Kama tume huru ya uchaguzi ndio hii ya Kenya basi haitufai ,hii yetu ni Bora mara 1000...,

Kama tume huru ya uchaguzi ndio hii ya Kenya basi haitufai ,hii yetu ni Bora mara 1000...,

Hizo kesi za mtu aliyeshindwa ni kusumbua raia nakutuchelewesha tu ,

Kushindwa kivipi?. Unaelewa maana ya dispute?. Mgombea mmoja ana asilimia 50.2 na mwingine asilimia 48.8 unategemea Nini?. Uchaguzi ulikuwa mgumu Sana na wameachana kwa kura chache Sana. Sasa hapo lazima dispute itatokea maana mmoja ameshinda kwa kura za ngome yake. Fuatilia taarifa za Kenya utaona kura zinazobishaniwa ni zipi.
 
Kwanini una wasiwasi Kwa Raila kwenda mahakamani, kama ana hoja mahakama ndio itaamua.
Time ya uchaguzi Tanzania haipingwi mahakamani ndio maana inafanya maamuzi ya ajabu.
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee

Naona Kenya imewatoa nishai mpaka mnajishtukia. Kuna mambo lazima uelewe.

1. Tume huru ni taasisi inayojitegemea ambapo watenda kazi wanaomba kazi na kupitishwa na Bunge sio Rais.

2. Viongozi wa Tume huru huwa hawataki kuwa wanachama wa chama chochote Cha siasa au kujihusisha huko nyuma kwenye chama Cha siasa.

3. Tume huru haina upande wowote wa siasa inasimamia sheria na taratibu. Ndio maana kwa Kenya pamoja na serikali kumuunga mkono raila bado tume haikusita kumtangaza matokeo kinyume na matarajio ya serikali.

4. Tume huru ya uchaguzi ndio kichocheo Cha kuvutia wananchi kupiga kura , maana wananchi wanaipenda kuhakikishiwa kura zao zipo salama.
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Ndiyo sababu bado mjinga kati ya wajinga wengi wa nchi hii na bahati mbaya tunatawaliwa na wajinga ambao wanachaguliwa na wajinga ambao ndiyo wengi!
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Ww una tatizo la akili lkn sio vibaya katikati ya wenye akili na Wapumbavu kama ww mkawepo.maana huelewi unachokataa na huelew unachosifia.
 
HABARI ZA KENYA ACHANA NAZO KUHUSU MAHAKAMA, UCHAGUZI,ELIMU LEVEL YA KUJITAMBUA WAMETUACHA MBALI SANA, USIFANANISHE NA HILI NCHI LA KINAFIKI HATA KESI YA KINA MZEE MDEE COVID 19 WATU WANATETEMEKA KUTOA MAAMUZI HADI WAKAPATE MALEKEZO TOKA JUU,NARUDIA TENA USIFANANISHE UCHAGUZI, MAHAKAMA KENYA, LEVEL YA YA ELIMU,KUTOKUWA KWAO WANAFIKI NA TAKATAKA ZA HUKU
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Basi na mahakama zisiwepo ili mtu akiibiwa au akishambuliwa asipoteze muda wa kupelekana mahakamani, ni vizuri tukijali muda tunaopotezea mahakamani huko.
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee

Nchi hii ngumu sana! Kama hitaji ni kujua kusoma na kuandika, si ajabu mawazo yatakuwa haya tu!! Aina hii ya raia ndio tatizo kubwa nchini!

Kwani hapa Tanzania hakuna kesi za uchaguzi zimewahi kufanyika kwa nafasi zisizo za uRais?? Hujui kuwa Tume ya Uchaguzi hairuhusu kesi dhidi ya nafasi za uRais? Kwma tunaamini mahakamani ndipo haki hutolewa - kesi za uchaguzi zina nafasi ya kufunguliwa. Kama hatuamini hilo tutazuia ili maamuzi ya Tume yawe ndio ya mahakama. Jecha na uchaguzi wa Zanzibar 2015 comes to mind!!
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Namsikia mangi mmoja akisema.. ' itachukua miaka elfu moja tanzani kufikia demokrasia ya kenya'. Na muuliza lakini kenya wanauana kila uchaguzi. Uchaguzi nne odinga anashinda anadhulumiwa. Hilo nalo ni demokrasia bora?' Jamaa anatoa macho anasema. 'Mbona hapa freeman anashinda kila uchaguzi anaibiwa?' 😂
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Kwako unaendeleza yafuatayo: 1. Kupokea fomu mwisho saa 10 jioni, mkurugenzi akiona mpinzani anarudisha fomu anafunga ofisi baadaye saa 11 anajitokeza anasema mmechelewa sipokei. 2. Kupita bila kupingwa kiwango kitaongezeka. 3. Fomu kudaiwa zimekosewa za upinzani tu zitaongezeka na kukataliwa. 4. Siku ya kupiga kura mawakala wa upinzani kuzuiliwa. 5. Mafurushi ya kura bandia kuingizwa kwa msaada wa Polisi na Usalama wa Taifa kuongezeka. 6. Time ya uchaguzi inayowajibika kwa Rais ambaye naye ni mgombea inaweza kwenda kinyume na mwajiri wake? Mlolongo ni mrefu unaokera.
 
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Usichanganye kati ya tume na watu binafsi, hivi shehe au padri akikamatwa kwa wizi dini yake huhusika kwa vipi! Au ubora wetu unaouona wewe ni wakutoruhusiwa kupinga matokeo.
 
Kwani majukumu gani hayaendelei huko Kenya,mbona kazi zinafanyika na uongozi wa Nchi bado upo na unafanya kazi.
 
Shida yako ni Tume huru au mapingamizi mahakamani?. Tofautisha time huru na haki ya kupinga kesi mahakamani.
Haelewi hata anachokiandikia uzi,sijui huwa ni zipi MTU anakuwa hana maarofa katika jambo fulani lakini anakuta analitolea ufafanuzi.
 
mahera hadi leo kuna forms alitakiwa aweke kwenye mtandao wa tume watu wapige hesabu zao miaka 2 hajaweka anaogopa nini? kenya tarehe 12 pdf 46,000 zilikuwepo na bado zipo ni wewe tu ku download na kupiga hesabu zako halafu unataka ulinganishe na manafiki ya hili li nchi
 
Shida yako ni Tume huru au mapingamizi mahakamani?. Tofautisha time huru na haki ya kupinga kesi mahakamani.
Nafikiri shida ni vyote. Kama tume huru ndiyo kama hiyo ya Kenya, tume hiyo ina haki na faida gani.
 
Back
Top Bottom