Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,301
- 1,738
Hivi kumbe na Kiswahili ni kipengele kwa Mtoto wa Kibongo, itakua mwanao alizaliwa Uganda au Australia au wazazi huwa hamuongei kiswazi nyumbani na pengine hata mtaani kiswahili ni kipengele.Somo linalomshinda ni kiswahili tu ndo nataka nimpige tuition.