Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Nadhani unyanyapaa na stress ndizo zilikuwa kichocheo kikubwa sana pia ukiachana na makali ya ugonjwa wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BIla picha mmhVijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
Watu wana ngoma toka 1974 na bdo wanadundAVijana wadogo wanafanya sana ngono zembe ( kuuza mechi) na wanawake ambao kama vile wameshajikatia tamaa au kujitoa mahuru, hawataki mwanaume atumie condom.
Nikikumbuka vile VVU vya 2005 kurudi nyuma,
1. Nywele zinanyonyoka af zilizobaki zinakua kama za kiarabu.
2. Mabega yanapanda juu na kukonda kusiko kwa kawaida
3. Midomo inababuka na kua na kama unga unga mweupe,
4. Kukohoa pamoja na mkanda wa jeshi mkali sana.
Kipindi kile ilikua haihitaji kuambiwa kujua mtu fulani ana UKIMWI,
Pamoja na lishe na ARV, bado nadhani hivi virusi vimepungua nguvu, vijana wanajiachia sana na hawana woga
unatushauri lipi ambao tuna miaka kede kede hatujawahi kupima UKIMWI?Nazani ningekufa maana nimepimwa mbele za watu walio nipeleka na marafiki kwakweli sina cha kumlipa mungu nikumbuka na njia nilizo pita
[emoji819]Nadhani unyanyapaa na stress ndizo zilikuwa kichocheo kikubwa sana pia ukiachana na makali ya ugonjwa wenyewe.
Ndoo kama mimi nilikuwa mgum kupima ila nikapimwa azarani mbele maamizi niyakounatushauri lipi ambao tuna miaka kede kede hatujawahi kupima UKIMWI?
Huwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachanemawazo yanaua mapema kuliko ukimwi. Usipime
hahahHuwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
🤣Ndo ivohahah
kama huniamini sawa bora tuachane[emoji41]Huwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
Sawa, kwaheri 😥kama huniamini sawa bora tuachane[emoji41]
Huwa napima na ni Lazima...ukigoma Bora tuachane
Na huu ndy ukwelihuu uzi utakuwa na views nyingi, replies kisoda
ukikubali kupimwa, kwa bahati mbaya ukawaka, baada ya mwaka utashangaa utakapopimwa na kuambiwa una kisukari, homa ya ini, mshituko wa moyo nk [emoji811]Hatari sana...na kupima hawataki