Kwetu sie huu utaratibu haukuwepo ndio maana nashangaa.Hiyo ya kuachiwa sio makombo wala familia maskini. Kwa zamani, huo ulikuwa utaratibu tu wa wazee wetu. Baba alikuwa mfanyakazi na alikuwa anajiweza ila ni raha Baba unapoachia chakula kwa watoto hata kama walikuwa na kushiba. Wengi wetu tumekuwa hivyo toka zamani.
Au na mzee wangu atakuwa hivyo make ana mwili mkubwa ila anakula chakula hakiendani na mwili wake yaani maswala ya kula hayazingatii na akiwa home hawezi kula peke yake kama sio mkewe basi sie vihelehere tunaenda kumlisha baba chakula
Huo ni utaratibu wa familia za WAPUMBAVU zilizokuwa zinaongozwa na wazee WAPUMBAVU. Ni ujinga sana kusifia haya mambo. Ni mambo ya aibu watu wanatakiwa wawe wanaficha maana hapa conclusion tunayopata ni kuwa chakula kilikuwa hakitoshi. UMASIKINI MZIGOKwetu sie huu utaratibu haukuwepo ndio maana nashangaa.
Kuna mtu eti anaona huo ulikuwa ni upendo?😂😂 mpaka kafikia point kuandika mada kuwa baba hutakiwi kula sana nyumbani. Mtoa maada ni mpumbavusababu ya mzee kula kidogo nyumbani ni kwakua alikua anakula huko kazini. Ndo inavotokea wala sio swala la kimantiki. Kama huna kazi unakula vizuri tu.
Mama yako alikuwa mkorofiBi mkubwa akiona mzee ameniongezea nyama zake lazima aje kunipokonya anazirudisha kwenye sufuria.wa maza hawa!!!
Kweli kabisa mkuuHuo ni utaratibu wa familia za WAPUMBAVU zilizokuwa zinaongozwa na wazee WAPUMBAVU. Ni ujinga sana kusifia haya mambo. Ni mambo ya aibu watu wanatakiwa wawe wanaficha maana hapa conclusion tunayopata ni kuwa chakula kilikuwa hakitoshi. UMASIKINI MZIGO
Unafikiri hawali basiYawezekana hii ni sababu nyingine ya wanaume kufa mapema.Kujitwisha huruma na kufanya maigizo yanayoumiza aka "fujo inayoumiza/ua/tesa/kondesha.
Sio ulafi bali kuwapa riziki mama na baba lishe pamoja na kuongeza mzunguko wa pesa mtaani.KUPENDA KULA HOVYO MITAANI NI ULAFI
Siyo kuvizia msosi maana sio kila wakati unapasishiwa chakula kuna time chakula kinamwaga pointi ni kuwa mwanaume hupaswi kula sana ili kujijengea heshima yako.Unakuta Zee lishatandika kilo nzima ya mbuzi,ndizi 5 na likashushia na konyagi huko lilikotoka.hiyo hamu ya kula home itatoka wapi?
Afu yaelekea humu jf watu wengi mmetoka kwenye familia zenye dhiki ya chakula?how comes mtu ale abakize then ndio akupasishie wewe makombo?kwetu sisi chakula kilikua kingi tu hakukuwa na mtu ana time sijui ya kuvizia mshua abakize msosi.
Heshima sio kwa watoto pekee ni kwa familia nzima hususani mama mtu inabidi awe na hofu ya kukupoteza wabaki na imani maisha yao bila wewe ni kipengele lakini ya kwako bila yao still yataendelea tena comfortable kabisa.Ni sijaona mantiki ya mtoa mada. Mimi ni Baba wa Familia nina watoto 5. Chakula kipo kinginhuku kijijini kwetu na mimi kama Baba najitahidi kuhakikisha msosi ni wa kusaza kwa watoto na sina utaratibu wa kula mtaani labda nisafiri kikazi. Sasa nishindwe kula kwangu eti naogopa watoto hawataniheshimu ila nikale Barabarani vyakula vinavyowekwa hamila?
Hiyo ni kwa ajili ya familia zenye uwezo wa chini. Nyumbani kwangu najiachia bwana, na watoto nao wanapiga sima lao tena huwa tunakula pamoja. Mara nyingi ikiwa usiku, namwambia mama yao weka kwenye sinia tule na watoto wetu kwa kushare chakula na mboga pamoja.
Hii ni falsafa nzito sana.Umasikini ni mbaya sana! Tuukatae kwa nguvu zote
Wewe mzee wako atakuwa mchoyo unakulaje bila ya kuwa na uhakika ya kuwa watoto wako wameshibaYaani ule afu ubakishe ndo uwape watoto? Huo ni upendo wa wapi? Mzee wako alikuwa ni MPUMBAVU
Yawezekana ikawa kweli chakula hakitoshi ila kuna moments zinakuwa na maana yake na hazitokei kama ajaliNilichoelewa hapo ni kwamba chakula nyumbani hakitoshi.
sio rahisi kutenganisha familia za kitanzania na umasikini hata kama wewe kwenu zilikuwa zipo ila kuna mjomba, shangazi, baba yako mkubwa alikuwa masikini.Huo ni utaratibu wa familia za WAPUMBAVU zilizokuwa zinaongozwa na wazee WAPUMBAVU. Ni ujinga sana kusifia haya mambo. Ni mambo ya aibu watu wanatakiwa wawe wanaficha maana hapa conclusion tunayopata ni kuwa chakula kilikuwa hakitoshi. UMASIKINI MZIGO
Huu uzi umefanya nisikitike sana, kumbe kila siku tunajibizana na watoto wetu humu!Yawezekana ikawa kweli chakula hakitoshi ila kuna moments zinakuwa na maana yake na hazitokei kama ajali
Mtoto akila heavy inamsaidia sana kukua. Baba akila heavy, sababu tayari amekuwa anapata obesity. Na kama mtu ulidumaa utotoni halafu ukaanza kula heavy ukubwani ni hatari sana.Siku hizi hayo yamepitwa na wakati familia nzima inakula msosi heavy kwahiyo baba huna cha kuwapa watoto maana ulichokula ndicho wamekula muda mwingine wamekula na mengine extra zaidi yako.
Siku hizi watoto wanapewa sana priority ya kula misosi heavy kuliko hata baba. Au familia nzima kula vitu heavy. Enzi za baba anakula vilivyonona wengone wanakula vichwa vya samaki zishapita.