Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ni yeye kila mtu na utaratibu wake wewe JUHA
Hakuwa na tamaa hata Nyerere walitaka kumjengea nyumba kubwa ya ghorofa Butiama akawaambi yeye sio tembo.alitaka yeye mwenyewe. na aliamua kuishi hivyo maana aliona ndio maisha yanayo mfaa.
usaifiri wa serikal alipewa yeye ndio alikataa kuutumia.
maybe. maybe not. ila kuna kiongoz wa afrika mwenye udhubutu huo?Hakuwa na tamaa.
Nyerere.maybe. maybe not. ila kuna kiongoz wa afrika mwenye udhubutu huo?
Hahahahha hawa jamaa swaumu kali naona 🤓🤓🤓 yani mstaafu atembelee fun cargo?Raisi atembelee IST? Hivi nyie hamnaga akili?
Rais nani Mwinyi?Hayo magari ya kupanda Profesa Assad ndio unadhani yana hadhi ya Rais ?
Sent from my vivo 1915 using JamiiForums mobile app
IST, FunCargo ni za wadada kuendea kwa michepukoKulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.
View attachment 1778776View attachment 1778777
Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.
View attachment 1778844
Aliopostaafu alipewa zawadi ya tractor.
View attachment 1778855
Juha tena.Si ni yeye kila mtu na utaratibu wake wewe JUHA
Tatizo ni sababu zilizotolewa kutoa zawadi.😹😹😹 Hata kama ni upinzani tuwe na kiasi jamani!! Yaani aliyewahi kuwa Rais wa both JMT na Zanzibar atembelee Carina?? Hii nchi sio Maskini kwa extent hiyo
Tatizo wanàmfananisha Mzee Ruksa na wale wazee wa Saigon pale kariakoo... wamesahau huyu alikuwa kiongozi wa nchi na wamesahau zaidi yako magari ya thamani alipewa Mwalimu baada ya kustaafu hata akajengewa na nyumba ya kuishi kule Butiama (hatukuwa tumetajirika au nchi kuwa katika neema bali ni heshima kwa utumishi wake)Usalama wa gari ndio kitu muhimu zaidi bwashee!
Mkuu hapo ndipo akili zetu zimegotea...😹😹😹 Hata kama ni upinzani tuwe na kiasi jamani!! Yaani aliyewahi kuwa Rais wa both JMT na Zanzibar atembelee Carina?? Hii nchi sio Maskini kwa extent hiyo
Kwanini basi unajadili vitu visivyo na akili si unge- mute.Tatizo wanàmfananisha Mzee Ruksa na wale wazee wa Saigon pale kariakoo... wamesahau huyu alikuwa kiongozi wa nchi na wamesahau zaidi yako magari ya thamani alipewa Mwalimu baada ya kustaafu hata akajengewa na nyumba ya kuishi kule Butiama (hatukuwa tumetajirika au nchi kuwa katika neema bali ni heshima kwa utumishi wake)
Tunapaswa kujadili vitu vyenye akili zaidi kama katiba mpya na sheria mbovu na onezi kuondolewa kuliko kuhamishia magoli kwenye "vitu vya kipuuzi"
Mbona niliona kwenye tv ikionesha anapokea funguo?Amelikataa tena? Kisa?
These are below his diginity!Kulingana na hali halisi ya nchi yetu ya umasikini ningeshauri kuliko kumpa Rais mstaafu Ally Hassan Mwinyi Benzi ya milioni 300 ambayo nasikia hata hivyo ameikataa bora tungempa zawadi ya gari aina ya IST au Fun cargo ambazo ni za chini zaidi kwa urefu na bei ni nafuu. Ni ushauri wangu tu.
View attachment 1778776View attachment 1778777
Rais wa Uruguay mstaafu Jose Mujica enzi ya urais wake (2010 - 2015) alikuwa anatembelea Voxwagen.
View attachment 1778844
Aliopostaafu alipewa zawadi ya tractor.
View attachment 1778855