Kama tuhuma hii ni kweli, then this is The End of Zitto. Karma Ndio Itamaliza Kila Kitu!

Vipi kuhusu RPC wa Simiyu Mkumbo naye tuambie hali yake kwa sasa?
 
Kweli nimekubali kuna majembe humu. Watu mnafuatilia mambo kweli kweli. Salute kwako Pasco kwa thread poa na safi
 

nashawishika kumsikiliza Zitto kwa mambo yanayoendelea. Anaoneka huyu jamaa ni jasiri na tishio kwa siasa za Tanzania.
maziku masunga Jr, kama ni kwa siasa za kinafiki na kindumilakuwili nakubaliana nawe kwa asilimia mia moja kinyume cha hapo nafikiri utakuwa ni mvivu wa kusoma kuchambua na kutafakari mambo...!
Pasco bado nakumbuka tulivyoshiriki pamoja post za meditation karma na psychic powers! Ulichokinena kuhusu Zitto ndicho kitakachotokea, kwenye CAUSE N EFFECT kuna kitu katikati kinaitwa CONDITIONS hiki ndicho anachokifanya zito kwasasa ana hamu ya kuwa juu ya wengine, apendwe, aheshimike, awe maarufu anyenyekewe na kuabudiwa
Sasa katika kupita njia yake hii kufikia hamu ya malengo yake haangalii anamuumiza nani na kwa njia gani na anaacha makovu gani nyuma....! Hili kwake si tatizo LAKINI watu wa jinsi hii hawana mwisho mwema kwake binafsi na kwa jamii
 
Last edited by a moderator:

  • Tuhuma nyingine kumuhusu Mengi zinaweza kuwa sawa lakini hili la Tido Muhando ni ule MCHAKATO MAJIMBONI kiasi cha kuwapotezea WABUNGE WA CCM ushawishi majimboni.



    1. Alipishana kauli na Tido kuhusu TV inayolipwa na kodi za wananchi kugombea matangazo na TV binafsi!, Tido aling'oka!



 

Wana Act waliopo mitandaoni Siasa bado sana,na kwa style waliyonayo wakipigwa Counter Attack kwishney!
 
Pasco mwaka jana ulimchambua Zito kwa undani na mwishowe ulimsifia leo unasemaje?
 
Pasco mungu huwa hawapi karma watu wanafiki hata siku moja huyo mzee ni mnafki na anawahonga wabunge ili kufanikisha mambo yake.

Huyo mzee unaweza mdai 20000 asikupe akaita waandishi akatoa msaada wa milioni 20 ukitaka kujua hayo waulize wafanyakazi wake wa ipp utajua mengi yakumuhu.
 
Facilitator;Poor mind of an academic dwarf... do u think being ureasonably circumlocutios underlines your dexterity?? Only the lower primary school kids will be mesmerized and flabbargasted by ur hoolabaloo!!

..... don't try to stonewall what i believe. I say it again PLUTOCRACY is common syndrome turning this country into a cesspool.
..... Whatever these oligarchs do it goes against the common precepts of decency.

Now listen very careful DAMSEL, grade inflation is my personal problem;so don't patronize me.
I am a bastion of my own beliefs and this is a free world. So don't manicured my lawn with these glitzy words.
.....rather than being brusque with me work hard to improve your own savvy.
.....and for the record you are NEITHER SMART AT ALL; you are just knowing fool who attended college.


 
Pasco kuna new info kuwa mmiliki wa gazeti lililosema hayo yote ni JAMES Rugemalila....
sijui unajua hilo?

.....ninacho jiuliza, taasisi zoote hizo alizona Mh JK, leo atengemee umbea kutoka kwa Zito !? :noidea:
Kuna watu bado wako kazini !? .....:noidea: Pasco
 
Last edited by a moderator:
kwa hili la Mengi kuhonga wabunge ni la kweli kwa muda mrefu amekuwa akiwapa pesa ili kusiwe na miswada itakayoruhusu watu toka nje waanzishe na kumiliki vyombo vya habari kwa asilimia mia moja, lakini amekuwa akienda mbali na kutumia vyombo vyake vibaya ila tatizo amekuwa akiangaliwa.
Kabla ya uchaguzi wa marudio mwaka 95 ambao ulivurugwa alitumia vyombo vyake kuwatisha wananchi juu ya mauaji yaliyotokea rwanda kwa kisingizio cha kulinda amani ya nchi wakati ukweli miongoni mwa vyombo vilivyochangia mauaji ya kimbali ni vyombo vya habari
Aliwahi kuingia mgogoro na vyombo vya dini kwa kuwaita wauaji kwa sababu wanazuia waumini wao kutumia kondomu ingawa ama kwa kujua au kutokujua watu wa dini wamesimama kwenye maadili bahatu nzuri baraza la maaskofu lilimjibu na askofu mkuu wa jimbo loa dar es salaam alitoa hotuba kali na kuwataka watu wawasikilize watu kwa hekima zao wala sio kwa utajiri walionao waziri wa afya wakati huo Anna Abdalah ilibidi aingilie kati na kusema watu wa dini na serikali kila mmoja ana njia zake za kupambana na ugonjwa wa ukimwi
Bila kuhitaji ushahidi ilionekana dhahiri Mengi alimpania aliyekuwa waziri wa nishati aondoke ukiangalia vyombo vyake vya habari vilivyokuwa vinatoa uzito kwa kila mtu aliyekuwa ama anamsema vibaya au kushinikiza Muhongo ajiuzulu
Mengi amefanya hayo kwa sababu ya udhaifu wa serikali ilionano bila hivyo ingekuwa serikali imara leo hii vyombo vyake vingekuwa vimeshafungiwa na yeye kuwa kizuizini kwani mengi huyohuyo alitaka kuonyesha nguvu zake nje ya tanzania na kufungua kesi uingereza lakini akashindwa
kuhusu karma kwa mengi haikwepeki sasa hivi anajipendekeza kwa lowasa kwa sababu anafikiri labda ndie atakuwa raid wa awamu ijayo lakini ikitokea tofauti sijui atashikia wapi
 
ahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa!!!! mbavu zangu jaman.

well, i am remaining silent so that people may notice the difference by pinpointing the foolish idiot!!

basi kama hutaki kufuata ushauri wa kuuza nyanya, well, kufa na ulofa wako, wenzako kina mangi wanachanja tu mbuga. utabakia tu eti weziiii wezi, maghorofa yanapanda tu kariakoo....kalaghabao!!
 
Mtatunga Uwongo wa kujipa FARAJA Mwaka huu mpaka BASI!Nyoyo zenu zimejaa CHUKI,VISASI,UBABE,FUJO then Mnategemea maombi yawe ni kweli.Are these BAVICHA drunkards serious and sane?
 
Last edited by a moderator:
Ya Mbowe na Slaa yamekujaje hap,Hee,this is too Childishly yani.
Sasa Pinga kwa kuja na the other facts,otherwise utaonekana Mshabiki,hence ule uungu wa ZZK kwenu kujidhihirisha,tutakutofaitisha vp sasa na akina Mwl Kaijage ?



Msaliti ni huyu hapa, aliyesaliti Kanisa na ndoa yake ! :yo:
 
Mtatunga Uwongo wa kujipa FARAJA Mwaka huu mpaka BASI!Nyoyo zenu zimejaa CHUKI,VISASI,UBABE,FUJO then Mnategemea maombi yawe ni kweli.Are these BAVICHA drunkards serious and sane?

Ndio umemaliza kupost au ...! This is one of mentally castrated posts! Jus think if it is worth being posted here
 
pesa haigawagwi hovyo hovyo wewe. tatizo lako wewe bado upo kwenye usingizi wa uchumi wa kijamaa. huu ni uchumi wa kibepari, market driven economy...kamuombe warren buffet au aliko dangote hata sillingi 200 (mia mbili) uone kama watakupa. hata kama unawadai si ni lazima u-justify den? au wamekuambia wanagawa hela wao ni misikiti?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…