Kama Tanzania ingeshindwa vita ya Kagera: Je, Rwanda na Uganda zingefika hapa zilipofika leo?

Kama Tanzania ingeshindwa vita ya Kagera: Je, Rwanda na Uganda zingefika hapa zilipofika leo?

Nakumbuka wakati huo niko Sec
Mara vita ikaanza baada ya hapo tukaona mabadiliko ya Uraisi mmoja baada ya mwingine na kurudishwa tena Milton Obote
Nawakumbuka walikuwa Godfrey Binaisa na Yusuf Lule na hawakushika madaraka hata mwaka chapchap wakatolewa
 
Nakumbuka wakati huo niko Sec
Mara vita ikaanza baada ya hapo tukaona mabadiliko ya Uraisi mmoja baada ya mwingine na kurudishwa tena Milton Obote.

Nawakumbuka walikuwa Godfrey Binaisa na Yusuf Lule na hawakushika madaraka hata mwaka chapchap wakatolewa
Hivyo, unadhani bila hii vita wakina Paul Kagame na Yoweri Museveni wangekuwa hapa walipo na kuendelea kuvuruga amani ya huu ukanda?
 
mkuu basi tu ni kwa vile kwetu kumkosoa mchonga ni mwiko..........

ila ingependeza kama mngetusaidia kuchimbua zaidi motive ya mchonga kuwafavour hawa jamaa........ kwnn hakuwapenda wale maraisi waliokuapo kabla ya hawa?.......


lkn pia mtusaidie tujue kwann mrisho alipambana kuhakikisha piere haondoki?? na kwann paulo ali-react vile?


sie wengine ndio tunakua, hawa kina katto ndio wanatufanya tuanze kutamani kujua tulikotoka!
Hivyo, unadhani bila hii vita wakina Paul Kagame na Yoweri Museveni wangekuwa hapa walipo na kuendelea kuvuruga amani ya huu ukanda ???
 
Ni nchi moja tu ukanda huu ambayo imevurugwa ambayo ni congo na kiuhalisia hiyo nchi inavurugwa na mabeberu

Rwanda na uganda sio chochote kwa ukanda huu saana tu wanajaribu kutunisha misuli tu
Mwisho hata wake zenu wasipozaa mtasingizia mabeberu. Waafrika tuna poor excuse kwa kila udhaifu tuliyonao na ndio maana maendeleo yetu hayatawezekana. We're really bogus.
 
Mjadala mzito Sana huu mwalimu Malcom,
Lakini itabidi tu nikujibu, Tanzania haikuwa na lengo wala wazo la kuwasaidia hao unaowaita ndugu zetu, Tanzania tulipigana Vita kulinda Utu , mipaka, na heshima yetu , hiyo kuwasaidia ni neno la diplomasia tu .
Waganda na watutsi waliokuwepo uhamishoni wangeweza kufanya hayo bila msaada wa Tanzania, kupitia nguvu ya umma japo ingechukua muda ila ingekuja tu.
Mipaka gani wakati sisi ndio tuliivamia uganda kwa kupeleka waasi wa idd amin wampindue ikashindikana ,
Nyerere Alikuwa mchokozi na mnafiki just like jiwe
 
Ukweli ni kuwa hatukuwa na ifahamu wa HIMA EMPIRE. Mwalimu alifanya kama Mwafrika kwa ajili ya Afrika dhidi Uovu wa Mwafrika. Kwa kutojua au kutotilia maanani dhana ya HIMA EMPIRE tukawaacha Watutsi ku~dominate Majeshi ya ukombozi wa Uganda. Tulifanyakosa acha tulipe gharama.

Tusuipokuwa makini, Watutsi watatumaliza. Kwanza kwa kutegemea UZURI & UREMBO wa wanawake wao, wanaolewa au kuzaa na Viongozi wetu. Lengo lao ni kuwa na watu wanaoweza remotely control them. Wakati mwingine hawazai nao bali huzaa na watutsi wenzao ma kwa kuwa kitanda hakizai haramu; huhesabiwa kuwa ni Watanzania. Pia wanajipenyeza na kudai ni Watanzania toka kabila la Wanyambo, Wahaya, Wanyiramba/Wanyaturu na Wachaga (Machame). Pia majina ya kwao ama wanayaacha au kuyageuza yafanane na kwetu. Mbinu inawasaidia sana kwani sisi sio wadadisi sana kuhusu ukabila.

Aidha wana~wanausalama wa taifa wa kutosha ktk miji ya Dar, Dodoma, Arusha na labda Mbeya. Wanafanyakazi dhalili na.za hovyo kama kuuza matunda au barmaid. Lengo ni kuwafuatilia wanasiasa na watu wenye ushawishi ktk jamii na kutengeneza urafiki wenye maslahi kwao. Kwa Dar watu nendeni Seblen Pub muone wahudumu na wateja ni kina nani: Mtaniambia.

Uzuri ni kuwa; Linchi hili ni likubwa sana hivyo wanashindwa kulishika lote kwa urahisi. Pia TISS wanajitahidi kuwatambua na kuwaumbua.

Naamini tutashinda tu hii vita ya kimkakati


Bazazi!
Linchi likubwa sana hili!
 
Ndiyo, DRC ni kubwa kuliko Tanzania lakini imevurugwa sana na mataifa ya nje. Ukubwa siyo sababu ya sisi kuwa salama.
Usilinganishe kitu kimoja tu. Kwenye bandiko nalisema uzuri TISS wapo macho hivyo ukichanganya na ukubwa wa nchi hali inakuwa nafuu. TISS ya DRC unaijua, kuna serikali inayofanyakazi nchi nzima? Kuna loyality kwa viongozi wa nchi kwa nchi yao au ni mamluki. Kwetu ukubwa wa nchi ni faida kulingana na mazingira yetu.

Hata hivyo DRC ingekuwa kama Rwanda unadhani PK asingekuwa anaitawala yaani angekuwa Mkoloni wa DRC. Ukubwa wake umemfanya PK ashindwe kuitawala wala kuiteka yote

Bazazi
 
Back
Top Bottom