Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

Kama sio tajiri na huna asset, kusomesha watoto shule za gharama ni ujinga unaongeza umaskini kwenye ukoo

huyo kijana wako anakutana na A level vilaza mkuu, tena A level wa masomo ya Art. Lakini A level wanaosoma sayansi physics, chemistry, math, biology haya masomo hayahitaji ujue kiingereza ni kumeza kwako kanuni, michoro, kukokotoa hesabu, na kuzikuma projectile, hapo kama huna akili ya kuzaliwa hata uwe ujue kiinglish kichwa kinagoma tu.
ndio maana mpaka sasa Tanzania, shule za serikali za advance zinaongoza kwa ufaulu!, kule hakuna changa la macho ni "if u know you know, if u dont know na english yako basi huna maajabu'.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona mnahubiri umasikini.
Mimi mwanangu hata mars nitampeleka kusoma.

Kuhusu maisha ni wewe mwenyewe mzazi ndio unaamua mwanao awe nani na umkuze vipi na sio shule ya serikali au shule binafsi yenye ada kubwa.
Kama mzazi unaamini shule fulani ndio zina determine mwanao aje kuwa nani basi uko sahihi kuamini kitu kama hicho hivyo tatizo ni wewe.

Bila kusahau English ni lazima haijarishi upo wapi ilimradi wewe unaishi hapa duniani.
Considering hakuna tatizo kuja lugha zaidi ya moja.
Ninachoona ni wengi English imepita pembeni hivyo wajaribu kutafuta justifications no hard feelings lakini ndio ukweli hivyo siku zote unauma.

Pia ubora wa elimu ni tofauti kati ya private schools na za serikali.
Kuna vitu vingi shule za serikali havina ukilinganisha na shule binafsi.
Labda kama unataka huyo mtoto awe anakariri then aje kuomba ajira au hujui umuhimu wa elimu.
na baada ya hapo hakuna hata kimoja ataweza kitumia sababu ya kukariri.
Hata awe na MBA.


Na asilimia kubwa ya graduates wasio na mbele wala nyuma ni wale wa serikali sababu wazazi wao ni masikini hata humu wamo pia na wale waliopita shule za serikali.
Na ndio sababu kubwa ya kushindwa kuona umuhimu wa elimu ya kueleweka.

yanayotokea huku shule za serikali ni pathetic trust me najua ninachokiandika na situmii emotions.
Kama pesa ipo angalau kidogo peleka mtoto shule ya kueleweka hata kama unauza kachori.

Mengine ni kujifariji na kuwa optimistic juu ya false reality sababu ya emotions hivyo kugeuka fallacy kwani ni personal perspectives and opinions.

Still mfumo wa elimu ni mbovu ila viwango vinatofautiana kutokana na shule.
 
ndio maana mpaka sasa Tanzania, shule za serikali za advance zinaongoza kwa ufaulu!, kule hakuna changa la macho ni "if u know you know, if u dont know na english yako basi huna maajabu'.


Sent using Jamii Forums mobile app
Hii haiwezekani mkuu.

Huwezi kuelewa physics na masomo yote ya science kama huelewi lugha iliyotumika labda kama unakariri tu then upate A.


English itabaki kuwa muhimu tu.
 
huyo kijana wako anakutana na A level vilaza mkuu, tena A level wa masomo ya Art. Lakini A level wanaosoma sayansi physics, chemistry, math, biology haya masomo hayahitaji ujue kiingereza ni kumeza kwako kanuni, michoro, kukokotoa hesabu, na kuzikuma projectile, hapo kama huna akili ya kuzaliwa hata uwe ujue kiinglish kichwa kinagoma tu.
Kumbe ni mwendo wa kukariri tu.
English ni muhimu tu hakuna excuses za kueleweka.

Wengi wanaumia ndani kwa ndani angalia tu utaona wanavyocomment.
 
Ongeza round ya kwnza imeisha... Mtoto wa miaka sita anaweza kupanga hoja kwa ujasiri hadi naogopa kitu ambacho me wa kayumba hata nikiwa high school nlikuwa siwez halafu leo eti nimpeleke kata... Kweli ntakopa kikoba mwanangu asome inglish midiyam

Nakuunga mkono 'akanana'.

Endelea kugida tu.
Weita nitamaliza shoo mimi bili ya huyu muungwana-anaejitambua.
Hao wengine enderea kuwaruka😉
 
Kumbe ni mwendo wa kukariri tu.
English ni muhimu tu hakuna excuses za kueleweka.

Wengi wanaumia ndani kwa ndani ndio angalia tu utaona wanavyocomment.
english haina umuhimu wowote kwenye sayansi labda kwenye history huko, lakini sayansi ni Ujiniazi wako tu mkuu. Wewe endelea kubishana na sisi tu.
 
english haina umuhimu wowote kwenye sayansi labda kwenye history huko, lakini sayansi ni Ujiniazi wako tu mkuu. Wewe endelea kubishana na sisi tu.
Mimi najua nachokiandika sababu nakishuhudia mwenyewe na wala sibishani.

Physics na masomo ya science yote ni tatizo kwenye shule za kata sababu ya lugha hawaelewi hivyo wanakariri tu au wanaita kumeza.
Hivyo wanakesha kutwa kucha usiku na mchana wakikariri kanuni nk then wanasahau baada ya muda mchache tu.

Ila kama unaelewa lugha unasoma mara moja tu na kuelewa wala hakuna kigumu na hakuna kusahau sababu umeelewa.

Na huwezi ukasema English haina umuhimu wakati hayo masomo ya science yote yanatumia English.

English ni essential kivyovyote vile na haikwepeki kama kweli unaju umuhimu na maana ya elimu.
 
Acha uongo mkuu, nimesoma shule za kataa mkuu, nimesoma na hao english medium advance na university, kwa kifupi hawajai kunimakata kwenye anga zangu katika masomo. Narudia tena hawajawahi, huwa nawakalisha chini na kuwapiga kitabu.
 
Acha uongo mkuu, nimesoma shule za kataa mkuu, nimesoma na hao english medium advance na university, kwa kifupi hawajai kunimakata kwenye anga zangu katika masomo. Narudia tena hawajawahi, huwa nawakalisha chini na kuwapiga kitabu.
1)Ungekuwa English mediam ungeweza kuwa smart zaidi.
Tunapolinganisha vitu/watu wawili tuweke constant mambo mengine.
2)Hugo jamaa wa sayansi hajui kuwa English inayohitajika kwenye Sayansi ndi kidogo tu. Mtu akifaulu akiingia A level Hugo anayo English ya kuelewa sayansi. Asipoelewa shida ni ubongo . Concepts hazihitaji kiingereza kingi kama cha Kelvin Jackson Twisa mzee wa Vitasa Night.
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academies sijui private school eti wanaishia kujua lugha tu, mi natofautiana na wewe mkuu, Kijana wangu yuko std seven hizo shule, sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata na wanamkubali mbaya.
Sidhani
 
H
Mimi najua nachokiandika sababu nakishuhudia mwenyewe na wala sibishani.

Physics na masomo ya science yote ni tatizo kwenye shule za kata sababu ya lugha hawaelewi hivyo wanakariri tu au wanaita kumeza.
Hivyo wanakesha kutwa kucha usiku na mchana wakikariri kanuni nk then wanasahau baada ya muda mchache tu.

Ila kama unaelewa lugha unasoma mara moja tu na kuelewa wala hakuna kigumu na hakuna kusahau sababu umeelewa.

Na huwezi ukasema English haina umuhimu wakati hayo masomo ya science yote yanatumia English.

English ni essential kivyovyote vile na haikwepeki kama kweli unaju umuhimu na maana ya elimu.
hahahahaaaaaa hesabu hata iwe kwa lugha ya kiswahili kama akili hazichaji huwezi kufauru.
 
ung'ele upande wa sayansi ,sio kigezo Sana.sayansi inahitaji IQ kubwa,uwezo wa kumeza na ku memorize vitu,kinyume na hapo hutoboi kilahisi hata Kama umezaliwa UK.
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Kama unafikir elimu ni garama jaribu ujinga.
Mi mtu anaemsomesha mwanae kwa hela nyingi kwangu huyo ndio mpambanaji. Unachotakiwa umuandae mwanao kuajiriwa popote dunian sio lazima iwe hapa. Unatakiwa ujiulize kwanini wewe uliyezaliwa nyumba ya kawaida baadae unajenga gorofa kuna nini kipya hapo? Kwanini ucjenge nyumba ya milion 40 tu safi mpaka unatumia milion mia 3 mpaka 6 kujenga makaz yako. Mi nashaur kama unaweza wekeza kwenye elim elim elim na elim isiwe hii ya bure mzee. Mtu asikudanganye elimu ni huku mwanzo kule juu unamalizia ulichokianzisha. Mi nakumbuka niliwasomesha wadogo zangu nikiwa na banda. Matokeo nimeyaona na hata nikiona mtu anamaisha mabaya ciz anasomesha mi cmlaumu. Mjengee mwanao kujiamin. Ukiangalia utawala wa nchi yetu wa sasa ni matokeo ya kutokujiamin zile shule za kajamba nani walizopitia. Muda wote anahic wazugu au wenye hela wanataka kutuangamiz. Fear of unknown. Elim elim elim.
 
Sehemu tulipowezwa ni hapa..

Mtoto wako, anakuja kuishi Tanzania hiii hiii unahangaika awe mzungu..hahaha.. na anafundishwa matatizo ya kizungu, kwa lugha ya kizungu..akitoka huko ameshakuwa mzungu anakuja kwa watanzania mtaani anaanza moja.. 🙂

Na cha kufurahisha ni sisi wazazi ndio tunakuwa tumewanunulia watoto wetu hiyo delay huku mtaani. Elimu tuliyomnunulia ndio imekuwa kikwazo..

Bora kila mwaka ungekuwa unamnunulia mtoto ng'ombe nne.. anasoma shule ya laki tano kwa Temu.. akija kumaliza shule anakuwa na ng'ombe 68, ukiweka kuzaa na kufa hakosi ng'ombe 100 kwenye kipindi cha miaka 16 ya kusomea elimu.

Na elimu yenyewe ndio imekuwa uchuro uchoro mtupu
hichi kilimo cha matikiti online
 
Habari wadau..

January imeisha .. wazazi wengi walikuwa wanalalamika school fees tatizo.

Kwa maoni yangu kama mtu huna mali za kutosha, huna kampuni ya kueleweka wala huna mtaji wa kutosha... baba mzazi wewe mwenyewe unategemea ajira za laki nane ama milioni moja, kusomesha watoto wako shule za gharama sio jambo zuri.

Hakuna CEO Mtanzania ambaye ameajiriwa ambaye hayupo kwenye kampuni ya baba yake kama Mo, ambaye amesoma international schools, ama shule za bei nafuu za kiingereza ambazo tunaita english medium... tukumbuke english medium zipo Tanzania miaka kibao kama IST, Arusha school ama Olimpio.

Kuna CEO wengi wazawa kama Dada CEO wa NMB Ruth Zaipuna ama wa CRDB Majid Nsekela na wengine wengi hawajapita Olimpio wala Arusha schools enzi ambazo wanasoma msingi zilikuwepo tayari ila wamepata nafasi kubwa kwa uwezo wao binafsi wa kazi..

Mzazi ambaye huna hela za kutosha peleka mwanao shule za bei nafuu kisha msimamie mwanao vizuri, kila siku mfatilie. Hela ya ada ya kulipa Tusiime nunua asset unazozimudu mwanao zitamsaidia kuliko kumlipia ada mamilioni.
Tatizo muda wa kumsimamia mwanao
 
Mkuu ungejua kuwa Dunia inakuwa na pia inazeeka,dunia ya sasa hivi ni nyingine yani ni kama kakijiji Fulani.

Ni uwezo tu hatuna ila kila mzazi anatamani hata mtoto wake a some Tanganyika au braeburn,yaani asisome ungese wa NECTA.
Yaani akifika la tatu akifaulu anarushwa la tano mambo ya Cambridge full.

Mtoto Ana miaka 21 tayari ni pilot.
Lakini ndo hivyo uwezo hatuna basis za bure zinatuhusu.
So unajua zetu wabongo mwenye vxr l/cruiser anamuheshimu mwenue vitz ila mtembea kwa miguu anamdharau mwemnye vitz,eti naue atasema ana Gari.
Ndimi comedian wako chiburabhanu.
Kayumba ya sasa hari ni mbaya sana...sio tuliyosoma sisi..pili wale walimu na matution tuliyoyasoma hayapo tena walimu wa sasa wito huo pia hawana kabisa.

Wito uko huko private school kwakuwa wanalipwa maslahi mazuri,yaani madogo kayumba wanatoka weupe pyeeeee.

Mie nafikiri tuwape elimu bora kwa kadri inavyoeezekena hata ikibidi kwa mabeberu...ila tupambane sana kutafuta maisha na hela pia tuwekeze mnooo mfano wanangu wanataka kuwa madaktari...napambana ili nifungue duka la dawa ili kije kuwa kijiwe chao kipindi cha likizo...

Mwingine anataka kuwa rubani..skimaliza form4 tu namtia kwenye zile course zao..

Sasa lugha ya malikia ni muhimu sana na pia confidence so najaribu kuwapa mwanga na maarifa..Kayumba huu mwanga haupo...

Alafu hatausaki tu shule kuna za private nyingi sana bei nafuu alafu za seminary..mie nalipa 1.6M kwa mwaka..boarding...alafu huwezi natupiaga 5K kila mwezi madogo wako w2..so hatuna stress za wadada wa kazi,sie tukiamka ni kusaka mshiko tu..na kuwekeza kwa ajiri ya madogo...

Kuna mwana anasema dunia kuna dini 2 tu umasikini nau tajari sasa kazi kwetu kuchagua dini gani na kuitumikia.?
 
Hilo halina mjadala mkuu, ila personally siwezi ku toil kwenda kuspend mahela Tusiime wakati kuna shule za serikali nzuri tu ambazo ukimpeleka mtoto ana excel bila shida. Kikubwa ni mtoto awe kichwa tu! Kokote atatoboa.
humu unajua % kubwa wote mlipasua kwa msuri sana...mlikuwa kichwa zipo shule nzuti na affordable embu siku tembelea kayumba check darasani...msikilize mwalimu...anavyofundisha pia ns mszingira ya shule na vyoo nk...
 
Hivi huu msemo Wa eti watoto wanaosoma shule za academies sijui private school eti wanaishia kujua lugha tu, mi natofautiana na wewe mkuu, Kijana wangu yuko std seven hizo shule, sikifichi anawa challenge hata majamaa waliosoma hizo ma A level za kata na wanamkubali mbaya.
Wanajifariji tu hawa!
 
Hawana exposure..na kujiamini.
Kujua lugha hakukufanyi smart... Au kujua kabla ya mwingine hakukufanyi uwe na akili zaidi yake.. mtoto anatakiwa ajue hilo mapema maishani.

Elimu ni kutafsiri maarifa uliyopewa au kupata katika maisha yako ya kila siku. Mtoto anajua kiingereza hajui kufunga kamba za viatu inamsaidia nini!?
Mtoto anajua kiingereza hawezi kwenda sokoni mwenyewe na kurudi itamfaanini!?

Logic and Reasoning ndio muhimu. Kwa level za chini watoto wanatakiwa kuwa curious... Mid ages waweze kuleta connection na theory na uhalisia katika maisha yao.. mtoto awe huru atleast saa 9 saa kumi aende akacheza apumzike kutoka shule ... Ukizidisha hapo unaua curiousity mtoto anakuwa duster ananyonya kila kitu kama kilivyo without Reasoning
Kwahiyo huko Kayumba schools ndio wanafundishwa reasoning?
 
Back
Top Bottom