Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ili deni la taifa lifikie pazuri.Ukitoka misri ataenda Morocco maana nasikia huko pia kuna mikopo ya riba nafuuu
Mbona wanajitapa kuwa pesa ya mkopo imeongezeka? Kwani hizo nyongeza anakulaga nani.Ongeza kukosefu wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu! Itasababisha dada zetu wengi kujiuza wakiwa vyuoni! Huyu mama kashafeli tokea anaanza alikuwa na mihemko sana kana kwamba anaenda kuongoza Saccos!
Mpaka watu wanafikia kwenye foleni ya kununua mbolea ya ruzukuYalipokuwa yakiuzwa 1500 jembe lilimtupa mkulima.?
Leo wanatuuzia 3600 kg, halafu wakienda kununua vifaa vya ujenzi wanakuta moto! Pembejeo rushwa kibao, huduma za hospital dawa hakuna na rushwa njenje!
Hapo bado jembe halijamtupa?
Walanguzi ndiyo wana enjoy wala sio wakulima, middleman ndyo wanufaika wala si wakulima wanalima kwa taabu ilihali pembejeo wanazipata kwa gharama kubwa.Heri ya leo Wakulima wana enjoy bei ya mazao imepanda.
Hivi hayupo nchini?Nilisikia alipotoaka China alienda nchi GANI sijui ,hivi kaisha Rudi, au bado kwa kuanzia apo ,
Sasa hao walamba asali wanamtetea ili asione matobo, kazi anayofanya ni kuchota maji nakuyamwagia katika chujio la nazi yeye akizani ni bakuri.Kukopa sio tatizo. Tatizo Ni kwamba zikishaingia nchini wanazigawana wachache. Umeona Ile clip ya afisa wa halmashauri ya Longido aliye jichotea milioni 200+ mkuu wa wilaya (dogo fulani mwenye kiburi na dharau ) alivyoleta fyoko alichotewa 90M atulie. Sio maneno yangu, Ni maneno ya mbunge wa pande hizo.
Nenda halmashauri ya Bunda ukajionee mabosi wanavyochojichotea mabilion. Mnakumbuka Kuna mtu alijinunulia gari ya ova 450M sawa na dispensary au madarasa saidi ya kumi au complete sekondari school ya mikondo miwili.
Nani amebahatika kuona gari analotembelea Mwigulu? That car is over 500M. Zaidi ya Bei ya Basi la abiria 52.
Mtu mmoja anatembelea gari yenye Bei zaidi ya bus.
Huku Kuna watu hawawezi kununua kilo ya unga kwa sh 2000. Lakini who cares?
Inaelekea akikaa hapo ikulu ni kuwaza mwezi unaofuata aende nchi gani na asaini mkataba wa mwekezaji yupi.
Hakuna maamuzi yeyote ya maana yaliyofanyika mpaka sasa kuwanusuru wananchi na ugumu wa maisha.
Waitishe tu uchaguzi mapema.
Hakika nakubaliana na wewe!Dah wewe jamaa nakumbuka miaka ya nyuma ulikuwa kichwa ngumu unatetea serikali hata pale wananchi wanapoumia.
Nini kimebadilika sasa?
Nikukumbushe; siku zote chagua upande wa wananchi, hata kama ni masikini na wanaonekana wajinga. Wananchi ndiyo sauti ya Mungu.
Hakika nakubaliana na wewe!
Samia imeshamshinda. Sema tu ili mradi kunakucha hakukuchi wananchi wanajiishia tu.1. Umeme umekuwa bidhaa adimu kwenye maeneo mengi huku kila siku kukiwa na matamko ya megawati.
2. Upatikanaji wa maji safi na salama imekuwa ni anasa maeneo mengi na hasa katika jiji la Dar es salaam.
3. Vifurushi vya intaneti vinapandishwa kadri watoa huduma wanavyojisikia ikiwa ni pamoja na wizi wa vifurushi kwa kuvimaliza mapema.
4. Wabunge wasiokuwa na chama na hata hawajui nani aliwateua bado wanaendelea kukaa bungeni na kulipwa kodi za watanzania.
5. Uzembe wa serikali katika kuimarisha mfumo wa kukabiliana na majanga. Hili jambo limejirudia sana na watu wanakufa bila msaada.
6. Mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa mbalimbali hasa kwenye chakula, usafirishaji na ujenzi.
7. Mizaha juu ya upatikanaji wa katiba mpya. Sheria iliyotungwa kukamilisha upatikanaji wa katiba mpya inapuuzwa.
8. Ukosefu wa ajira na mitaji kwa vijana kumepelekea udhalilishaji wa sekta ya elimu na kumomonyoka kwa maadili.
Kazi aliyoifanya Rais Samia Ni kubwa Sana katika muda huu mfupi aliokaa ikulu Kama Rais wetu, Amefungua milango mingi ya uwekezaji, Sasa wawekezaji wanazidi kufurika na kumiminika nchini Hali inayochochea ongezeko la fursa za ajira pamoja na mapato ya kikodi, kila secta imeimarika na inasonga mbele, wananchi Wana Imani kubwa na uongozi wa mama Samia maana wameona namna anavyowajaliInaelekea akikaa hapo ikulu ni kuwaza mwezi unaofuata aende nchi gani na asaini mkataba wa mwekezaji yupi.
Hakuna maamuzi yeyote ya maana yaliyofanyika mpaka sasa kuwanusuru wananchi na ugumu wa maisha.
Waitishe tu uchaguzi mapema.
Amebadilika baada ya mwendazake kwenda zake.Dah wewe jamaa nakumbuka miaka ya nyuma ulikuwa kichwa ngumu unatetea serikali hata pale wananchi wanapoumia.
Nini kimebadilika sasa?
Nikukumbushe; siku zote chagua upande wa wananchi, hata kama ni masikini na wanaonekana wajinga. Wananchi ndiyo sauti ya Mungu.
Amebadilika baada ya mwendazake kwenda zake.
Kazi aliyoifanya Rais Samia Ni kubwa Sana katika muda huu mfupi aliokaa ikulu Kama Rais wetu, Amefungua milango mingi ya uwekezaji, Sasa wawekezaji wanazidi kufurika na kumiminika nchini Hali inayochochea ongezeko la fursa za ajira pamoja na mapato ya kikodi, kila secta imeimarika na inasonga mbele, wananchi Wana Imani kubwa na uongozi wa mama Samia maana wameona namna anavyowajali
Huku nyuma wanabaki wanakwangua mpaka nyusi [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Leo yupo kigamboni akizindua visima baada ya hapo anakwea mwewe tena sijui wapi? Walamba asali wameshamwandalia safari tayari!
Sudan walimtoa Omar lisa kupanda kwa bei ya mkate tu, mambo madogo madogo kwa wananchi yanayochukuliwa simple na viongozi wa kiafrika, ndo huwa yanawagharimu!Duh raisi ajiuzulu kwa vifurushi vya internet? kwamba watanzania wote maisha yao yanategemea internet ama mm sijaelewa?
ajira na mitaji.... kama serikali iliyopita ilshindwa na kuacha kabisa kuajiri watu kwa miaka yote mitano lazima pawe na tatizo la ajira tu
wabunge wasio na chama (nawachukia maana nilichanga pesa yangu ili watoke jela) magufuli aliiba uchaguzi 2021 mpaka akapitiliza wale walipelekwa bungeni na ndugai kwa maagizo ya mkubwa wake
Sina lengo la kumtetea yeyote
Mzee hiyo ofisi ni ngumu. Unakula na kulala na mafisi yanayokuzunguka. Sijui kama umefanya kazi serikalini ukaona mali za nchi zinavyoharibiwa. Ukiwasema tu maisha yako yanakuwa hatarini. mimi nilibidi nitoroke tu maana sikua na jinsi. Ku fight na hao mafisi ni ngumu maana ukizunguka huku wao wako kule wanachapa. Sana sana inabidi uwe na moyo wa kidi kteta kwa kiasi fulani.Hakuna mtu anayemuonea, yeye ashughulikie haya matatizo sugu ili nchi isonge mbele na kama ameshindwa atuachie ofisi.
Mzee hiyo ofisi ni ngumu. Unakula na kulala na mafisi yanayokuzunguka. Sijui kama umefanya kazi serikalini ukaona mali za nchi zinavyoharibiwa. Ukiwasema tu maisha yako yanakuwa hatarini. mimi nilibidi nitoroke tu maana sikua na jinsi. Ku fight na hao mafisi ni ngumu maana ukizunguka huku wao wako kule wanachapa. Sana sana inabidi uwe na moyo wa kidi kteta kwa kiasi fulani.