Kama shule za Private zikifanikiwa kumfanya kila mtoto wa primari kupata A nini kitatokea?

Kama shule za Private zikifanikiwa kumfanya kila mtoto wa primari kupata A nini kitatokea?

Kwa sisi Tanzania Shule ya msingi kuanzia darasa la tano tunaanza kufundishwa elementary geometry. Yaani introduction to geometry. Ni lazima ufundishwe kuhusu PI kwanza. Ndipo unaanza kufundishwa kutafuta eneo, mzunguko ama ujazo wa duara.

Labda kama ulikuwa kilaza wa hesabu hivyo hata ukumbuki topic za primary.

Pia sio Tanzania tu.

Sylabus ya hesabu ya nchi yoyote dunia nzima. PI lazima ifundishwe kwenye elimu ya msingi.

Elementary mathematics kwa kiswahili ndio elimu ya msingi.. PI huwa inafundishwa kwenye elementary mathematics ili mtoto aweze kuelewa msingi wa geometry
Acha hizo, hata wew ulipokuwa la saba hukuwa na majibu deep hivyo juu ya pi, hilo swali dogo ulimuonea
 
Wew ulipokuwa form two ulikuwa unajua hio pi ni nini ?

I can bet unaweza kwenda kwa form 4 wengi sana hapa nchini both pvt na Gvt ukawaambie waeleze how π is 22/7 na hawajui, may be hata wew nikikuambia uniambie hujui

Nimeshamjibu mwenzako. Kasome jibu niliempa wa kwanza aliekuwa hajui
 
Wew ulipokuwa form two ulikuwa unajua hio pi ni nini ?

I can bet unaweza kwenda kwa form 4 wengi sana hapa nchini both pvt na Gvt ukawaambie waeleze how π is 22/7 na hawajui, may be hata wew nikikuambia uniambie hujui

Pi ni jibu la kihesabu lisilobadilika linalowakilisha uwiano kati ya urefu wa mzunguko wa duara na kipenyo cha duara.

Duara lolote duniani liwe kubwa kama bahari ama liwe dogo kama sarafu uwiano wake kati ya urefu wa duara hilo na kipenyo cha duara hilo jibu huwa linafanana ambalo ni 22/7 ama 3.14 ( ikiwa rounded kwenye 2 decimal places)

PI ni nguzo muhimu sana kwenye hisabati. Shule ya msingi lazima utoke unaielewa.. na form one inarudiwa tena kufundishwa sababu huwezi kuelewa hesabu za mbeleni kama huielewi PI ni nini ?
 
Tunatengeneza kizazi Cha majobless and incompetent working class kwa kufanya elimu kuwa biashara. Nchi za wenzetu elimu Bora ni basic need huku kwetu hata elimu wamekabidhiwa wafanya biashara.
Ila elimu hii ya serikali Kila siku mnaiponda humu. Ebu mtuambie mnataka Nini kifanyike.

Make hizi shule zimesaidia Sana serikali kupunguza mzigo. Leo Tena mnasema zinakalilisha. Hivi za serikali zenyewe zinafundishaje
 
Wew ulipokuwa form two ulikuwa unajua hio pi ni nini ?

I can bet unaweza kwenda kwa form 4 wengi sana hapa nchini both pvt na Gvt ukawaambie waeleze how π is 22/7 na hawajui, may be hata wew nikikuambia uniambie hujui
Mkuu hayo si walikubaliana tu wazungu.
Kama jiwe la 1 Kg, walianza kukubaliana tu kuwa kitu kikifika uzito huu tukiite kile moja, zikateng3nezwa na mashine za kupimia huo uzito. Mambo mengi ni makubaliano huku tunabishana bure.
 
Walioanzisha mfumo wa elimu duniani waliuweka uwe wa pyramid structure na sio kama sio cube.
Yaani wanaanza shule 1000000 wanaograduate level ya mwisho ni 1000.
Sio waanze 100000 na wamalize 1000000.
Na hiyo ndo nature
Hii inakuwa applicable kwenye nchi za ulimwengu wa tatu. Ncha kama Japan 98 ya watoto wanaonza primary school wanafika level ya chuo kikuu.
 
Ni hatari.
Nilifanikiwa kukutana na dogo msichana ambaye anaongoza darasa zima. Nikamuomba anionyeshe njia yakusolve swali flani la kurahisisha.

Hajui njia ila anajua jibu. Nikagundua karibu wote hawajui na wala hwataki kujua njia ya kufukia kwenye majibu, wamekaririshwa ujanjaujanja. Ukiona hivi ujue ni vile. Walivyopewa mtihani wa kufanya kwa kuonyesha wamefikaje kwenye jibu hatua kwa hatua wote chali. Na mkuu wao na bosi akanuna anaona kama wanacheleweshwa.

Hadi nikamiss enzi zile za Swali, Kazi, Jibu.
Hivi nyie mliosoma sent kayumba mmelifanyia taifa hili zaidi ya kupata nafasi na kuiba mali za serikali?

Mmepitia sent kayumba Hadi kufikia degree Hadi PHD mmelifanyia Nini taifa hili?
 
Balaa zito. Kuna katoto kanasoma la saba. Kana A za kutosha.

Nilikauliza PI ni nini kwenye hesabu.
Naomba anifundishe nielewe kuhusu PI.
Alishindwa kunieleza. Sababu amekaririshwa
Mkuu unamwuliza vipi mtoto mdogo maelezo ya PI wakati hata wewe unaweza usijue
 
Hivi nyie mliosoma sent kayumba mmelifanyia taifa hili zaidi ya kupata nafasi na kuiba mali za serikali?

Mmepitia sent kayumba Hadi kufikia degree Hadi PHD mmelifanyia Nini taifa hili?
😁 Wizi ni tabia. Haufundishwi shuleni st Kayumba au st. Maria.
Hili taifa ni Complex bro, limeshindika hakuna cha kayumba wala medium. Twende tu hivihivi
 
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?
Aisee
 
[emoji16] Wizi ni tabia. Haufundishwi shuleni st Kayumba au st. Maria.
Hili taifa ni Complex bro, limeshindika hakuna cha kayumba wala medium. Twende tu hivihivi
Sasa kama unajua Hilo mbona nyuzi nyingi humu zimekuwa za kulaumu hizi shule. Ni kama ndo chanzo Cha matatizo ya mfumo wetu wa elimu?
 
Sasa kama unajua Hilo mbona nyuzi nyingi humu zimekuwa za kulaumu hizi shule. Ni kama ndo chanzo Cha matatizo ya mfumo wetu wa elimu?
Unaweza kuchangia mtazamo wako moja kwa moja kwenye huu uzi.
Medium zipo kitambo hata miaka ya tisini wakati hazijawa nyingi bado watu waliwapeleka Uganda na Kenya.

Hili la kuforce kila mtoto apate A, unadhani hili zoezi likifanikiwa niji matokeo yake katika tasnia ya elimu.
 
Mkuu unamwuliza vipi mtoto mdogo maelezo ya PI wakati hata wewe unaweza usijue

Kwa nini asijue wakati anafundishwa kwenye hesabu zake za msingi. Na anaitumia kwenye hesabu za kitafuta eneo , mzingo na ujazo.

Shule ya msingi kuanzia darasa la tano wanafundishwa msingi wa geometry ambapo wanakutana na matumizi ya Pi

Na hata mtihani wa darasa la saba maswali ya kutumia Pi yanakuwepo
 
Elimu biashara imeharibu maana ya elimu ya msingi.

Kunamashindo makubwa ya kupata A, madogo wanaboostiwa kwa kufosi ili wapate kula somo A. Nimewahi kukutana na kabinti kanalia eti kamepata 46/50 hesabu wakati kalitarajia kupata 48/50 mock, ila nilipomfanyia udukuzi nikajua hata hesabu za sehemu mchanganyiko hajui kusovu.

Unadhani nini madhara ya kulazimisha watoto wapate A katika maendeleo ya elumu yetu?
" A "ni shabaha ya kila mwanafunzi ni lazima awe nayo ili aweze kufikia malengo ya ufaulu ,na ni sehemu ya kumfanya asome kwa bidii,na huwezi kumlinganisha na asiesoma kwa bidii
 
Kwa nini asijue wakati anafundishwa kwenye hesabu zake za msingi. Na anaitumia kwenye hesabu za kitafuta eneo , mzingo na ujazo.

Shule ya msingi kuanzia darasa la tano wanafundishwa msingi wa geometry ambapo wanatumia Pi

Na hata mtihani wa darasa la saba maswali ya kutumia Pi yanakuwepo
explanation za PI sio jambo dogo kaka... kuitumia na kuielezea ni vitu viwili tofauti!
 
explanation za PI sio jambo dogo kaka... kuitumia na kuielezea ni vitu viwili tofauti!

Sio jambo dogo kivipi.

Formula ndiyo watu wanakariri.

Pi inafundishwa uelewe maana maswali yake yame base kwenye sehemu kazaa. Bila kuelewa Pi lazima utakosa maswali ya kimtego

1.Unapewa kipimo cha kipenyo na kipimo cha mzunguko kisha unaambiwa utafute eneo la hilo duara

2. ama unapewa nusu kipenyo na kipimo cha mzunguko kisha unaambiwa tafuta kitu fulani

Kwa mtu aliyekariri bila kuelewa PI lazima atakosa maswali mengi tu.

Na shule za msingi wanafundisha kuhusu Pi kwa sababu maswali yake yanakuja tofauti tofauti. Bila kuielewa Pi utakosa mengineyo
 
Unaweza kuchangia mtazamo wako moja kwa moja kwenye huu uzi.
Medium zipo kitambo hata miaka ya tisini wakati hazijawa nyingi bado watu waliwapeleka Uganda na Kenya.

Hili la kuforce kila mtoto apate A, unadhani hili zoezi likifanikiwa niji matokeo yake katika tasnia ya elimu.
Nini matokeo ya shule zetu za serikali nyingi watoto kupata ufauli wa. C an D katika maendeleo ya elimu yetu?
 
Sio jambo dogo kivipi.

Formula ndiyo watu wanakariri.

Pi inafundishwa uelewe maana maswali yake yame base kwenye sehemu kazaa. Bila kuelewa Pi lazima utakosa maswali ya kimtego

1.Unapewa kipimo cha kipenyo na kipimo cha mzunguko kisha unaambiwa utafute eneo la hilo duara

2. ama unapewa nusu kipenyo na kipimo cha mzunguko kisha unaambiwa tafuta kitu fulani

Kwa mtu aliyekariri bila kuelewa PI lazima atakosa maswali mengi tu.

Na shule za msingi wanafundisha kuhusu Pi kwa sababu maswali yake yanakuja tofauti tofauti. Bila kuielewa Pi utakosa mengineyo
Mkuu bila shaka wewe si mtaalamu wa Hesabu/Fizikia.... PI ni constant kama zilivo zingine tu.. ni empirically found... Hesabu unafaulu vizuri tu bila hata kuielewe PI.
 
Mkuu bila shaka wewe si mtaalamu wa Hesabu/Fizikia.... PI ni constant kama zilivo zingine tu.. ni empirically found... Hesabu unafaulu vizuri tu bila hata kuielewe PI.

Kwa msingi ndio wanafundishwa vitu vidogo vidogo kwa undani..

Hesabu ina topic zile zile ndizo zinaanza msingi. O level, advance level, college level na kuendelea mpaka PHD za maths.

Hivyo kila levo hizo topic zinafundishwa kwa kuishia sehemu fulani. Ukipanda levo topic inarudi na kuendelea kukufunza complex problems za hiyo hiyo topic

Hivyo kwenye msingi wa hesabu unafundishwa vitu vidogo vidogo vya hesabu kwa undani ili uelewe msingi wake.

Ndio maana inaitwa elimu ya msingi.


Kwa mbeleni huwezi kuulizwa swali la tafuta eneo wala mzingo wa umbo fulani. Maana ni la kitoto. Ila kwa mtoto anaulizwa maana ndio msingi wake wa hesabu

Mbeleni huwezi ulizwa utaje number line, rational number, irrational number ila kwa mtoto anafundishwa na anaulizwa maswali ya number line ili aelewe msingi wa namba.
 
Back
Top Bottom