Acha tububujikwe na machozi ya FurahaNasema Mamaa Mamaa nani kama Mamaa, machozi ya furaha yananibubuji kweli huyu ndiye Rais tunaemuhitaji, wale wavimba macho waendelee kubweka tu.
Nasema Mamaa Mamaa nani kama Mamaa, machozi ya furaha yananibubuji kweli huyu ndiye Rais tunaemuhitaji, wale wavimba macho waendelee kubweka tu.
Ila CCM Kwa drama hawajamboo...
Kwa hyo hapo Wana CCM wanabubujikwa na machozi ya furaha kisa mama anajua kupikaa[emoji2957][emoji2957]
Mwl anachoka na nini, saa kumi yuko nyumbanKutana na Mwalimu au nurse kila siku kachoka na ni mwendo wa beki 3 tu
Kuandaa maandalio🤣Mwl anachoka na nini, saa kumi yuko nyumban
🤣🤣🤣Hii ndio kazi anayoiweza sasa, hilo zigo lingine alilojitwisha analazimisha tu.
Any way, ametububujisha kwa machozi ya furaha
Tusubiri kuona Baba akikamilisha 50/50 kwa kuandaa meza na kuosha vyombo. Charity Begins At Home. 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.
Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi
Itakuwa poaTusubiri kuona Baba akikamilisha 50/50 kwa kuandaa meza na kuosha vyombo. Charity Begins At Home. 😄 🤣 😂 😆 😄 🤣
Wabongo bwana. Mnasifia hata visivyostahili. Mbona viongozi wengi tu duniani wanapika, tena wanaume? Labda ni Afrika tu ndiko wanaume hawapiki lakini majuu matajiri na viongozi wengi wanaume huwa wanapika ije kuwa Samia ambaye ndiyo kazi yake hasa? NB: wazungu hawapiki kila siku kama sisi.Wale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.
Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi
Lucas Mwashambwa anatoa mstari gani hapoWale ambao tukiajiriwa au kupata hela kidogo tu tunatafuta wadada wa kazi.
Wale tusiojua kupika, kuna la kujifunza hapa.
Pia soma: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Hongera kiongozi kuna maisha nje ya kazi na kuna majukumu nje ya kazi
RelaxWabongo bwana. Mnasifia hata visivyostahili. Mbona viongozi wengi tu duniani wanapika, tena wanaume? Labda ni Afrika tu ndiko wanaume hawapiki lakini majuu matajiri na viongozi wengi wanaume huwa wanapika ije kuwa Samia ambaye ndiyo kazi yake hasa? NB: wazungu hawapiki kila siku kama sisi.
Walimu saa kumi wako nyumbani, wanafaa kwa matumizi ya nyumbani😂😂😂 sasa oa mhasibu wa benki, benki saa kumi inafungwa anabak kufunga mahesabu mpaka saa 1 nyumbani anaingia saa nne, amechoka hatari chakula cha usiku utapewa kwa mbindeKuandaa maandalio🤣