Rais kasema angekuwa na uwezo angewapa wastaafu hata elf 30 kwa mwezi nikajiuliza au alikuwa anataka kusema ana elf 10?Mzee mandiko matakatifu yanasema mwenye nacho ataongezewa, Mwinyi anaweza hata kuamua kununua ndege ya kisasa au kununuliwa na mwanae, lakini bado pesa za umma zinatumika vibaya kupeana zawadi na wakati kuna watu wanadai mafao yao ya milioni 2 ni shida kulipwa tena wametumikia miaka kibao.
Special oder, kwa sababu hata hizo benzi tunazo mitaani.Usalama wa gari ndio kitu muhimu zaidi bwashee!
Yaani ni mambo ya hovyo kabisaRais kasema angekuwa na uwezo angewapa wastaafu hata elf 30 kwa mwezi nikajiuliza au alikuwa anataka kusema ana elf 10?
Huyu alikuwa rais wa Uruguay alikuwa anatembelea Voxwagen.Raisi atembelee IST? Hivi nyie hamnaga akili?
Naaaam washauri washauri wana Lao Fao.List ni ndefu
Carina Ti
Rumion
Ipsum
Porte nknk
Hata hivyo tusimlaumu sana bi mkubwa SASHA kashaurika vibaya na wapigaji wanaojiinua taratibu kwenye utawala wake
Alitaka yeye mwenyewe. na aliamua kuishi hivyo maana aliona ndio maisha yanayo mfaa. Usaifiri wa serikal alipewa yeye ndio alikataa kuutumia.
Salama kabisa kiongozi wangu! Umenena vema na kwa weledi wote.. Bimkubwa kazungukwa na scavengers kila upandeNaaaam washauri washauri wana Lao Fao
Bi Mkubwa azinduke sasa kama sivyo atapitia wakati mgumu
Moyo ni teketeke kuhimili yanayojiri mitandaoni atakosa usingizi
Ateue wasio na vyama kumsaidia katika kufanya maamuzi kwa faida ya Taifa na sio chama
Sasa hivi wapiga deal left right n center
Mzee wa bwaga moyo yumo
Mzee wa kule kwenye bundi wengi yumo
Wale washamba wa kupenda wanawake wengi wenye mijing'ombe wamo
Wale wa imani kuu mbili wamo
Wale wa visiwani wasiopenda kujishughulisha kazi kudai cha kudai wamo
Kazi ipo
Salama Mkuu?