Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

Kama ni kweli, basi comrade Kinana amepuuzwa!

We mtoa mada ungetoka hospital hujarecover completely ungetaka makamera kwako?. Msipende kudandiadandia mambo bhana. Au basi mtumeni Woody akapige picha kwa juu pale kwa comrade
Ebu tuliza mshono huo
 
Habari wanajamvi!

Sijaamini maneno ya msemaji wa chama cha Mapinduzi labda nitaaminishwa baadae. Kwa maneno yake Katibu mwenezi anasema ni kweli mwanasiasa nguli na Katibu Mkuu wa chama cha mapinduzi comrade Alhajji Abdulrahman Kinana alikuwa anaumwa, na alipelekwa nje ya Nchi kwaajili ya matibabu,lakini kwa sasa amerudi yupo Nchini anapumzika nyumbani kwake! Hajafafanua kama ni Dar es salaam au Arusha. Nikajiuliza maswali yafuatayo;

- Hivi inawezekana kweli Katibu Mkuu wa chama arudi kutoka kwenye matibabu halafu asipokelewe na Mtu yeyote pale Airport? Hata ndugu zake hawakwenda kumlaki? Yaani asionekane na mwandishi wa habari hata mmoja?

- Tuseme yupo nyumbani kweli anaendelea kupumzika baada ya matibabu na huenda ana ED za miezi miwili au mitatu, lakini hakuna hata mtu mmoja alie kwenda kumpa pole? Yaani hata katibu mwenezi Naibu katibu mkuu hawajaenda kumpa pole!

- Yaani hata viongozi wote wanao julikana kwa uungwana wao wa asili kama Mbowe, Maalimu Seif, n.k Hawajaenda kumjulia hali? Nini kimetokea?

Ndio maana nikaishia kusema kama ni kweli kuwa Comrade Alhajji Abdulrahmani Kinana amerudi yuko nyumbani na hakuna mtu hasa wanao penda kuonekana kwenye vyombo vya habari, basi ni dhahiri ndugu yetu amedharauliwa na kupuuzwa.

Binafsi naomba wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kampeni pole kwa niaba yangu.
View attachment 505109
Na ikiwa kweli alitumwa kwa matibabu naamini siku aliyorudi tbc ingeamriwa ionyeshe tukio la kurudi kinana live Ili kuwakomesha waliosema yupo house arrest.
 
Kuna Uzi uliorushwa kwamba alipotaka kuhutubia tu wanahabari alikamatwa na kutiwa vitasa vya kutosha coz ilionekana anataka kumuunga mkono nape

Hii ina maana kwamba kama angelazimisha kuonana na media yangelimkuta yaliyomkuta Nape!!!
Kwa ujumla huyu Rais wa sasa ameonyesha kila dalili pasi na shaka kuwa ni Rais DIKTETA na KATILI ambaye Tanzania haikuwahi kuwa naye tangu uhuru!!!!.
 
Jaman kama katibu amekuja haliyake haijaricover apokelewe2 na wa2 kunahali pia yamgonjwa inayoruhusu kupokelewa nawatu mtoa hii mada labda atufafanulie alitakaje nakwann nakwafaidagan kwahicho alichokitaka
Wewe haya yanayo endelea unayaona ya kawaida? Watanzania tuna utamaduni wetu. Mwalimu alipo lazwa Uingereza watu walikuwa wanabadilishana kwenda kumjulia hali. Hata speaker wa Bunge Job Ndugai alipo lazwa India watu wengi sana walienda kumjulia hali. Hata alipokuwa anaendelea na mapumziko nyumbani kwake watu chungu nzima walienda kumjulia hali na kumuombea apone haraka. Sasa imekuwaje kwa Comrade Kinana? Watu hawaendi kumpa pole? Au wameambiwa wabane matumizi?
 
Ndio tatizo lipo hapo! Kama ungekuwa umesoma saikolojia ungejua kuwa Polepole amedanganya. Akiwa ana sema kitu cha kweli kutoka moyoni mwake lile siyo pozi lake kabisa.
Proposition yako hiyo ni objective au subjective? Verify please!

NB: Sisomi Saikolojia, nafundisha Saikolojia!
 
Proposition yako hiyo ni objective au subjective? Verify please!

NB: Sisomi Saikolojia, nafundisha Saikolojia!
Unamfahamu vizuri Polepole? akiwa na uhakika wa jambo kwanza huwa confident asilimia mia na hutoa a certain smile ya kuonesha anakwenda sambamba na hadhira. Jana alikuwa anachagua maneno kwa umakini mkubwa.
 
Mbona sioni tatizo lolote....

Mmeumbuka kwenye ndege na huyo mpiga picha wenu sasa mmeibuka na non issue kuhusu mzee Kinana....

Bado nacheka kuhusu mpiga picha Woody....😀
Naona Wasukuma mmeunda Alliance yenu. Anyway ni zamu yenu hii ila mjitahidi walau kujenga vyoo huko kwenu.
 
Back
Top Bottom