Mkuu
Unaongea as if upo kwenye your own utopia
Wewe una akili,ulisoma ukafaulu vizuri tu bila hata kusumbuka
Cha ajabu una equate your brilliance na the rest of 60mil normal Tanzanians!
Tunazungumzia athari ya sisi kutokua na maarifa coded kwenye lugha yetu wenyewe kutoka generations and generations ago
Hatuna budi kumfata Mzungu ili tu-survive
Na yeye maarifa yake kaweka kwa Kingereza,hatuna budi kujifunza Kingereza kwanza kwa usahihi then ndio tuchimbe maarifa yake
Hata wewe hapo hizo A ulizopata za 81% ungekua unajua Kingereza kama native language ungepata 99%
Watoto wetu wa OLevel "wanakariri" definitions za vitu mbalimbali sababu tu hawaijui hii lugha...Watoto hawalali "wanakariri" definition ya Osmosis wakati wanatakiwa "waelewe" ambapo lugha ya Kingereza ni integral part yake!
Kwanini nchi zote zenye kutumia Kingereza zina maendeleo na elimu kubwa zaidi ya nchi ambazo hazitumii Kingereza?
Kwanini?
Sababu ni kwamba,dunia nzima elimu na maarifa yote yamevumbuliwa na English Speaking nations hivyo wana advantage ya lugha kuelewa haya maarifa kwa usahihi kuliko wewe Mswahili
Mfano mfupi ni nchi za Africa zinazoongoza kua na elimu bora na maendeleo bora ni zote zinazotumia Kingereza....sio South Africa,sio Nigeria,sio Egypt sio Kenya,etc....wengine wote Tanzania included ni mavi jumlisha mavi
Huna lugha,huna maarifa,huna maendeleo,huna chochote,unacheza makida makida tu...sijui lini mtaelewa na liCCM lenu la hovyo!
Nyerere new all these unfortunately alichoka mapema...Lee Kuan Yew new it and implemented it better than Nyerere...
Halafu leo anakuja pumbavu mwenzangu EllySkyWilly anabishana na Kingereza as if yeye ana maarifa aliyogundua yaliyoandikwa native kwa lugha yake ya Kiswahili
Na Kiswahili mna ki-overrate mno..ni lugha ya hovyo na haitumikia duniani zaidi ya TZ na Zanzibar...msije jidanganya....mnaotegemea wawasaidie kukiongea walao Wakenya nao ndio hawakitaki wanajua upumbavu wake...Mombasa tu ndio wanaongea kama lugha ya kienyeji..Uganda,Burundi,Rwanda,Kongo,etc ni some people....hii ni nonsense
Learn English or die doing nonsense here in TZ....hadi emails mnashindwa kuandika,upumbavu mtupu,bure kabisa...ndio maana Tanzania we will never be an international hub,never
Na mtaletewa Wakenya kila siku wawe maCEO wenu....maana ni majinga mno...kila siku mnaambiwa jifunzeni Kingereza,hatutaki,kuleni kiburi sasa...na mtaisoma vizuri maana Rwanda sasa hivi wameigeuza English speaking country bado kidogo Rwanda ita overtake everybody kama international hub...majinga nyie