Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Sehemu.tulipowezwa ni hapa..

Mtoto wako, anakuja kuishi Tanzania hiii hiii unahangaika awe mzungu..hahaha.. na anafundishwa matatizo ya kizungu, kwa lugha ya kizungu..akitoka huko ameshakuwa mzungu anakuja kwa watz mtaani anaanza moja.. 🙂

Na cha kufurahisha ni sisi wazazi ndio tunakuwa tumewanunulia watoto wetu hiyo delay huku mtaani. Elimu tuliyomnunulia ndio imekuwa kikwazo..

Bora kila mwaka ungekuwa unamnunulia mtoto ng'ombe nne ..anasoma shule ya laki tano kwa Temu.. akija kumaliza shule anakuwa na ng'ombe 68 ukiweka kuzaa na kufa hakosi ng'ombe 100 kwenye kipindi cha miaka 16 ya kusomea elimu.

Na elimu yenyewe ndio imekuwa uchuro uchoro mtupu
Basi tuukumbatie udjingah
 
Aah sawa mkuu,ila kama kauwezo kapo pambana mkuu mpeleke private mkuu atapata ka elimu katakako muwezesha hapo mbeleni akawa na kauwezo ka kuji express him/her self mbele ya wasomi Wa mataifa mengine kwa ujasiri.

Hivi unajua kwa nini Baba yetu mpendwa aka RAIA no one alituaibisha alipoulizwa kaswali kadogo na mwandishi Wa habari akiwa na museveni,ye akajibu tu simple eti do you rove corruption.
 

Aah sawa mkuu,ila kama kauwezo kapo pambana mkuu mpeleke private mkuu atapata ka elimu katakako muwezesha hapo mbeleni akawa na kauwezo ka kuji express him/her self mbele ya wasomi Wa mataifa mengine kwa ujasiri.


Hivi unajua kwa nini Baba yetu mpendwa aka RAIA no one alituaibisha alipoulizwa kaswali kadogo na mwandishi Wa habari akiwa na museveni,ye akajibu tu simple eti do you rove corruption.
 
Nina Rafiki yangu hali yake ya uchumi ni ngumu sasa awamu hii. Yani hana kazi maalumu na kipato chake hata kwa mwezi hakifiki 1m. Anawatoto 3. Wanasoma private school ada 1.8 kwa mwaka. Mpaka sasa hajalipa hata 100 ya adda ya mwaka huu. Na ile ya mwaka jana alikopa kwa ndugu baada ya wanafunzi kufukuzwa. Namshaur arudishe watoto kwenye shule za kawaida ila hasikii anataka aonekane wa kishua
 
Ukijua Kizungu unakuwa sio mjinga!?
Maana takwimu zinaonesha achilia mbali wajinga (illiterates) kuna mpaka wenye mtindio wa ubongo na wanaongea kiingereza.

Acha kushikiwa akili ndugu yangu.
Kwahiyo hao watoto huko Shuke wanafundishwa English pekeyake?
 
Kina wema sepetu, kina uwoya wamesoma hizo shule at the end wameishia kuuza sura na kina late kanumba, jb, muogo mchungu, kigwendu😂😂😂

Kina jojo sukari ya kisarawe ikaishia kwa kina nasibu nyange ali kiba watoto wa mjini.
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academics sijui private school eti wanaishia kujua lughatu,mi natofafautiama na we we mkuu,Kijana wangu yuko std seven hizo shule,sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata.na wanamkubali mbaya.
huyo kijana wako anakutana na A level vilaza mkuu, tena A level wa masomo ya Art. Lakini A level wanaosoma sayansi physics, chemistry, math, biology haya masomo hayahitaji ujue kiingereza ni kumeza kwako kanuni, michoro, kukokotoa hesabu, na kuzikuma projectile, hapo kama huna akili ya kuzaliwa hata uwe ujue kiinglish kichwa kinagoma tu.
 
Nina Rafiki yangu hali yake ya uchumi ni ngumu sasa awamu hii. Yani hana kazi maalumu na kipato chake hata kwa mwezi hakifiki 1m. Anawatoto 3. Wanasoma private school ada 1.8 kwa mwaka. Mpaka sasa hajalipa hata 100 ya adda ya mwaka huu. Na ile ya mwaka jana alikopa kwa ndugu baada ya wanafunzi kufukuzwa. Namshaur arudishe watoto kwenye shule za kawaida ila hasikii anataka aonekane wa kishua
muache apambane na hali yake,akikata pumzi atajipeleka mwenyewe kwenye shule zetu pendwa.
 
huyo kijana wako anakutana na A level vilaza mkuu, tena A level wa masomo ya Art. Lakini A level wanaosoma sayansi physics, chemistry, math, biology haya masomo hayahitaji ujue kiingereza ni kumeza kwako kanuni, michoro, kukokotoa hesabu, na kuzikuma projectile, hapo kama huna akili ya kuzaliwa hata uwe ujue kiinglish kichwa kinagoma tu.
Subili matokeo ya kidato Cha nne atakapofika ndo utapata majibu kamili.
 
Back
Top Bottom