Ni hatari.
Nilifanikiwa kukutana na dogo msichana ambaye anaongoza darasa zima. Nikamuomba anionyeshe njia yakusolve swali flani la kurahisisha.
Hajui njia ila anajua jibu. Nikagundua karibu wote hawajui na wala hwataki kujua njia ya kufukia kwenye majibu, wamekaririshwa ujanjaujanja. Ukiona hivi ujue ni vile. Walivyopewa mtihani wa kufanya kwa kuonyesha wamefikaje kwenye jibu hatua kwa hatua wote chali. Na mkuu wao na bosi akanuna anaona kama wanacheleweshwa.
Hadi nikamiss enzi zile za Swali, Kazi, Jibu.