Shida ni kwasababu wamerubuniwa. Elimu ilipaswa kuna na lengo la kuwanelighten watu. Na ilipaswa kuwa lengo la state kuhakikisha watu wake wamekuwa enlightened enough.
Thana ya kufanya elimu biashara ni dhana waliyouziwa african countries kuwadidimiza kwenye umasikini wa milele, bila kutumia nguvu.
Tanzania bado inahitaji wasomi, ili kuusaidia kuwa na jumuiya yenye uelewa wa kutosha. Kuanza kuuza elimu kwa muda huu ni kudiscourage azma ya kufikia state yenye uelewa mkubwa..
Kwanini wazazi wanataka tukasome, wakati wa elimu ya kujitegemea, kipindi cha mwalimu.. hata graduate wa darasa la saba alikuwa sisi well equipped kufanya kilimo.bora.
Shule watu wakisoma basics za uongozi, sayansi ya kilimo ( namna bora ya kufanya kilimo kwa maeneo tofauti tofauti, sayansi ya kujikimu, namna bora ya kuboresha mlo wake, afya na unadhifu wa mavazi na mazingira, katika hesabu walijifunza hesabu za fedha, kuandaa budget na kuandaa wazo la biashara kwa vitendo. Alijifunza mambo mengine kama michezo, sanaa na ufundi)
Haya yote yalimdhihirisha mbele ya watu wasiosoma alionekana bora zaidi. Lakini leo unatoka unajua definition na kutaka kazi kwa mhindi.. hiyo elimu inamsaidia nn mzazi!? Tukiendelea hivi wengi hawatawapeleka watoto vyuo vikuu katika generation hii tunayoishi ya ukosefu wa ajira.