Kama siku zingerudishwa nyuma ungefunga hiyo ndoa?

Kama siku zingerudishwa nyuma ungefunga hiyo ndoa?

Pole na congratulations kikubwa amani ya moyo kuliko kung'angania kitu
Mimi nahitaji mwanamke challenging kama wewe cariha. Wengine hawa wananiboa tu. Mwanamke ngangari kama wewe ndo kitaeleweka ng'wanawane. Kama uko tayari niPM tulianzishe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji870][emoji870][emoji870]
 
[emoji16][emoji16][emoji16]. I have my fingers crossed hapa mkuu. Nasubiria jibu. Ila ninavyomfahamu huyo malaika si ajabu nikaishia kupewa za uso kwa maneno makali na maonyo kadhaa.
[emoji23][emoji23][emoji23] ukiona humu mambo sio zama ndani huko uanze upya, cariha is very understanding [emoji16][emoji16]
 
Back
Top Bottom