Texas Tiger
JF-Expert Member
- Nov 5, 2022
- 483
- 1,100
Nimegundua wewe Ni Tapeli kutoka Chadema, mkulima gani asiye mpongeza na kumshukuru Rais Samia? Mkulima gani ambaye hajafaidika na jasho lake mwaka huu? Mkulima gani ambaye hajafurahishwa na utoaji wa Ruzuku na kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea? Hao siyo wakulima Bali Ni mkusanyiko wa wapiga soga na wababaishaji kutoka hapo ufipa makao makuu ya kutafuna Ruzuku na michango ya akina Sabodo na wadau wengineo
Wakulima wa Tanzania kwa umoja wao wameikataa serikali goigoi.
Wanasema serikali ya Samia na genge lake haina tija kwao.
Sasa hivi kila mkulima anafanya kazi kwa bidii, wengi wanatunza pesa Ili wachimbe visima, wanunue sola lakini pia wanashirikiana kwa umoja wao kupata masoko ya mazao bila kutengemea serikali.
Asilimia 100% ya wakulima wameikataa serikali ya Samia. Kifupi hawana time nayo.