AllahuakbarNi muujiza wa Mungu kutuachia Lissu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AllahuakbarNi muujiza wa Mungu kutuachia Lissu.
Nakubaliana na wewe. Tukio la Lissu limekaa kiroho zaidi.Mh Lisu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh Lisu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh Lisu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ameen ameenNa jambo hilo ni Katiba Mpya kupatikana na kifo cha ccm na CHADEMA na kuzaliwa KWA vyama vipya ambavyo vitashika hatamu KWA kupokezana kama Marekani ilivyo!
Na vyama Hivyo vipya vitakuwa vichache sidhani kama vitazidi vitatu;
Wenye hekima Wanaimba WIMBO huu Hapa;
"Rasimu ya warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"
Asante kwa bandiko lenye baraka.Mh Lisu kwa Risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila ktk hali ya giza nene na mtikisiko ktk siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja yakisa kinathinigisha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lisu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh Lisu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh Lisu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh Lisu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasine kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli" Mwisho akasema " Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje" Nikiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa Taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
Kwani ni wewe ulie andika au umeandikiwa au ID yako imedukuliwa ???Mh Lisu kwa Risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila ktk hali ya giza nene na mtikisiko ktk siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja yakisa kinathinigisha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lisu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh Lisu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh Lisu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh Lisu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasine kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli" Mwisho akasema " Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje" Nikiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa Taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
huyo uliyemshukuru hajawahi kuaminikaAsante kwa bandiko lenye baraka.
Sijui kwanini huyu jamaa huwa namfananisha na mtu fulani.huyo uliyemshukuru hajawahi kuaminika
Magufuli alitesa sana watuTuliwambia toka zamani lakini mkashupaza shingo.
Nadhani mliona kilichofata.
Hata hivyo nakupongeza kwa kukubali Ukuu wa Mungu. Siku za hapo nyuma mlichukua nafasi ya Mungu mkajifanya miungu.
Kweli TL ni mwanadamu kama ssYani TZ wapumbavu ni wengi sana kuliko uhalisia wa Wananchi wenyewe walivyo.
Walionusurika kuuwawa kwa risasi ni wengi tu mitaani kuliko hata hizo alizopigwa huyo Jamaa, ila sasa CHAWA wanavyomuhusudu utadhani ni mungu Mtu[emoji6]
Huo ni ushamba [emoji16]
Dereva mmemficha wapi!??Mh. Lissu kwa risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila katika hali ya giza nene na mtikisiko katika siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja ya kisa kinathibitis ha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lisu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh. Lissu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh. Lissu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh. Lissu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasije kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli?" Mwisho akasema "Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje?" Ni kiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
Umeandika kama kichaa pale mirembe, vipi umetoroka huko Nini! Yaani swala zito unaliona na kuchangia Ubwabwa. Ninyi ndio walen wale mashabiki!!Yani TZ wapumbavu ni wengi sana kuliko uhalisia wa Wananchi wenyewe walivyo.
Walionusurika kuuwawa kwa risasi ni wengi tu mitaani kuliko hata hizo alizopigwa huyo Jamaa, ila sasa CHAWA wanavyomuhusudu utadhani ni mungu Mtu[emoji6]
Huo ni ushamba [emoji16]
Sahihi.Kwanini Mwenyezi Mungu alimuacha Lissu aishi? Mungu mwenyewe ndio anajua kwanini, sisi wanadamu tuache ramli na kuingilia mambo ya kiroho ya Mwenyezi Mungu....
Nani alimpiga Lissu risasi? Mungu muumba anajua ni nani, wanadamu duniani wamepewa mamlaka yakujiwekea taratibu ili waweze kuishi na tararibu hizo ni pamoka na uwepo wa serikali/dola ya vingwengo na nyinginezo gizani, lakini mwisho wa siku utaratibu na KiMungu na kiroho unataka haki itendeke na kuwepo ili Vibwengo wawe salama....
Kwa mustakabali wa kidunia tukio la Lissu lina sura nyingi sana ambazo hazina majibu japo Kiroho Mwenyezi Mungu anajua yote na kama ni sahihi au sio sahihi....
Inawezekana Lissu kaonewa na inawezekana pia Lissu hajaonewa na hata uchunguzi ukifanyika basi majibu yatakuja kulingana na uhalali au ubatili wa tukio kidunia..... Dunia ina mengi sana ambayo mpaka leo hii yapo gizani kuanzia Hollocust to Kashogi to Lissu.....
Shetani, huwa hajifichi!Yani TZ wapumbavu ni wengi sana kuliko uhalisia wa Wananchi wenyewe walivyo.
Walionusurika kuuwawa kwa risasi ni wengi tu mitaani kuliko hata hizo alizopigwa huyo Jamaa, ila sasa CHAWA wanavyomuhusudu utadhani ni mungu Mtu[emoji6]
Huo ni ushamba [emoji16]
Kubwa la maadui lipo motoni linaokwa kama ndafu chezea karma wewe!!¡Mh. Lissu kwa risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila katika hali ya giza nene na mtikisiko katika siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja ya kisa kinathibitis ha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lisu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh. Lissu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh. Lissu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh. Lissu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasije kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli?" Mwisho akasema "Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje?" Ni kiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
Kwa serikali ya ccm hata wskichunguza majibu yatakayoletwa yataushangaza ulimwemgu.Kwanini Mwenyezi Mungu alimuacha Lissu aishi? Mungu mwenyewe ndio anajua kwanini, sisi wanadamu tuache ramli na kuingilia mambo ya kiroho ya Mwenyezi Mungu....
Nani alimpiga Lissu risasi? Mungu muumba anajua ni nani, wanadamu duniani wamepewa mamlaka yakujiwekea taratibu ili waweze kuishi na tararibu hizo ni pamoka na uwepo wa serikali/dola ya vingwengo na nyinginezo gizani, lakini mwisho wa siku utaratibu na KiMungu na kiroho unataka haki itendeke na kuwepo ili Vibwengo wawe salama....
Kwa mustakabali wa kidunia tukio la Lissu lina sura nyingi sana ambazo hazina majibu japo Kiroho Mwenyezi Mungu anajua yote na kama ni sahihi au sio sahihi....
Inawezekana Lissu kaonewa na inawezekana pia Lissu hajaonewa na hata uchunguzi ukifanyika basi majibu yatakuja kulingana na uhalali au ubatili wa tukio kidunia..... Dunia ina mengi sana ambayo mpaka leo hii yapo gizani kuanzia Hollocust to Kashogi to Lissu.....
Mnafiki plus plus. We si ndiyo ulimtabiria mabaya Lisu pamoja na Ben wa SaananeMh. Lissu kwa risasi alimiminiwa alipaswa kufa ila katika hali ya giza nene na mtikisiko katika siasa za Tz msg ikarudi marehem amefufuka. Wengi wetu tunaweza kusema mengi sana ila kiza kinene kimefunika hili tukio ambalo naamini limeandikwa kwa pen ya moto.
Uwenda kikawa moja ya kisa kinathibitis ha Mungu yupo na wema wapo na bado wana ishi.
Lissu kwa mshituko alipata na risasi alipigwa kuwepo leo ni muujiza mkubwa ambao huko mbele utaleta mabadiliko makubwa kwenye siasa za hili Taifa.
Uwenda wale walipanga naku hakikisha anakufa uwenda nao hawapo maana Karima ndio kitu kina tisha kuliko vyote.
Ikumbukwe hawa viongozi na washabiki wa vyama wana dini zao na hakuna dini inaruhusu mambo ya dhuluma iwe ya mali au uhai wa mtu. Maana unapogusa dam ya mtu unagusa moyo wa Mungu na usishangae kitakacho kutokea.
Mh. Lissu anasiri moja ambayo uwenda ndio uzima wake leo. Lisu ni mmoja wa wana sheria walisaidia sana watu waliodhulumiwa kesi ngumu za kiserikali huyu jamaa ndie alisimamia kama umewahi sikia dhuluma ya North Mara basi huyu mwamba alisimama na alisimama kwa kutolipwa na mtu.
Mh. Lissu aweza kuwa kama Keneth Sarawiwa japo uwenda kazi ya Mh. Lissu imekuwa yakutukuka sana kiasi risasi zilimshindwa.
Ndugu zangu watanzania wa vyama na serikali. Tuogope Karima ya Mungu ambayo naona ipo karibu sana na uwenda hakuna kiongozi au mtu yeyote ana waza au kufikiri ipo siku mambo yatabadilika maana muundo huu wa sasa ni hatari na kitisho kwa hata walio madarakani wakitoka muundo huu ipo siku utageuka kuwa jini nakuumiza watu na Mungu ameachia tukaona wenyewe.
Nimalizie kwa maneno ya Mzee Kikwete wakati fulani bungeni akiwa Rais. Namnukuu
"Tufanye mambo ambayo kesho vizazi vijavyo wasije kuchapa makaburi yetu nakuuliza hawa wazee walikuwa na akili kweli?" Mwisho akasema "Siku moja atakuja kiongozi sio mpole kama mimi akitumia nguvu ya Uraisi itakuwaje?" Ni kiongozi alicheka ila alikuwa na nia njema kutupa taifa lenye haki japo nabii akubaliki nyumbani kwake.
Baada ya Lissu kusema anawatetea wale wenye kusafirisha makinikia, ikafuata Ile hotuba live ya kuwalaumu Watanzania wasio na uzalendo, mmoja akasema akiondoka mtu mmoja Ili Nchi iwe salama Si vibaya!!!Kwanini Mwenyezi Mungu alimuacha Lissu aishi? Mungu mwenyewe ndio anajua kwanini, sisi wanadamu tuache ramli na kuingilia mambo ya kiroho ya Mwenyezi Mungu....
Nani alimpiga Lissu risasi? Mungu muumba anajua ni nani, wanadamu duniani wamepewa mamlaka yakujiwekea taratibu ili waweze kuishi na tararibu hizo ni pamoka na uwepo wa serikali/dola ya vingwengo na nyinginezo gizani, lakini mwisho wa siku utaratibu na KiMungu na kiroho unataka haki itendeke na kuwepo ili Vibwengo wawe salama....
Kwa mustakabali wa kidunia tukio la Lissu lina sura nyingi sana ambazo hazina majibu japo Kiroho Mwenyezi Mungu anajua yote na kama ni sahihi au sio sahihi....
Inawezekana Lissu kaonewa na inawezekana pia Lissu hajaonewa na hata uchunguzi ukifanyika basi majibu yatakuja kulingana na uhalali au ubatili wa tukio kidunia..... Dunia ina mengi sana ambayo mpaka leo hii yapo gizani kuanzia Hollocust to Kashogi to Lissu.....