Mkuu
Hii kitu Huwa nabishana Sanna na staff members pale kazini!!
Conservatives wananiona mkoloni,lakini nawaambia Mungu ni tajiri Dana hajaumba Kila Binadamu lazima afike chuo kikuu,lazima awe na vyeti fulani fulani!
Wengine watakula Kwa vipaji vyao kama ufundi,biashara na mengineyo sio lazima uue kipaji Cha mtoto Kwa kukaa shuleni miaka 16 ahitimu degree!!
Wananiona mshamba sana!!
Mi nawaambia live nimezaa watoto sio lazina wooote waende chuo kikuu wengine wataishia vyuo vya ufundi wengine form four na wengine wataenda Hadi huko.versity watafanya kazi za kujiajiri na frem na location nishajenga njia panda muda ukifika TU nawaondoa wapangaji na wao wataanza Biashara zao rasmi waingie kwenye mfumo wa ujasiria mali!!
Huu ujinga wa kulemaza vipaji vya watu Kwa elimu ya kukariri Hadi versity ni ujinga was karne wasome wenye vipaji sio kulazimisha kila mtu!!
Hii mambo ya kudiscourage watu wasisome wapate maarifa ni tabia fulani imeanza kujitokeza hivi karibuni hasa Tanzania
Hatuwezi kukaa hapa kama jamii eti tunapanga mipango ya ku-incentivize kutokusoma
Kama mtu anaweza kusoma kwa upeo wa akili yake afike level anayoitaka yeye na akienda zaidi kuwe na system ya ku-reward that maana elimu kubwa inasaidia kufanya innovation breakthrough fundamental kabisa ya civilization
Utajengaje spacecraft ya kwenda Mars au kurusha satelite ya internet communications ili tuweze kupata internet,etc bila kusoma advanced mathematics?
Kila mtu akiwa anakwepa nani atafanya?
Tutaishia kua taifa la consumption tu hakuna patents wala innovation serious we can offer the world and create wealth for the country and individuals
Elimu ni elimu tu haina shortcut,hutaenda darasani formally ila utafanya huko nje the same ili uwe na hayo maarifa....
Maarifa hayana mkato,aidha uyapate darasani au nje ya darasa
Kama hupendi mazingira ya darasa,thats on you,ila ukitaka kujua mahesabu ya kupeleka satelite kwenye orbit ni lazima usome uelewe ukiwa chini ya mti au gereji au chooni or whatever u wish!
Ila zile eliptical equations ni lazima uzipitie we dont care umejulia wapi Harvard au chooni kwenu huko madongo kuinama or whatever u call it.