Kama ni gari ya chini kwa Mzee Mwinyi, kwanini isiwe IST au Fun Cargo za bei rahisi?

Kwanini haya maneno yaibuke wakati huu wa Mama Samia, mbona alipofanya hivi magufuli hamkuja na nukuu za maneno matakatifu?
 
Huna akili!Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria zilizopo na wala siyo kwa mujibu wa biblia.Kama huna cha maana cha kuandika ni vyema kukaa pembeni ili kuficha ujinga wako na kuepusha server za JF kujaa ujinga.
 
Kuna watu wana nongwa!
 
Huna akili!Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa katiba na sheria zilizopo na wala siyo kwa mujibu wa biblia.Kama huna cha maana cha kuandika ni vyema kukaa pembeni ili kuficha ujinga wako na kuepusha server za JF kujaa ujinga.
Hiyo katiba inalindwa kwa Biblia na Q'uran!

Yawezekana wewe ndio mbwiga.

Hata hapo Ufipa Mbowe anaongezewa kuliko Nyangali Mdude!
 
Acheni nongwa jamaniiiiiii
Kwani Benz tuu ndio uzi wote huu?
 
Hiyo katiba inalindwa kwa Biblia na Q'uran!

Yawezekana wewe ndio mbwiga.

Hata hapo Ufipa Mbowe anaongezewa kuliko Nyangali Mdude!
Huna akili kwa sababu watu ambao hatuamini katika Mungu hatujui hayo mambo ya biblia na kuruani.Unaelewa kuwa katika nchi siyo watu wote wana dini?Unaingizaje mambo ya dini katika uongozi wa nchi wakati kuna watu ambao hawaamini katika hayo mambo?
 
Mkuu IST alisikika mkuu akisema huwa wanahongwa watu mahawala zao
Ni kwa sifa hiyo tu inaonekana sio sawa
Rejea kauli ya RC kijana kuliko wote alieshika jiji la Dar
 
Huna akili kwa sababu watu ambao hatuamini katika Mungu hatujui hayo mambo ya biblia na kuruani.Unaelewa kuwa katika nchi siyo watu wote wana dini?Unaingizaje mambo ya dini katika uongozi wa nchi wakati kuna watu ambao hawaamini katika hayo mambo?
Watu wenye dini ndio wanaokuongoza wewe mbwiga.

Viongozi wote waliopo madarakani nchini Tanzania wameapa ama kwa kutumia Biblia au Q'uran.

Wewe usiye na dini kwa sasa endelea kupokea maelekezo hata kama akili zako ni nyingi kama pipa la mbege!
 
Mtu wa kiwango cha AH Mwinyi ambaye tayari ana stahiki ya kupewa gari jipya kila baada ya miaka minne na marupurupu kibao ya mamilioni kila mwaka SI SAHIHI kumpa zawadi ya gari. Hizo ni zawadi za kimasikini.

Angepewa zawadi yenye ubunifu zaidi ambayo ni symbolic kama kazi makini ya taswira (exquisite work of art) inayoandaliwa na msanii maarufu na kuwekwa kwenye kumbukumbu zake kuu. Haya magari ya anasa ni kumharibia sifa yake kwa jamii. Kumfanya aonekane mroho asiye na kiasi wakati hana uhitaji nayo.
 
d
duuu
 
Mzee wako anaweza kununuliwa hata bajaji, mzee mwinyi sio mzee wako
 
Kiuhalisia mzee mwinyi anaistahiri hiyo zawadi kwa jinsi uongozi wake ulivyokuwa wa kistaarabu tofauti na lile jiwe la matikiti kutoka Chato
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…