Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Kama Rais Samia ameshindwa kazi basi ajiuzulu maana hali inazidi kuwa mbaya

Hivi mnaona dar slam ndiyo Tanzania nzima? Yaani maji yakose dar basi wote tulie kuna maeneo umeme unakatika kwa nadra sana, yaani mtu unaweza kumaliza hata miezi miwili umeme hujawahi kukatika hata siku moja, ikitokea ukakata hata dk haiwezi kuisha umesharudi, kuna maeneo tangu dunia iumbwe hayajawahi kuona umeme, kuna watu unaposema internet haelewi unazungumzia nini, kuna jamii vizazi na vizazi hawajawahi kutegemea ajira za serikali.....kuna maeneo mtu hajawahi kuona ukame au ukosefu wa maji uliokithiri yaani kuna mito , madimbwi na mvua zinapiga kwa wakati kila mwaka..... hivyo hoja zako si nzito kiasi kumfanya Rais wa Taifa zima kujiondoa madarakani bali uanze na viongozi wa ngazi za chini ambao wanaishia kwenye eneo ambalo lina changamoto hizo
Hawajui wanataka nini, basi kulalamika tu
Kila uchwao, ngoja lije katili lengine
 
Na wewe hamia Burundi kama maisha chini ya utawala wake yamekushinda
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Mbona jpm hakuwahi kujiudhuru wakati ajira alimaliza zote na hakuwahi kuongeza mishara hata siku moja kwa wafanyakazi kinyume na matakwa y sheria. Mbona alikuwa anaua ovyo ovyo raia wake bil huruma. Mbona aliharibu kilimo kila Kona ya nchi. Alifanikiwa tu zoezi la korona peke yake na penyewe akufanya trial and error.
 
Kwa viongozi wa afrika kujiuzulu pasipo maandamano ya wananchi yasiyo na kikomo haitawezekana kabisa licha ya nchi yetu kuendelea kuharibiwa na hii awamu.Lakini sisi wananchi tukiwa na ushirikiano kwa kufannya maandamano kuelekea ikulu yao inawezekana kabisa wao kuachia ngazi.wananchi tuchukue hatua,watu wa uingereza wameweza kwa nini sisi isiwezekane?
Nyinyi haiwezekani kuandamana bila kikomo, sababu ni kwamba - mlo wa siku lazima utafutwe siku hiyo hiyo (daiwaka)! Ukienda maandamanoni, ujuwe siku hiyo huli.
Maana wengi wetu ni vibarua. Wachache wenye kazi za kudumu wanamsaporti huyo mtawala!
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Usihofu atajiudhuru 2030
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Haya matatizo yalikuwepo toka longi usimsingizie maza. Muasisi wa matatizo haya ni CCM toka mwaka 1995 hadi leo matatizo yanajirudia rudia tu, mfano No 7 ilichezewa sana sana kipindi cha Kikwete.

Watanzania wenzangu bila CCM kuibutua nawahakikisha - HATUTOBOI.
 
Hali ya maisha ni ngumu jamani,umeme na maji vimeshakuwa kero
 
Kiukweli Rais wetu anatufadhaisha, yaani nchi inachezewa na wahuni tena mchana kweupe hachukui hatua.
Ahueni ya masikini ni kuona kiongozi wake akipambana kulinda rasilimali zao hata kama watalala njaa lakini wanafurahia kuona Rais wao anadhibiti kila aina ya WIZI, sasa kinyume chake, Masikini anapitia maumivu pale anapoona kuna kundi la watu wanakula raha yeye anateseka halafu kibaya analazimishwa kusifia.
Saa nyingine mtafunga watu jela kwakuwa wapo tayar kuwaombea Dua mbaya hata mpatwe na matatizo kwakuwa hamjali maumivu yao.
Rais Samia aambiwe tu ukweli kuwa nchi inakwenda shimoni na wanaokula raha ni yeye na wateule wake ambao ni chini ya 1%
 
Hii nchi inahitaji Benevolent dictator bila kujali jinsia, kusema anaoenewa kisa ni Mwanamke ni kutafuta kichaka cha kuficha udhaifu wake.
Ajaye ni DICTATOR, wanamtengeza wenyewe Kwa Uporaji wa wazi wa Mali za ummaaa!!!!
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Inasikitisha Sana. Tanzania nchi nyepesi kuongoza.

Our president is completely incompetent
 
Kiukweli Rais wetu anatufadhaisha, yaani nchi inachezewa na wahuni tena mchana kweupe hachukui hatua.
Ahueni ya masikini ni kuona kiongozi wake akipambana kulinda rasilimali zao hata kama watalala njaa lakini wanafurahia kuona Rais wao anadhibiti kila aina ya WIZI, sasa kinyume chake, Masikini anapitia maumivu pale anapoona kuna kundi la watu wanakula raha yeye anateseka halafu kibaya analazimishwa kusifia.
Saa nyingine mtafunga watu jela kwakuwa wapo tayar kuwaombea Dua mbaya hata mpatwe na matatizo kwakuwa hamjali maumivu yao.
Rais Samia aambiwe tu ukweli kuwa nchi inakwenda shimoni na wanaokula raha ni yeye na wateule wake ambao ni chini ya 1%
Leo yupo kigamboni akizindua visima baada ya hapo anakwea mwewe tena sijui wapi? Walamba asali wameshamwandalia safari tayari!
 
1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.

2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.

3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.

4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.

5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.

6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.

7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.

8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Mm mhanga wa point no:8
 
Back
Top Bottom