Kama tume huru ya uchaguzi ndio hii ya Kenya basi haitufai ,hii yetu ni Bora mara 1000...,

Umejuaje Odinga ameshinda huu uchaguzi??
 
Jinsi ulivyoandika Ni Kama unashida kubwa. Nchi ni

Punguza negativity. Suala la kupinga matokeo lipo kikatiba. Ndio njia pekee wakenya wamechagua kupunguza machafuko. Sio nyie huku kipindi Cha uchguzi mnafungiwa internet mwezi mzima Kam na a mbuzi.
Huko siyo kupinga matokeo bali ni kutanua wigo wa ulaji. Huamini? Rudi hapa baada ya Septemba 4, utanielewa vizuri.

Achana na habari za unegativiti hazitakusaidia katu. Mchezo huu hauhitaji hasira wala. Raila is done and doomed politically forever!

Kama u mentor ama sponsor au hata advocate wake, pole sana mkuu. Ruto amewa-oversmart nyie team deep state.
 
Kati ya hao unaowasema na sisi nani ana maendeleo. Ukimaliza kukojoa jitahidi kufunga zipu...
 
Mpaka Leo unasubiri nini kuhamia kwa wenye akili wenzio Kenya mradi uage tu wakati unaondoka
 
Ndiyo sababu bado mjinga kati ya wajinga wengi wa nchi hii na bahati mbaya tunatawaliwa na wajinga ambao wanachaguliwa na wajinga ambao ndiyo wengi!
Hao hao unaowaita wajinga ndio wajenzi wa nchi unayosema inatawaliwa na wajinga ,wajinga wanajenga wanajenga nchi tunasonga mbele mnapiga makelele mitandaoni mwehu kweli wewe
 
Kati ya hao unaowasema na sisi nani ana maendeleo. Ukimaliza kukojoa jitahidi kufunga zipu...
Mimi nakojoaa mikojo ya wakubwa na ninawakojolea watu sikojoi chooni wewe ndio una mikojo ya watoto kakojoe choooni
 
Mpaka Leo unasubiri nini kuhamia kwa wenye akili wenzio Kenya mradi uage tu wakati unaondoka
muambie mahera aweke zile forms mtandaoni tupige mahesabu miaka 2 hataki kwa nini? umesikia chebukati leo alichsema?
USIKU WA KUAMKIA TAREHE 15 ALITEMBELEA NA BARAZA LA USALAMA LA TAIFA WAKITAKA APUNGUZE KURA ZA RUTO ILI KUWE NA RE RUN AKASEMA HADI COMMISIONERS WENZAKE WAWEPO WALIPOFIKA AKASEMA YEYE ATASIMAMIA HAKI

HAYO HAPA BONGO YANAWEZEKANA? AU MKUU WA TUME YA UCHAFUZI KAZI YAKE NI KUMJIBU TUNDU LISSU KWAMBA WANANCHI HAWATAKI BRAH BRAH
 
Hao hao unaowaita wajinga ndio wajenzi wa nchi unayosema inatawaliwa na wajinga ,wajinga wanajenga wanajenga nchi tunasonga mbele mnapiga makelele mitandaoni mwehu kweli wewe
acha kufananisha uchaguzi wa mwaka huu wa kenya na nchi za kijinga ziko nchi nyingi kama north korea na takataka nyingine za kujifananisha nazo kwenye mbanga hizo
 
Hao hao unaowaita wajinga ndio wajenzi wa nchi unayosema inatawaliwa na wajinga ,wajinga wanajenga wanajenga nchi tunasonga mbele mnapiga makelele mitandaoni mwehu kweli wewe
Ungekuwa mzima kichwani ungejua kuwa nchi inaliwa lakini kwa umburula wako unakenua meno!
 
Mimi nakojoaa mikojo ya wakubwa na ninawakojolea watu sikojoi chooni wewe ndio una mikojo ya watoto kakojoe choooni
Halafu kumbe tunabishana na shoga!

Bull shit!
 


Ujinga ni kwako hiyo ndiyo demokrasia. Hiyo ndiyo maana ya demokrasia. Tume imehusika vipi kwenye kesi za mahakamani.
 

bila tume huru, raila angekuwa rais
 
Halafu kumbe tunabishana na shoga!

Bull shit!
Kila mtu ana Imani yake kwenye siasa usimtukane mtu kwakuwa hayupo kwenye kile unaamini wewe ni tabia za kike hizo ulizonazo
 
Matanzania mengi ni mapumbavu ! Ona kama hili lileta mada! Jinga kweli kweli!
Shabikia Simba na Yanga ndiko uwezo wa akili yako unapofikia!
Unadhani Kenya ni Tanzania ambako Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi akiona mgombea anayemtaka kashindwa basi anafuta Uchaguzi ( Jecha wa Zanzibar)!
 
Mwanasiasa anayekubali kushindwa ni dhaifu sana ,hii ikiruhusiwa Tanzania kesi ya kupinga matokeo haiwezi kuisha .
 
Nachoona kuna underway plan ku undermine Ruto's Victory na hii Move iko Organised to top senior officials ambao most of them where behind Kenyata to back odinga, They can imagine how would it be if Ruto sworn in as 5th President, they have alot of uncertainties
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…