Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Yalipokuwa yakiuzwa 1500 jembe lilimtupa mkulima.?Jembe halimtupi mtu nenda kalime kama unataka usinunue kwa bei hiyo uliyoitaja.
Miaka mitano ya utawala wake kulikuwa hakuna ajira,kapora uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu 2020,Kaingiza wale wanawake wahuni 19 Bungeni,katusababishia majanga mengi leo Mama Samiah anahangaika namna ya kuboresha nchi iliyoharibiwa na yule Kibaraka wa shetani.Kwa mafisadi kama nyinyi sawa!
Heri ya leo Wakulima wana enjoy bei ya mazao imepanda.Yalipokuwa yakiuzwa 1500 jembe lilimtupa mkulima.?
Leo wanatuuzia 3600 kg, halafu wakienda kununua vifaa vya ujenzi wanakuta moto! Pembejeo rushwa kibao, huduma za hospital dawa hakuna na rushwa njenje!
Hapo bado jembe halijamtupa?
Nilisikia alipotoaka China alienda nchi GANI sijui ,hivi kaisha Rudi, au bado kwa kuanzia apo ,1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.
2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.
3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.
4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.
5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.
6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.
7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.
8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Namba nne imesababisha nipaliwe muhindi wangu wa kuchoma1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.
2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.
3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.
4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.
5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.
6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.
7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.
8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Mpaka leo hufahamu kwamba suala la mitandao ya simu ni jambo kubwa sana hapa nchini?Duh raisi ajiuzulu kwa vifurushi vya internet? kwamba watanzania wote maisha yao yanategemea internet ama mm sijaelewa
Duh.! [emoji848]Ukitoka misri ataenda Morocco maana nasikia huko pia kuna mikopo ya riba nafuuu
Mengine kama mfumuko wa bei, tatizo la maji na umeme hujayaona!!!???Duh raisi ajiuzulu kwa vifurushi vya internet? kwamba watanzania wote maisha yao yanategemea internet ama mm sijaelewa?
ajira na mitaji.... kama serikali iliyopita ilshindwa na kuacha kabisa kuajiri watu kwa miaka yote mitano lazima pawe na tatizo la ajira tu
wabunge wasio na chama (nawachukia maana nilichanga pesa yangu ili watoke jela) magufuli aliiba uchaguzi 2021 mpaka akapitiliza wale walipelekwa bungeni na ndugai kwa maagizo ya mkubwa wake
Sina lengo la kumtetea yeyote
Sisi wananchi tunaikumbuka awamu ya JPM kwa mema iliyotutendea, wewe ilikufanyia baya lipi? Uliba.kwa?Hakuna awamu iliyofanya mabaya ya kutisha kama awamu ya tano.
Akili kisodaJembe halimtupi mtu nenda kalime kama unataka usinunue kwa bei hiyo uliyoitaja.
Kukopa sio tatizo. Tatizo Ni kwamba zikishaingia nchini wanazigawana wachache. Umeona Ile clip ya afisa wa halmashauri ya Longido aliye jichotea milioni 200+ mkuu wa wilaya (dogo fulani mwenye kiburi na dharau ) alivyoleta fyoko alichotewa 90M atulie. Sio maneno yangu, Ni maneno ya mbunge wa pande hizo.Ukitoka misri ataenda Morocco maana nasikia huko pia kuna mikopo ya riba nafuuu
Umasikini umeuishi mpaka sasa umefikia hatua ya kuutetea na kujivunia.Hivi mnaona dar slam ndiyo Tanzania nzima? Yaani maji yakose dar basi wote tulie kuna maeneo umeme unakatika kwa nadra sana, yaani mtu unaweza kumaliza hata miezi miwili umeme hujawahi kukatika hata siku moja, ikitokea ukakata hata dk haiwezi kuisha umesharudi, kuna maeneo tangu dunia iumbwe hayajawahi kuona umeme, kuna watu unaposema internet haelewi unazungumzia nini, kuna jamii vizazi na vizazi hawajawahi kutegemea ajira za serikali.....kuna maeneo mtu hajawahi kuona ukame au ukosefu wa maji uliokithiri yaani kuna mito , madimbwi na mvua zinapiga kwa wakati kila mwaka..... hivyo hoja zako si nzito kiasi kumfanya Rais wa Taifa zima kujiondoa madarakani bali uanze na viongozi wa ngazi za chini ambao wanaishia kwenye eneo ambalo lina changamoto hizo
Na mwenyewe anaona kaandika na kutoa maoni ya maaaanaaaaaDuh raisi ajiuzulu kwa vifurushi vya internet? kwamba watanzania wote maisha yao yanategemea internet ama mm sijaelewa?
ajira na mitaji.... kama serikali iliyopita ilshindwa na kuacha kabisa kuajiri watu kwa miaka yote mitano lazima pawe na tatizo la ajira tu
wabunge wasio na chama (nawachukia maana nilichanga pesa yangu ili watoke jela) magufuli aliiba uchaguzi 2021 mpaka akapitiliza wale walipelekwa bungeni na ndugai kwa maagizo ya mkubwa wake
Sina lengo la kumtetea yeyote