ulichokula ndicho wamekula muda mwingine wamekula na mengine extra zaidi yako.
Siku hizi watoto wanapewa sana priority ya kula misosi heavy kuliko hata baba. Au familia nzima kula vitu heavy. Enzi za baba anakula vilivyonona wengone wanakula vichwa vya samaki zishapita.
 
Dah umenikumbusha mbali sana ww jamaa, enzi hizo mshua anawekewa masamaki sato wale chukuchuku maana alikuwa anasumbuliwa na sukari, mara nyingi vichwa alikuwa hali kwa hiyo lazima aniite anikatie likichwa langu na nilikuwa nayapenda balaa ndiyo aanze kula. Alikuwa ananikubali kinyama continue RIP mzee
 
Unakuta Zee lishatandika kilo nzima ya mbuzi,ndizi 5 na likashushia na konyagi huko lilikotoka.hiyo hamu ya kula home itatoka wapi?
Afu yaelekea humu jf watu wengi mmetoka kwenye familia zenye dhiki ya chakula?how comes mtu ale abakize then ndio akupasishie wewe makombo?kwetu sisi chakula kilikua kingi tu hakukuwa na mtu ana time sijui ya kuvizia mshua abakize msosi.
 
Ni sijaona mantiki ya mtoa mada. Mimi ni Baba wa Familia nina watoto 5. Chakula kipo kinginhuku kijijini kwetu na mimi kama Baba najitahidi kuhakikisha msosi ni wa kusaza kwa watoto na sina utaratibu wa kula mtaani labda nisafiri kikazi. Sasa nishindwe kula kwangu eti naogopa watoto hawataniheshimu ila nikale Barabarani vyakula vinavyowekwa hamila?

Hiyo ni kwa ajili ya familia zenye uwezo wa chini. Nyumbani kwangu najiachia bwana, na watoto nao wanapiga sima lao tena huwa tunakula pamoja. Mara nyingi ikiwa usiku, namwambia mama yao weka kwenye sinia tule na watoto wetu kwa kushare chakula na mboga pamoja.
 
Unakuta Zee lishatandika kilo nzima ya mbuzi,ndizi 5 na likashushia na konyagi huko lilikotoka.hiyo hamu ya kula home itatoka wapi?
Afu yaelekea humu jf watu wengi mmetoka kwenye familia zenye dhiki ya chakula?how comes mtu ale abakize then ndio akupasishie wewe makombo?kwetu sisi chakula kilikua kingi tu hakukuwa na mtu ana time sijui ya kuvizia mshua abakize msosi.
Hiyo ya kuachiwa sio makombo wala familia maskini. Kwa zamani, huo ulikuwa utaratibu tu wa wazee wetu. Baba alikuwa mfanyakazi na alikuwa anajiweza ila ni raha Baba unapoachia chakula kwa watoto hata kama walikuwa na kushiba. Wengi wetu tumekuwa hivyo toka zamani.
 
Back
Top Bottom