Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Sehemu.tulipowezwa ni hapa..

Mtoto wako, anakuja kuishi Tanzania hiii hiii unahangaika awe mzungu..hahaha.. na anafundishwa matatizo ya kizungu, kwa lugha ya kizungu..akitoka huko ameshakuwa mzungu anakuja kwa watz mtaani anaanza moja.. 🙂

Na cha kufurahisha ni sisi wazazi ndio tunakuwa tumewanunulia watoto wetu hiyo delay huku mtaani. Elimu tuliyomnunulia ndio imekuwa kikwazo..

Bora kila mwaka ungekuwa unamnunulia mtoto ng'ombe nne ..anasoma shule ya laki tano kwa Temu.. akija kumaliza shule anakuwa na ng'ombe 68 ukiweka kuzaa na kufa hakosi ng'ombe 100 kwenye kipindi cha miaka 16 ya kusomea elimu.

Na elimu yenyewe ndio imekuwa uchuro uchoro mtupu

Jamaa wewe una akili sana nimejifunza kitu kikubwa kwako
 
Ukimsomesha mwanao kayumba mtaani unachekwa, kuna mother mtaani kapanga chumba kimoja halafu anamsomesha mwanae efemu akademia anachukuliwa na gari....... Ni maamuzi tu tuwaache mambo yakiwa magumu watawarudisha KAYUMBA.
 
Naishi dar es salaam ubungo , kata ya makuburi
Aah sawa mkuu, ila kama kauwezo kapo pambana mkuu mpeleke private mkuu atapata ka elimu katakako muwezesha hapo mbeleni akawa na kauwezo ka kuji express him/her self mbele ya wasomi Wa mataifa mengine kwa ujasiri.

Hivi unajua kwa nini Baba yetu mpendwa aka RAIA no one alituaibisha alipoulizwa kaswali kadogo na mwandishi Wa habari akiwa na Museveni, ye akajibu tu simple eti do you rove corruption.
 
Aah sawa mkuu,ila kama kauwezo kapo pambana mkuu mpeleke private mkuu atapata ka elimu katakako muwezesha hapo mbeleni akawa na kauwezo ka kuji express him/her self mbele ya wasomi Wa mataifa mengine kwa ujasiri.

Hivi unajua kwa nini Baba yetu mpendwa aka RAIA no one alituaibisha alipoulizwa kaswali kadogo na mwandishi Wa habari akiwa na museveni,ye akajibu tu simple eti do you rove corruption.

Hoja yako sijaielewa... yaani nimsomeshe english medium ili ajue kiingereza kama Museven
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academics sijui private school eti wanaishia kujua lughatu,mi natofafautiama na we we mkuu,Kijana wangu yuko std seven hizo shule,sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata.na wanamkubali mbaya.
Hawana exposure..na kujiamini.
Kujua lugha hakukufanyi smart... Au kujua kabla ya mwingine hakukufanyi uwe na akili zaidi yake.. mtoto anatakiwa ajue hilo mapema maishani.

Elimu ni kutafsiri maarifa uliyopewa au kupata katika maisha yako ya kila siku. Mtoto anajua kiingereza hajui kufunga kamba za viatu inamsaidia nini!?
Mtoto anajua kiingereza hawezi kwenda sokoni mwenyewe na kurudi itamfaanini!?

Logic and Reasoning ndio muhimu. Kwa level za chini watoto wanatakiwa kuwa curious... Mid ages waweze kuleta connection na theory na uhalisia katika maisha yao.. mtoto awe huru atleast saa 9 saa kumi aende akacheza apumzike kutoka shule ... Ukizidisha hapo unaua curiousity mtoto anakuwa duster ananyonya kila kitu kama kilivyo without Reasoning
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academics sijui private school eti wanaishia kujua lughatu,mi natofafautiama na we we mkuu,Kijana wangu yuko std seven hizo shule,sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata.na wanamkubali mbaya.
Anawachallenge kwa lugha hiyo ya kigeni au na kwenye Hisabati, Fizikia, Chemia na mengineyo?
 
Hoja yako sijaielewa... yaani nimsomeshe english medium ili ajue kiingereza kama museven

Hawana exposure..na kujiamini.
Kujua lugha hakukufanyi smart... Au kujua kabla ya mwingine hakukufanyi uwe na akili zaidi yake.. mtoto anatakiwa ajue hilo mapema maishani.

Elimu ni kutafsiri maarifa uliyopewa au kupata katika maisha yako ya kila siku. Mtoto anajua kiingereza hajui kufunga kamba za viatu inamsaidia nini!?
Mtoto anajua kiingereza hawezi kwenda sokoni mwenyewe na kurudi itamfaanini!?

Logic and Reasoning ndio muhimu. Kwa level za chini watoto wanatakiwa kuwa curious... Mid ages waweze kuleta connection na theory na uhalisia katika maisha yao.. mtoto awe huru atleast saa 9 saa kumi aende akacheza apumzike kutoka shule ... Ukizidisha hapo unaua curiousity mtoto anakuwa duster ananyonya kila kitu kama kilivyo without Reasoning
Baba alifurahi kweli yule hakimu alivyotoa hukumu kwa kiswazi, akampiga u judge.
 
Una point kubwa sana ila umeenda nje ya uzi upande wa asset

Je kama huna asset? Uzi umeongelea wenye asset ama wasio na asset?
Kama huna asset,komaa na shule zetu za kawaida ila hapa unatakiwa na wewe mzazi, uwe na utiari wa kuwa mwanafunzi kabisaa ili muende sambamba na mwanao,maana itakubidi uwe nae karibu Sana.
 
True.. mtu analipa milioni 3 ama nne kwa mwaka ili mwanae ajue kiingereza tu... huku sylabus anayofundishwa mwanae wa tusiime ni ile ile ambayo wa elimu bure anafundishwa. Tofauti ni lugha tu.

Tatizo la elimu yetu ni sylabus.. jaribu kuwaza hiyo milion 3 kila mwaka mnunulie kiwanja ndani ya miaka 7 atakuwa na asset kiasi gani huyo mtoto.

Mtoto atakuwa na uhakika wa kupata elimu ya juu ama basic need hata kama mzazi umefariki...
Mkuu tusiime wanatumia syllabus anayofundishwa mtoto wa huko Lindi vijijini?
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri kila siku mfatilie hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Taratibu tunaanza kuelewana sasa, nilianza mimi akafata bwana Billy na hatimae Freshman! Kadri mda unavyoenda naona matumizi mazuri ya akili yanazidi kuongezeka miongoni mwa wana JeiEFu 😁😁😁 hili linafurahisha.

Kama aina ya viongozi ndio hawa wanaosema vijana wengi hawafanyi kazi sijui kwanini 😂😂😂 ni aheri wananchi tukachanga karata zetu vizuri zaidi.
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academics sijui private school eti wanaishia kujua lughatu,mi natofafautiama na we we mkuu,Kijana wangu yuko std seven hizo shule,sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata.na wanamkubali mbaya.
Fainali uzeeeni.....ishu nzima ni output baada ya kumaliza chuo
 
Back
Top Bottom