Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!


Pumbafu kabisa wewe..unajua maana ya uRais wewe au unaongea tu..hakuna jambo kubwa kiasixkile linaweza kufanyika Rais asitaarifiwe
 
JF siku hizi kweli imegeuzwa kijiwe cha ku-pass time.

yaani kweli kwenye hili mnategemea Zitto na/au JK wataukiri ukweli?
seriously don't tell me you guys are holding your breath for that confession, are you?

Mbona ma mods wenyewe wanapass time tu
 

Tuhuma hizo,,atazijibu Mwami leo...ZZK ataletewa kila aina ya tuhuma,,,ukisimamia haki ndo kawaida hiyo mzee pasco.

Mwambie kiongozi yeyote yule mwingine aweke mali zake hadharani
 
Shule zenu ni za kukariri. Kwenu nyie muda mfupi inamaanisha nini?
Kabla ya Zitto kuwasilisha, JK alikuwa US kwenye matibabu. Ni akili ya Mulugo itakufanya huamini walikutana kabla. Kumbuka Airport alisema kabisa hajui chochote kuhusu report.
Think before you jump!
 
Hivi kwa nini matatizo yenu muwasingizie cdm? Cdm wameingiaje kwenye hili?Akili finyu hizi,nashauri muwe focused kukijenga chama badala ya kuwasingizia cdm kwenye kila matatizo yenu.

Jambo LA ajabu ni kuwa hili ni tatizo binafsi LA Zitto lakini hawa ACT wanataka kulifanya kama LA chama chao kwa mini? Kama alienda kwa JK kupiga fitna alienda kama Zitto na sio CEO wa Act .
Mbona wanajivesha kila jambo LA Zitto kama ni lao? Mwacheni ajitetee mwenyewe kwani hill lilifanyika kwa siri na anajua kuwa hao walioandika wanaweza kutoa zaidi ya hilo. Ikulu yaweza kumtosa kwa kukaa kimya kudhihiriasha kuwa kweli jamaa alikuja kujikomba na anasaliti wenzake kwani Rais hana kosa kumsikiliza yeyote
 
Hivi Madam Rita nae kapotelea wapi na BSS yake?
 

Yani arif wewe ukimkuta Zito anamtafuna waifu wako utamwambia "endelea tu mungu wangu, malizia baba".

Nakukubali kwa misimamo yako kwa mentor wako Zitto.
 
Pasco hao chini umemalizia vibaya..umemkuza sana zitto..umeiingiza cdm bila sababu.Una chuki na mengi na cdm.Mengi anataka kuondolewa ktk uhaini unaweza mpa mwendawazimu yeyote uhalali wa kuweka usalama wake ktk hatari.Na pia kuondoa possible future legal problems.
 

wewe chuki zako na wachagga zitakunyonga tu bure. mafanikio ya wachagga si ishu ya miaka kumi, ni matokeo ya miaka mingi ya kujinyima, kufanya kazi kwa bidii na kuji sacrifice kwa kiasi kikubwa na kwa miaka mingi sana. jitihada zao zimeanza hata kabla ya ukoloni haujaingia eneo lililokuja kujulikana baadaye kama Tanganyika. na eneo wanalowekeza ni so strategic....elimu na biashara. kuwachukia hakutakusaidia, ningekuwa wewe ningewa-byfriend hawa kina mangi, nizisome mbinu zao nami nafuate nyayo zao. kuna baadhi ya wenzako wameshtuka, wakafuata huo ushauri niliokupa na sasa wamefanikiwa sana. sasa fanya hiv.....hapo hapo ulipo, hata kama ni kijijini ndani kabisa, embu angazaangaza macho, ukimwona mchagga katandika kisafleti chini, kamimina hapo nyanya ishirini na vitunguu vitano anauza basi jua wazi hilo eneo lina harufu ya fweza, hata kama wewe huzioni wewe usiogope, just tafuta kisafleti chako na wewe tandika hapo hapo, mimina nyanya zako, m-byfriend huyo mangi....then baada ya miaka michache njoo hapa utupe ushuhuda wa mafanikio yako ambayo nina hakika yatakuwa chni ya yale ya mangi lakni walau mtakuwa mnafananafanana.

kuhusu hilo sintalisemea sana kwa sababu, kama vile mafanikio ya wachaga yalivyo kuwa ni matokeo ya miaka mingi ya uchapakazi, uwekezaji na elimu, basi na wewe u-inferiority complex wako ni matokeo ya uduni wa vizazi ulimokulia, elimu ya kidhiki uliyopewa, kutawaliwa na kufanywa mtumwa na wakoloni kwa miaka kadhaa na mbaya zaidi, baada ya kupata uhuru wa bendera, ukaingizwa kwenye uchumi dhiki wa kijamaa. wewe ni wa kuhurumiwa kwa sababu ubongo wako na utu wako upo disabled, umelemazwa, huamini kuwa unaweza kufanya kitu, unajiona kama mtumwa zaidi wa kuajiriwa mahali fulan, mathalani kwenye duka la mangi, ili utumwetumwe tu. bahati mbaya hapo ndipo ilipo tofauti yako kubwa na mangi, na ndipo mangi anapokupigia bao. na kwa jinsi hiyo hutokaa umfikie mangi kamwe...sana sana mwishowe, na kwa chuki zako, utakuja kujivika mabomu tu ili eti umlipue mangi...falsafa ya kijinga ya tukose wote.
 
Hivi kwa nini matatizo yenu muwasingizie cdm? Cdm wameingiaje kwenye hili?Akili finyu hizi,nashauri muwe focused kukijenga chama badala ya kuwasingizia cdm kwenye kila matatizo yenu.

Ritz akili hana, haelewi hata anachokitetea, sijui anakula chakula gani kinachompotezea kumbukumbu.
 
Hizo 'Dark side' ame verify nani kuwa ni kweli 100 percent?
Mbowe hana 'dark side'?
Slaa hana 'Dark side'? na kama nikipinga hizo dark side kuna sheria navunja?
sina haki ya kuongea kitu kingine?

Ya Mbowe na Slaa yamekujaje hap,Hee,this is too Childishly yani.
Sasa Pinga kwa kuja na the other facts,otherwise utaonekana Mshabiki,hence ule uungu wa ZZK kwenu kujidhihirisha,tutakutofaitisha vp sasa na akina Mwl Kaijage ?
 
ZITTO si muadilifu hata kidogo,muadilifu gani alikuwa anapokea mirungura ya pesa kutoka Tanesco kipindi cha Ngeleja akiwa waziri?
..kiongozi hujanielewa, rudi kwenye comment nisome taratibu. angalia source ya kilichopelekea mimi ku comment hivyo...vinginevyo tupo pamosi mkulu.
 
Pasco uko well informed na ni hazina hapa JF. Safi sana. Ila nawe ukitumia kipaji hiki vibaya 'karma' itakuhukumu
Huwezi kumtenganisha Zitto, Pasco na Lowassa hao ni group moja linalojitahidi kupambana na CHADEMA, Kundi zito la chama Tawala, hawawezi kukubali lazima wakanushe!!! subiri... ila sisi tunawajua ... KARMA!!!
 
DR. Dau ni mfadhili number moja wa ACT.


Nssf inatumiwa vibaya sana.
 
usiogope kamanda, ni ulimbuke tu, madhara ya ukoloni na elimu duni ya kitumwa ambayo haimfanyi mtu kujitambua na kujiamini. nakumbuka tulipokuwa fomu tu tunajifunza ki tony blair basi mtu kuonesha unakijua sawasawa dawa unatumia kitu tulikuwa tunaita "mabomba". makhali tu pa kumuuliza mtu "how are you?" basi mtu unaingiza hapo mabomba...."how do yo symbolize your mabosity?"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…