Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

Kama sio Maaskofu wa Kanisa Katoliki, Watanzania tulikuwa tunapigwa na kitu kizito sana na DP World

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Ndugu zangu Watanzania wale madingi wa Katoliki ni miamba sana, wamemaliza ujinga wa DPW.

Muda si mrefu Mama atatema bungo. Tender hiyo, wenye mbavu waipambanie. Ile sheria ya maliasili waliyotaka kubadilisha ili mikataba isipelekwe bungeni juzi nimeona kamati ya bunge ikipinga mapendekezo yote ya serikali. So far ile sheria haijaguswa.

Kama sio msuli wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC tungepigwa na kitu kizito vibaya sana.

Ahsanteni Maaskofu wa Katoliki.
 
Ndugu zangu Watanzania wale madingi wa Katoliki ni miamba sana.. wamemaliza ujinga wa DPW.. muda si mrefu Mama atatema bungo,Tender hiyo, wenye mbavu waipambanie😀😀.. Ile sheria ya mali asili waliyotaka kubadilisha ili mikataba isipelekwe bungeni juzi nimeona kamati ya bunge ikipinga mapendekezo yote ya serikali 😀😀😀 So far ile sheria haijaguswa.. Kama sio msuli wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania,TEC tungepigwa na kitu kizito vibaya sana.. ahsanteni Maaskofu wa Katoliki.
Na ndo kanisa lenye nguvu mno
 
Ndugu zangu Watanzania wale madingi wa Katoliki ni miamba sana, wamemaliza ujinga wa DPW.

Muda si mrefu Mama atatema bungo. Tender hiyo, wenye mbavu waipambanie. Ile sheria ya maliasili waliyotaka kubadilisha ili mikataba isipelekwe bungeni juzi nimeona kamati ya bunge ikipinga mapendekezo yote ya serikali. So far ile sheria haijaguswa.

Kama sio msuli wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania TEC tungepigwa na kitu kizito vibaya sana.

Ahsanteni Maaskofu wa Katoliki.
Wapi Sheikh Mwaipopo na mukati ya BAKWATA![emoji1787]
 
Hii nchi tunaishi watu wa ajabu sana

Kila aliyejaribu kusema mkataba ni mbaya alijibiwa anampinga Mama na haipendi nchi anakwamisha uwekezaji, ni mdini, mara amehongwa na Karamagi.

Hivi ni kweli yale mapungufu ya mkataba viongozi akiwemo Mhe. Rais hayaoni?
Mimi form four leaver sio mwanasheria naona je Mama na Ofisi yake haoni kweli?

Binafsi nimepoteza imani sana na viongozi wa kisiasa akiwemo Mhe. Rais kutokana na hili suala la mkataba wa DP World.
 
Back
Top Bottom