Kama sio janja ya kutengeneza upigaji kwa manufaa ya tumbo lake hii ni nini? Waziri wa Nishati kuanzisha mradi wa Tril 1.7 kabla JNHP kukamilika

Kama sio janja ya kutengeneza upigaji kwa manufaa ya tumbo lake hii ni nini? Waziri wa Nishati kuanzisha mradi wa Tril 1.7 kabla JNHP kukamilika

Sasa huo mradi wa Steigler gorge kma haujaenda samba samba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi utautumia vipi?

Au unataka ukiisha ukae tena miaka 5 ungoje njia za uememe ndipo uanze kuutumia?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Huyo mtoa mada ni mpumbavu aliyebeba chuki na alikuwa mnufaika wa utawala uliopita
 
Sasa huo mradi wa Steigler gorge kma haujaenda samba samba na njia mpya za usambazaji wa umeme utaujaribu vipi utautumia vipi?

Au unataka ukiisha ukae tena miaka 5 ungoje njia za uememe ndipo uanze kuutumia?


Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Acha zako wewe mama. Kwani kusambaza njia za kusafirisha umeke ni ishu? Lazim mradi uwe kipaumbele kwanza.
 
wizi , ufisadi , rushwa na uwaziri ni pipa na mfuniko! hili ni jizi kama majizi mengine
 
Hapo. makamba jr ana ana 3b's zake kaweka pembeni anatulia akisikilizia upepo
Maandalizi ya kua mkuu wa nchi afrika vyama tawala vilivo vikongwe hua havihitaji jukwaa la kutema sera ......wao house na house kugawa chochote

Dogo anajiandaaa
 
Demand ya nchi ni kiasi gani?
Installed capacity ni kiasi gani?
Bwawa linaenda kuongeza kiasi gani?
Unajua tatizo kubwa la umeme uliopo sasa kushindwa kukidhi mahitaji ya viwanda vingi na pengine hata majumbani sio Outage? Ndo mambo ya kukwamisha kama lile la kule Congo?


Nini kingine? Usimamizi mbovu?

Wanasema mpango wa kujenga Transmission line ulikuwepo, ukichochewa na yule aliyeiacha mi-turbine yake inaoza bandari mojawapo huko pwani.

Inanong'onwa kuwa plan ilikuwa, serikali iwajengee transmission line ili wao wajenge plant itakayoweza kuzaliza 2,100MW na kuuza ndani na nje, line ifikishwe mpakani pale.

Inasemwa kuwa mpango uliuliwa na mwamba kwakuwa lengo lilikuwa ni chafu, kuua Power Generation ya Tanesco ili wao ndo washike hatamu, mzigo wa transmission na madeni ya distribution yabaki kwa serikali. Unadhani nini kingefuata baada ya muda mfupi, WAULIZE SA.

Kwani mradi wa umeme wa upepo pale Singida ni wa nani eti? Wanaanz a na 100MW?

Kwanini hatutaki kwenda na Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Dah, umezungumza mengi sana mkuu, bila kufunua chochote, lakini sidhani kwamba huyo uliyemjibu anaweza akakuelewa.

Angekuwa na akili ya kumvusha barabara tu, asingehangaika kwenda mbali kote huko SA ulikom'refer'; tuna mfano hai na mzuri kabisa hapahapa jirani yetu; huko uliko ulikoelezea 'Export' ya wakubwa ilikolenga.

Sisi tunaiga yaliyowashinda na sasa wakihangaika na jinsi ya kujinasua toka kwa hao majambazi "Independent Power Generators" waliowakaba shingo.
Tume iliyopendekeza mikataba ipitiwe upya ili washushe bei, mijamaa imekata mapendekezo hayo na kutishia kushtaki.
Serikali ikaufyata, sasa wanaiangukia ruzuku, ambayo inatokana na kukopa hela toka nje. Kama huo siyo uhayawani ni kitu gani?
 
Inaingia akilini kweli wadau? Tunahitaji huu mradi ukamilike ndani ya wakati na taifa liweze kupata nafuu ya bei ya umeme na kisha gharama za maisha kushuka chini na wananchi kufurahia keki ya taifa.

Huku akijua kabisa mradi wa JNHP upo 40% lakini badala akomae mradi uishe kwa wakati na gharama za umeme zipungue. Yeye ananzisha mradi wa kutengeneza njia za kusambaza umeme wa tri 1.7.Hii ni janja ya upigaji wa January Makamba.

Hivi unaweza kuanza kuweka mabomba ya kusambaza maji kabla hujachimba kisima au kuwa na uhakika wa chanzo cha maji?

Mkuu wa nchi anashiriki kupiga raia wa kawaida na vyuma vizito akishiriki kulamba asali.
Umeleta mada nzuri kutujuza habari hii,kama ni kweli hili linatendeka basi hatuna budi kusema hakika nchi imepatikana.huu utakuwa zaidi ya mzaha.
 
Geothermal ambayo imeshasemwa kuwa na uwezo wa kutupa 600MW? Kenya wanakimbiza kweli kweli kwenye hiyo!
Lakini kweli hao Kenya wanafaidika nayo kama ilivyotazamiwa?
Pamoja na kwamba sehemu kubwa inazalishwa na shirika lao la umeme KenGen, lakini sehemu inayozalishwa na makampuni ya kigeni, na kuuzwa kwa gharama kubwa kwa kampuni ya usambazaji umeme, bado geothermal' haiwapi ahueni yoyote katika gharama za umeme.

Sielewi kwa nini na sisi tunatafuta kuiga 'model' ileile ambayo inawapa matatizo makubwa wenzetu hawa!
 
Waliwekewa mfumomzuri wakukusanya kodi sasa wanaona hela zinajaatu hazinakazi ndio matokeoyake hayo.
 
Back
Top Bottom