geofreyngaga
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 658
- 946
Hivi ulikua unachek jicho la PK lakini?Majirani zetu ni Size yetu acha waone hizi kwanza .tuwavute vute tuwachape
Mzee unatuonesha BM 21 ya 1963.
Hakuna cha movie hapa Mzee. Jeshi letu lipo outdated. Tunatakiwa ku modernize. Tunaona display za silaha kwa majirani zetu. Uganda na Kenya.Movie zishaharibi vijana wa hovyo
BUK haiwezi kutungua drones. Zimeshindwa kina Pantsir na Tungushka ambazo ni modern sembuse hizo BUK. Labda ukisema vidrone uchwaraEti nini? Hapo ku buk 23 air defense system si mchezo inauwezo wa kutungua low flying object kama drone na makombora ya cruiser hiyo bm 21 mpaka leo bado inatumika kwenye mataifa mengi tu kuifupi jeshi lipo fresh
SA-6 (GOA)
USSR technology 1967.SA-6 (GOA)
Air defense system hiyo!
Umeambia in service from 1967 to present.Mzee hiyo ni silaha ya 1967 USSR technology
View attachment 2038210
Inategemea opareta mwenye kaiset viti hiyo pantsir mbona imetungua drone nyingi tu huko syria hata muda huu urusi inazi inazi fatilia drone za ukraine kwa kutumia buk m2 torBUK haiwezi kutungua drones. Zimeshindwa kina Pantsir na Tungushka ambazo ni modern sembuse hizo BUK. Labda ukisema vidrone uchwara
Unaelewa hiyo "in service 1963 to present"?Mzee unatuonesha BM 21 ya 1963.
View attachment 2038213
Na kama makomandoo ndio sina ya wale walio pelekwa kumlinda Mbowe, wanaokamatwa na mgambo wa polisi, tujitafakari.Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Kwaiyo mkuu ulitaka tuonyeshe silaa nzito kama za kiduku wa Korea ??Nimetazama maazikisho ya miaka 60 ya Uhuru. Kwa silaha tulizoonesha zinanipa wasiwasi na uwezo wa jeshi letu.
Vitu vingi vilivyooneshwa ni silaha zilizotumika kipindi cha USSR.
Kuna BM 21. Kwa kweli tunatakiwa Ku modernize jeshi letu. Bado lipo nyuma sana.
Watu humu wanabisha tu. But we are weak and outdated.Na kama makomandoo ndio sina ya wale walio pelekwa kumlinda Mbowe, wanaokamatwa na mgambo wa polisi, tujitafakari.