Kama tafsiri ya kubaka ni kumwingilia mtu kimapenzi bila ridhaa yake, basi vijana wengi walipaswa wawe mahakamani

Kama tafsiri ya kubaka ni kumwingilia mtu kimapenzi bila ridhaa yake, basi vijana wengi walipaswa wawe mahakamani

Muulize huyo jamaa..maana hata sie ni binadamu tunaishi,tuna changamoto.sasa mtu akisema leo hana mood we unasemaje ni mambo ya magharibi kama sio upungufu wa akili.anasound kama vile ukioa umepata chombo cha starehe lakini ni binadamu mwenzio.

We umepjnguzwa kazini unarudi home kazi huna.mkeo kashinda kwenye sherehe anataka haki yake unamjibu sina mood..haya huo nao ni umagharibi?
Jitahidini kuwa wenye akili timamu na waelewa.ama hamuwezi kaoeni kijijino kwenu mmalizane mshamba na mshamba mwenzie!
Hapo ndipo Kuna tofauti kubwa kati ya Mke na Girlfriend. Girlfriend anatoka nyumbani amejipanga kuliwa. Mke lazima mkutane jioni akiwa bado hajajipanga, wakati wewe umejiandaa tangu asubuhi kula K. Faida ya kuchezwa ngoma zilikuwa ni hizo. Njia nyingine ni Mchepuko kusaidia ndoa
 
Hiyo mbona ipo sana tu, google maana ya discondant positive uone. Kuna baadhi ya watu ktk chembe nyeupe za damu zao, hawana vipokezi vya HIV, vinaitwa CCR5 au CXCR4, huyo hata umuongezee damu yenye virus, haumwi.
Hivyo vipokezi naomba nisiwenavyo tu kwa kweli.
 
Hivyo vipokezi naomba nisiwenavyo tu kwa kweli.
Kutokuwanavyo ni ugonjwa wa vinasaba(wa kurithi), japo ni ugonjwa usiosumbua na unakupa faida ya kutokupata HIV.

Kila nchi watu hao wapo, lakini wengi wao wapo Israel. Ndomaana unakuta couple, mmoja ana HIV na mwingine hana.
 
Acha ujinga kwa Dada poa Mafuta na Mke mafuta,Aisee' Braza unateseka.

Mwanamke asipokuwa na Utelezi wake wa asili mm sigusi,ujinga sifanyi wa Mate na Mafuta.

Nukikuta kavu au Arufu mbaya na adonda asee akapige nyeto mbona matango ndizi na karoti hazikatai
 
Una

Ninapozungumzia uislam unafundisha kuwa mwanaume unapotaka kumuingilia mwanamke ni sharti umuandae simaanishi kuwa ni desturi iliyoanza kwa waarabu tu.Uislam unekuwepo toka kipindi cha baba yetu Adam. Na yeye ndiye muasis wa uzao wetu sote ulimwenguni

Hao mababu zako ambao hawakuwa na ufahamu wa kuwa wanatakiwa wawaandae wake zao kabla hawajawaingilia walikuja maelfu ya miaka baada ya kuondoka kwa Adam.

Kwahiyo Adam alikuwa anamuandaa Hawa
 
Hali zenu,

Baada ya tafakuri ya muda mrefu na kuunganisha matukio nimebaini haya;

Wanawake kamwe hawawezi kusema wala kulalamika wanabakwa, wakiwa kwenye mahusiano na wanaume wanawapenda au wanaojulikana na ndugu na jamaa zao. Wanaume tunabaka sana tu, hasa tuliooa, tuwe wakweli tu.

Imagine mkeo hajisikii vizuri (haumwi ila hana mood kwa muda huo) na wewe unahitaji na mashine inanesa nesa ndani ya boksa, hapo lazima ubake tu, ukizingatia ni usiku na mpo chumbani watoto wameshalala. Wanaume tunabaka sana tu.

Sema hawezi kukushtaki kwa sababu anajua ukishaolewa kiuhalisia "hakuna kubakwa" isipokuwa propaganda za magharibi tu za kuharibu ndoa.

Yaani ni kutafuta mafuta kupaka kisha kusukuma taratibu ili asichubuke, hakuna namna hapo. No kumchezea wala nini, na yeye anakusubiri umalize apumzike, yaani anafanya kukuridhisha wewe kwa kuwa una uhitaji.

Hebu imagine na boksa za siku hizi zilivyo laini yaani kule kusugua sugua kichwa tu unashangaa mashine hiyo bhana.

Kubaka ndoani hakuepukiki, siyo ndoani tu hata kwenye mahusiano hakuepukiki.

NB: Simaanishi kule kwa kutumia nguvu, hapana!

Daaah, anayebisha aje hapa na aseme kuwa "mimi sijawahi kubaka". Alaa



Unabaka wewe usiye na akili ya ku study mazingira na kuji control, kwani lazima tamaa ikuendeshe?
 
Kutokuwanavyo ni ugonjwa wa vinasaba(wa kurithi), japo ni ugonjwa usiosumbua na unakupa faida ya kutokupata HIV.

Kila nchi watu hao wapo, lakini wengi wao wapo Israel. Ndomaana unakuta couple, mmoja ana HIV na mwingine hana.

Tunaomba uthibitisho wa takwimu kuwa israel ina couple wengi wa hivi.
 
Yani pamoja na kuwaalika baba, mama, kaka na dada zake wakala na kunywa katika tafrija fupi baada ya kukamilisha mkataba maalumu atokee mtu aseme nabaka mwanamke🤣!?

Badamu batamwagika 🤣 🤣 🤣
😳😳😳😳😳
Kwahiyo hapo umepewa uhalali wa kubaka?
 
Nani alikwambia kuwa kabla mwaka 2000 wanaume walikuwa hawawaandai wake zao kabla ya kuwaingilia? Kama wazazi wako wapo hai...nenda kamuulize baba yako kama alikuwa akimuingilia mama yako kama wafanyavyo wanyama?
Wanyama wenyewe wanaandaana, hamjawahi kuona beneru akilamba uke wa mbuzi jike ili kulainisha?
 
Back
Top Bottom