Hizo kesi za mtu aliyeshindwa ni kusumbua raia nakutuchelewesha tu ,
Naunga mkono hoja.
Naunga mkono hoja
Naunga mkono hoja, tena kwa mujibu wa sheria iliyounda NEC ni tume huru ya uchaguzi ila tuu sio shirikishi. Pascal Mayalla: NEC ni Tume huru ya uchaguzi kama lilivyo bunge na mahakama kwa sababu vyote hivi msingi wake ni Rais
P
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Ndiyo sababu bado mjinga kati ya wajinga wengi wa nchi hii na bahati mbaya tunatawaliwa na wajinga ambao wanachaguliwa na wajinga ambao ndiyo wengi!Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Ww una tatizo la akili lkn sio vibaya katikati ya wenye akili na Wapumbavu kama ww mkawepo.maana huelewi unachokataa na huelew unachosifia.Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Basi na mahakama zisiwepo ili mtu akiibiwa au akishambuliwa asipoteze muda wa kupelekana mahakamani, ni vizuri tukijali muda tunaopotezea mahakamani huko.Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Namsikia mangi mmoja akisema.. ' itachukua miaka elfu moja tanzani kufikia demokrasia ya kenya'. Na muuliza lakini kenya wanauana kila uchaguzi. Uchaguzi nne odinga anashinda anadhulumiwa. Hilo nalo ni demokrasia bora?' Jamaa anatoa macho anasema. 'Mbona hapa freeman anashinda kila uchaguzi anaibiwa?' 😂Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Kwako unaendeleza yafuatayo: 1. Kupokea fomu mwisho saa 10 jioni, mkurugenzi akiona mpinzani anarudisha fomu anafunga ofisi baadaye saa 11 anajitokeza anasema mmechelewa sipokei. 2. Kupita bila kupingwa kiwango kitaongezeka. 3. Fomu kudaiwa zimekosewa za upinzani tu zitaongezeka na kukataliwa. 4. Siku ya kupiga kura mawakala wa upinzani kuzuiliwa. 5. Mafurushi ya kura bandia kuingizwa kwa msaada wa Polisi na Usalama wa Taifa kuongezeka. 6. Time ya uchaguzi inayowajibika kwa Rais ambaye naye ni mgombea inaweza kwenda kinyume na mwajiri wake? Mlolongo ni mrefu unaokera.Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Usichanganye kati ya tume na watu binafsi, hivi shehe au padri akikamatwa kwa wizi dini yake huhusika kwa vipi! Au ubora wetu unaouona wewe ni wakutoruhusiwa kupinga matokeo.Uchaguzi ukiisha mnahamia mahakamani ,badala ya kuendelea na majukumu mengine nchi inabaki inahangaika na makesi ya kipumbavu mahakamani..ushahidi unapelekwa na malori ..Kwa hapa kwetu hakuna mpinzani anaeweza kukubali ameshindwa hata kama ni kweli kashindwa! Ni upumbavu Rais mpya kapatikana limtu lililoshindwa linaenda mahakamani eti nimeibiwa..Kwa hiyo kama nchi inawapinzani kumi na Kila mtu akaenda kupinga matokeo kutakuwa na maendeleo hapo? Tume huru ni chanzo Cha vurugu na ujinga ..hii ya kwetu niyaviwango vya juu ..ukishinda umeshinda hakuna ng'weee' ng'weee' ng'weeee
Haelewi hata anachokiandikia uzi,sijui huwa ni zipi MTU anakuwa hana maarofa katika jambo fulani lakini anakuta analitolea ufafanuzi.Shida yako ni Tume huru au mapingamizi mahakamani?. Tofautisha time huru na haki ya kupinga kesi mahakamani.
Nafikiri shida ni vyote. Kama tume huru ndiyo kama hiyo ya Kenya, tume hiyo ina haki na faida gani.Shida yako ni Tume huru au mapingamizi mahakamani?. Tofautisha time huru na haki ya kupinga kesi mahakamani.
Mawazo ya mpumbavu yanaungwa na wapumbavu na pengine yakakubalika kwasababu wapumbavu ni wengi.
Pole Sana Tanzania
Niliwahi kuandika hapa kuwa wapumbavu nchi hii wanaongezeka kwa kasi sana