Pre GE2025 Kama Rais Samia anaingia jikoni kupika basi hapa kuna la kujifunza

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Acha tububujikwe na machozi ya Furaha
 
Wabongo bwana. Mnasifia hata visivyostahili. Mbona viongozi wengi tu duniani wanapika, tena wanaume? Labda ni Afrika tu ndiko wanaume hawapiki lakini majuu matajiri na viongozi wengi wanaume huwa wanapika ije kuwa Samia ambaye ndiyo kazi yake hasa? NB: wazungu hawapiki kila siku kama sisi.
 
hiyo kazi nzuri sana na anaiweza sana ya jikoni. Huku kwengine awaachie wanaume waendelee na kazi ya urais. Alafu wanawake mnatukera sana, mimi wakwangu nimemwona hawezi kazi namwambia namletea mdada wa kazi anagoma sasa mwaka wa nne namwambia nikimleta mdada sitaki umfukuze hataki.....nawaza kumrudisha kwao maana si kupika si kufua hakuna kitu huhuhuhu!
 
Relax
 
Kuandaa maandalio🤣
Walimu saa kumi wako nyumbani, wanafaa kwa matumizi ya nyumbani😂😂😂 sasa oa mhasibu wa benki, benki saa kumi inafungwa anabak kufunga mahesabu mpaka saa 1 nyumbani anaingia saa nne, amechoka hatari chakula cha usiku utapewa kwa mbinde
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…