Kama tume huru ya uchaguzi ndio hii ya Kenya basi haitufai ,hii yetu ni Bora mara 1000...,

Ishu sio tume huru, kuna lijidudu wanaliita demokrasia ndo linaitesa africa
 
Swali la kwanza; "IEBC ya Kenya iliengua Wagombea wangapi kwenye Uchaguzi?" Hili lipate jibu ili kulinganisha Tume za Uchaguzi za Tanzania na Kenya.
 
Ni kweli , Tume ya kwetu ni safi sana kwani ina walimu wazuri kama Kada wa CCM Jecha
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kama haka kakichwa ulikokaweka hapo juu kakwako sishangai kuona Uzi wa hovyo hivi.
 
Hawatakuelewa hao, biblia inasema
Nanukuu, mpumbavu ukimtwanga na ngano kinuni,ngano itaiva lakini upumbavu wake hautamtoka
 
Niliwahi kuandika hapa kuwa wapumbavu nchi hii wanaongezeka kwa kasi sana
Yaan tunatofautiana sana kufikiria kwa kweli, ila ndio mtaji wa ccm huo... wenye akili timam hawapendwi kabisa na ccm
 
Khaa🙄
Je, kama ccm ikishindwa uchaguzi?!
 
Ndiyo akili zako zilipogota?Hivi ukiremba kinyesi kwa maua ndiyo unaweza na kukila?Very stupid!
 
Hao hao unaowaita wajinga ndio wajenzi wa nchi unayosema inatawaliwa na wajinga ,wajinga wanajenga wanajenga nchi tunasonga mbele mnapiga makelele mitandaoni mwehu kweli wewe
Ujenzi upi,kusongambele kupi,tozo tozo tozo! Mtaweka tozo mpaka kwa wanandoa huko vyumbani mwao.
 
Naongana na wewe!
Hasara wanayoipata Kenya kwa sasa hata demokrasia kwao ni mzigo wa miba.
Mbaya zaidi zinazotumika ni fedha za walipa kodi kwaajili ya kulinufaisha kundi dogo sana la WANASIASA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…