Acha kupretend kwamba wanaoshinda vijiweni kubet na kucheza pool table wanawazidi wapaka poda sinzaKujiamini unamjengea mtoto wewe mwenyewe.
Kujifunza kutafuta maarifa ni zao la malezi hasa nyumbani.. mtoto anatakiwa ajifunze kupata kwa kutafuta.. sio kupewa..
Wengi majobless wanaopaka Poda Sinza wamesoma Medium kwa wengi ni swala jipya.. maana ndio tunashtuka.. ila hazina jipya lolote.. niamini.
Tumesomesha sana huko private na kumalizia Bablo na bado anafika UD anakuta vipanga wamesoma shule ya msingi Yombo, sekondari Gongo la Mboto, high school Benjamini na wananyoosha na in two or three years kingereza nao wanakijua na wanajua kuona fursa na kuzitumia.
Wanamuuzia mwanao T-shirt za kuprint, wanamleta visheti ambavyo yeye hajui hata kupika, wanaleta ubuyu.. yeye anatoka umtafutie na kazi...
Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app