Kama siku zingerudishwa nyuma ungefunga hiyo ndoa?

Kama siku zingerudishwa nyuma ungefunga hiyo ndoa?

Nitaendelea kumchagua yeye, amenivumilia, anaendelea kunipenda, kuniheshimu, kunitunza for more than 17yrs plus tuko kama tumekutana jana. Mungu atubariki kizazi na kizazi.Sio kwamba hatugombani, hatununiani.

Tunaongea, tunakubaliana tumeamua kufurahia maisha kwani hakuna mengine kama tusipoyatengeneza hayo maisha au ndoa ya furaha sisi wenyewe. Naomba Mungu iwe kwetu na kizazi na kizazi. Tuliamua maisha ni sisi, furaha yetu iko ndani yetu.
Very inspiring hongera sana dada angu.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Nitamchagua tena na tena mme wangu kipenzi, sijui nisingekua nae ingekuwaje... Mungu amuweke sana baba watoto wangu.
It doesn't get more as real as this. Hongereni sana. Huwa unaonekana kama vile uko tough sana humu lakini from my experience, nyie wa hivi ndo mko waifu matirio kichizi. Hongera zake hubby [emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hata Watumishi tuna mioyo, msitutie majaribuni tasavali[emoji126][emoji126][emoji126]
Watumishi mtusaidie kuhubiri upendo na siyo kuinkareji watu kununua petroli
Screenshot_20210804-115027_Chrome.jpg
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ulivosema naonekana though i replied ni kama nazi yani nje ngumu ndani laini
Asante. Nilifikiri umenikoromea kwa sababu hutabirikagi yaani. Asante...

Na kwa kawaida ndivyo ilivyo. The toughest ladies are some of the most lovable and genuine. Blessings [emoji2211][emoji2211][emoji2211]
 
Ndoa ni nzur na lengo la ndoa ni zur...mm nlkuwa na mpango wa kuoa mwaka huu, nkaandaa mpka mahali yakutoa, but after thinking out the box nilitupilia mbali swala hilo maana mwanamke mwenyew alikuwa ni mpuuzi na ndvyo walivyo hata hao wake zenu...najivunia kutopoteza muda wangu kuingia ktk kifungo cha mateso na mawazo maana muda huu nna amani yakutosha, polen mliokurupuka, moto unawawakia kwa hakika mtakipata mlchokitafuta......ingia ktk ndoa ukiwa maturity and mental prepared.....or otherwise mtajuta...##staki ndoa
 
Ndoa ni nzur na lengo la ndoa ni zur...mm nlkuwa na mpango wa kuoa mwaka huu, nkaandaa mpka mahali yakutoa, but after thinking out the box nilitupilia mbali swala hilo maana mwanamke mwenyew alikuwa ni mpuuzi na ndvyo walivyo hata hao wake zenu...najivunia kutopoteza muda wangu kuingia ktk kifungo cha mateso na mawazo maana muda huu nna amani yakutosha, polen mliokurupuka, moto unawawakia kwa hakika mtakipata mlchokitafuta......ingia ktk ndoa ukiwa maturity and mental prepared.....or otherwise mtajuta...##staki ndoa
🙄🙄
 
Ndoa ni nzur na lengo la ndoa ni zur...mm nlkuwa na mpango wa kuoa mwaka huu, nkaandaa mpka mahali yakutoa, but after thinking out the box nilitupilia mbali swala hilo maana mwanamke mwenyew alikuwa ni mpuuzi na ndvyo walivyo hata hao wake zenu...najivunia kutopoteza muda wangu kuingia ktk kifungo cha mateso na mawazo maana muda huu nna amani yakutosha, polen mliokurupuka, moto unawawakia kwa hakika mtakipata mlchokitafuta......ingia ktk ndoa ukiwa maturity and mental prepared.....or otherwise mtajuta...##staki ndoa
We tulia ukue kwanza na upunguze makasiriko.
 
Back
Top Bottom