Kama zile mig ndege za kizamani sana halafu wanafanya acrobatics ni hatariNimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Na bado wanasumbuliwa na waasi wa ADFUganda wana SU-30, achana na huo moto wa Sukhoi, tena wanazo 6.
Wanapita pale ngerengere sijui mzinga kama sisi tunavyopita Zanzibar.
uko sahihi ngoma coy ni ni wengi Sana majeshini..NI kutikisa matako tuWatu huko nchi za mbali unaweza kuta mtu Koplo, Sajent ana degree au hata Masterz ama ana taaluma nzito mno.
Hapa kwetu ukiwa na Degree lazima ubebe manyota, ila wapiganaji ni wale darasa la 7, form 4 failures n.k sasa umakini ktk field unakuwa wapi?
Unaweza ukachukua maaskar wanne wenye elimu zao kisha ukawaringanisha na wacheza ngoma 4? Yaani mtu anavaa kombat kisa ana taaluma ya kucheza ngoma, kuchonga vinyago, fundi bomba n.k
Hivi nyie mnaish nchi gani, wakati TZ ikiingia kwenye mgogoro na umoja wa mataifa kwa kununua silaha north korea, mlikuwa huku dunian kweli? Muwe mnafuatilia mambo mnatia aibu aseeMagufur tokea aingie madarakan hakununua vifaa vya ulinz hata bastora moja
Dini gani bhana kwanza iran shia mimi sio mfusi wa madhebu yoyote hapa tunasema ukweliAmka toka usingizi! Hakuna ndege wala drone ilishawahi kupaa kwenye anga la Israel ukiachana na Egypt walipoingia jangwa la Sinai kwa ghafla na wakitegemea cover ya anti aircraft missiles kutoka kwenye mainland yao. Sio drone wala jet fighter, Israel haijashambuliwa kwa anga na yeyote.
Iran tusimseme hapa kwanza una tabia ya kuleta dini kwenye hizi mada
Sasa si ukatununulie hiizo nzito nzito sisi tutakushukuru sana sana na tutazitumia hata kesho yake tu maana lazima tumchokoze mtu tutest mitamboTunaangalia majirani zetu. Wakenya na Uganda wanaonesha silaha nzito nzito.
Mbona unakua kama mshamba flani umeweka mwenyewe hapo imeandikwa since 1967 till now in service sasa unachoshangaa hapo ni nini? Wabongo kwa ujuaji bwana.Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
View attachment 2038210
Wengi wanasubiri habari kwenye mitandao ya kidaku watajuaje yanayoendelea nyuma ya pazia.Hivi nyie mnaish nchi gani, wakati TZ ikiingia kwenye mgogoro na umoja wa mataifa kwa kununua silaha north korea, mlikuwa huku dunian kweli? Muwe mnafuatilia mambo mnatia aibu asee
Mkuu, itakuwa ni vile vifaru vya urban warfare, si unajua mijini majengo mengi, kwa size yake kanaweza kukatisha kwenye chochoro za mijini bila shida.Hako kadude kadogo vile kenye bendera nyekundu mbili ni ka nini, ka APC au IFV? Sasa kana Impact gabi mbona hata hakaonekani kuwa na armour.
Huo ndo ukweli mchungu. Jeshi ni la CCM na watawalaUsichanganye siasa za CCM na Chadema ukajua ndio jeshi lipo hivyo....
Kuwa na silaha ya kisasa siyo ticket ya kushinda battle. Katika jeshi intelijensia ina 70% ya ushindi kwahiyo hilo la uganda hata usishangae.Na bado wanasumbuliwa na waasi wa ADF
Watanzania aman tuliyonayo ni mambo makuu mawiliKuna amani ni kwa sababu ya ukondoo wa watanzania. Na pia rushwa katika jeshi. Kimsingi jeshi limetekwa na CCM na watawala na kuwasaliti wananchi.
Yaani dada unavyozungumzaaaa, labda nikuulize swali. What if unaozungumza nao ni moja ya watu ambao wapo ndani ya huo mfumo ambao mnautetea hapa?Nasema usidharau nchi hii kisa hizi siasa za kiccm ila Kuna mambo mengi hufanyika kulinda hii nchi sema Raia tunalaumu vile nchi yetu inausiri mkubwa kuliko unavoweza kufikiria.
Naamini tuko vizuri hvi vya Leo ilikuwa display tu kidogo, pia ukisema tujilinganishe sijui na USA mara Russia ni sawa na kulinganisha mbingu na ardhi
Kuna mambo kuzungumza mno ni aibu kaka.Ndo maana walichakazwa vibaya sana walipoenda kukabiliana na magaidi wa Mocambic pale Kitaya, wakatelekeza vifaru[emoji3]