Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

Kama Saudi Arabia wanasherehekea Eid Ijumaa inakuwaje BAKWATA wadai mwezi haujaonekana?

... synonyms maneno yenye maana sawa; homographs maneno yenye matamshi yanayofanana! You're absolutely right! Thank you.
Spelled the same but they have different meaning.
Minute can mean time /60 seconds or can mean a small thing or of little importance.
 
Acha kupotosha watu na muogope mola wako katika maisha Yako jitaidi kutafuta ukweli Kwa kusoma na kujifunza haiwezekan Dunia nzima waseme ni nyeupe halafu ww peke Yako n kund la watu wako mseme ni nyeusi Kuna calendar za kiislamu Leo ni mwez mwingine shawaal sio Ramadhan na kumbuka sis tumepokea tu dini imeanzia huko uarabun usitake kusema unajua dini kuliko walio kuletea ingekuwa Iran wametangaz, tungesema ni shia ila ni saudia waislam wenzetu
Shia sio waislam?
 
Unataka watu wasihoji? Wakae kimya tu?
Hujakwatazwa kuhoji ila kwa elimu ipi? Sasa hivi kwa sababu mtu anaweza kuona kwenye mtandao nchi fulani wametangaza kuona mwezi basi nae anakuja kuhoji kisa tu kaona kwenye mtandao.
 
Hujakwatazwa kuhoji ila kwa elimu ipi? Sasa hivi kwa sababu mtu anaweza kuona kwenye mtandao nchi fulani wametangaza kuona mwezi basi nae anakuja kuhoji kisa tu kaona kwenye mtandao.
Nadhani Sasa hivi mitandao imeturahisishia kupatikana Kwa taarifa mkuu tofauti na zamani , endapo nchi jirani wametangaza kuuona mwezi Kwa Nini sisi tusikubaliane nao wakati ni ukanda mmoja hata hivyo mwezi huandama mara moja tu , hata ukiangalia Leo calendar ya kiislam inaonyesha Leo ni tarehe moja shawar ,
Kwa hiyo mkuu hutaki kubandilika Bado upo miaka ya kale hutaki kuamini taarifa zinazowekwa mitandaoni

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Spelled the same but they have different meaning.
Minute can mean time /60 seconds or can mean a small thing or of little importance.
... correct; confused with homophones! Haya mambo wengine tunalazimisha tu.
 
Uganda ni majirani zetu na wametangaza Eid ni kesho; lakini pia Uarabuni napo Eid ni kesho.

Kwanini Tanzania wamepanga iwe Jumamosi?
hawa wa kesho ni Bakwata ni wa serikali na wanaoitii serikali kiuhalisia leo ndo sikukuu ya Idd.
 
Wamenisaidia kubana matumizi maana ningeanza kutimua vumbi leo sijui kama j.tatu ningekuwa na kitu...
 
Ulaya wanatumia darubini kuuchungulia mwezi, bongo tunatumia macho ndomana kila siku tunaachwa nyuma.
[emoji116]
IMG_20230421_021023.jpg
 
Back
Top Bottom