Kamukhm
JF-Expert Member
- Aug 30, 2015
- 2,801
- 4,212
Ukiwa mji wa kielimu.. ni kumjengea mtoto tabia.. anasoma shule ya kawaida.. anatumia muda wake vizuri. Anaratiba ya library, ana tembelea maeneo kujifunza kwa vitendo ndio kumjengea mtoto uwezo. Sio kulipa hela nyingi apewe taarifa na kuaminishwa vitu.Sikatai. Hata mimi nimesoma huko mwanzo mwisho. Na kutokana na background yetu kama famikia, naweza kusema nimetoboa kiasi.
Ila sasa, usitumie hii kumfanya mwanao awe mnyonge baadae. Yes, anaweza kufuata nyayo zako na akatoboa hata kwa Kayumba. Lakini what if he doesn't?
Private sio uhakika wa kutoboa. Lakn walau kuna ziada inapatikana ya kutumia hata asipotoboa.
Apate vitabu, mtembeze aonane na Mainjinia, tofauti tofauti.. aone processes mbalimbali anazojifunza kwa nadharia.. hivyo ndio kumpa mtoto elimu..