marisi schwein
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 1,037
- 3,146
Huyo mtoa mada ni mpumbavu aliyebeba chuki na alikuwa mnufaika wa utawala uliopitaSasa huo mradi wa Steigler gorge kma haujaenda samba samba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi utautumia vipi?
Au unataka ukiisha ukae tena miaka 5 ungoje njia za uememe ndipo uanze kuutumia?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Umoja party haina jipya bila tume huru ni maigizo tupu kama Lowasa alishindwa kuna mtu ataweza?Labda wasiisajili hio Umoja Party…watashangazwa
Acha zako wewe mama. Kwani kusambaza njia za kusafirisha umeke ni ishu? Lazim mradi uwe kipaumbele kwanza.Sasa huo mradi wa Steigler gorge kma haujaenda samba samba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi utautumia vipi?
Au unataka ukiisha ukae tena miaka 5 ungoje njia za uememe ndipo uanze kuutumia?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Acha kufikiri kwa kutumia makalioHuyo mtoa mada ni mpumbavu aliyebeba chuki na alikuwa mnufaika wa utawala uliopita
Naam, ili mradi wa Steigler ulete manufaa ya kweli usiwe ji "white Elephant".Acha zako wewe mama. Kwani kusambaza njia za kusafirisha umeke ni ishu? Lazim mradi uwe kipaumbele kwanza.
Kumbe bado una machungu ya 2020? Kumbe bado una chuki na hayati JPM?
EeeenHeee,Unakuta na wewe ni graduate kabisa 🤣🤣
Umoja party haina jipya bila tume huru ni maigizo tupu kama Lowasa alishindwa kuna mtu ataweza?
Hiyo umoja party unaijua wewe tu. Watu mtaani hawana hata habari
Tuoneshe kaiba nini? Kwanini unaibiwa halafu unajificha huendi polisi?wizi , ufisadi , rushwa na uwaziri ni pipa na mfuniko! hili ni jizi kama majizi mengine
Maandalizi ya kua mkuu wa nchi afrika vyama tawala vilivo vikongwe hua havihitaji jukwaa la kutema sera ......wao house na house kugawa chochoteHapo. makamba jr ana ana 3b's zake kaweka pembeni anatulia akisikilizia upepo
Dah, umezungumza mengi sana mkuu, bila kufunua chochote, lakini sidhani kwamba huyo uliyemjibu anaweza akakuelewa.Demand ya nchi ni kiasi gani?
Installed capacity ni kiasi gani?
Bwawa linaenda kuongeza kiasi gani?
Unajua tatizo kubwa la umeme uliopo sasa kushindwa kukidhi mahitaji ya viwanda vingi na pengine hata majumbani sio Outage? Ndo mambo ya kukwamisha kama lile la kule Congo?
Nini kingine? Usimamizi mbovu?
Wanasema mpango wa kujenga Transmission line ulikuwepo, ukichochewa na yule aliyeiacha mi-turbine yake inaoza bandari mojawapo huko pwani.
Inanong'onwa kuwa plan ilikuwa, serikali iwajengee transmission line ili wao wajenge plant itakayoweza kuzaliza 2,100MW na kuuza ndani na nje, line ifikishwe mpakani pale.
Inasemwa kuwa mpango uliuliwa na mwamba kwakuwa lengo lilikuwa ni chafu, kuua Power Generation ya Tanesco ili wao ndo washike hatamu, mzigo wa transmission na madeni ya distribution yabaki kwa serikali. Unadhani nini kingefuata baada ya muda mfupi, WAULIZE SA.
Kwani mradi wa umeme wa upepo pale Singida ni wa nani eti? Wanaanz a na 100MW?
Kwanini hatutaki kwenda na Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Umeleta mada nzuri kutujuza habari hii,kama ni kweli hili linatendeka basi hatuna budi kusema hakika nchi imepatikana.huu utakuwa zaidi ya mzaha.Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa liweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.
Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.
Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?
Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
Lakini kweli hao Kenya wanafaidika nayo kama ilivyotazamiwa?Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Sifahamu "umeke" ni nini.Acha zako wewe mama. Kwani kusambaza njia za kusafirisha umeke ni ishu? Lazim mradi uwe kipaumbele kwanza.
Naam, ili mradi wa Steigler ulete manufaa ya kweli usiwe ji "white Elephant".
Natamani nikutoe out ila usivae baibui jeusiSifahamu "umeke" ni nini.
Mimi sihusiki plz,nilishakatwa mkia nipo Lilongwe. Nimeletwa huku ili nisiwe active na siasa za ndani ya chama,nyie pambaneni na hali yenu. Mpeni Rostam tender ya kusambaza( kutengeneza) hiyo miundo mbinu.We Polepole unalalamika sana